Rais ajaye ni lazima awe mkristo?

Rais ajaye ni lazima awe mkristo?

Mods nyuzi kama hizi
ni za kufutilia mbali bana, mambo gani haya tunataka viongozi bora ,
mambo ya udini udini ni upuuzi tu, Mods hata kama hamuzi kuifuta hii
nyuzi ihamishieni jukwaa la dini humu haistahili kuwepo.

labda wapagani nao wapate zamu. tumpe mzee kingunge
 
ni kweli kabisa hakuna namna ni lazima nchi hii itawaliwe kwa zamu kudumisha amani.
Mojawapo ya sifa kubwa kabisa ya sisi watanzania ni unafiki mkuu!

Ukiangalia mambo ambayo yana msuguano kwenye jamii na yanaweza kuharibu amani tuliyonayo endapo tusipokuwa na busara, basi ni hili suala!

Wenye kusema ni udini, ni wale ambao tayari wana wagombea wao ambao wanafahamu fika kuwa hawa nafasi kutokana na desturi tuliyonayo kama taifa!
 
Ni viongozi gani wakristo ambao unaona hawafai kuongoza taifa come 2015?

We sema tu bila kujali vyama.Maana mkuu si tunafahamu wewe pia ni muislam mwenye msimamo kabisa? Haya sasa, madhali unafahamu nimesema kwangu mimi hata akiwa mpagani sijali, wewe naona una prefer tuendelee kuwa na marais waislam bila ku alternate kama ilivyo utamaduni wetu?Maana sioni hoja yako hapa mkuu!

Ama kuna mahali umeona nimesema kuwa ninataka wakristo ndo watawale? Ama nyama ya binadamu ishakunogea mkuu?


Wapo viongozi wakristo ninaona hawafai kuongoza nchi 2015 kama walivyo viongozi waislamu wasiofaa kuongoza nchi 2015. Kukutajia kwa haraka:-
a. EL (Mkristo).
b. Mkono (Mkristo).
c. Dr Hussein (Mwislamu)
d. Kapuya (Mwislamu).
e. Mtoto wa mkulima (Mkristo).
f. Harrison (Mkristo).
g. January (Sijui dini yake).
h. Slaa (Mkristo).
i. Nyalandu (Mkristo).
j. Maembe (Mkristo).
k. Karume (Mwislamu).

Na wengineo wengi. Sasa wote hawa siwakubali sio kwasababu ya dini yao bali nimewakataa kwasababu mbali mbali either a. mafisadi, b. madikteta c. hawana vision na nchi wanataka either kuendeleza umalkia wao au ufalme wao d. hawataweza kuendana na mabadiliko ya nchi na changamoto zake.

Watu naowaona wanafaa ni mainly :-
a. Dr SAS (Mwislamu)(Amekataa lakini akifuatwa atakubali tu tunahitaji mtu ambaye atairejesha heshima jeshi, kupambana na ufisadi na kuwamudu wawekezaji na kuirudisha nchi katika ramani).
b. Dr Magufuli (Mkristo) (Ijapokuwa na kashfa ya nyumba ila ni mtendaji mzuri sana na mwenye vision).
c. Professor Muhongo (Mkristo) (Ijapokuwa amekaa muda mfupi ila huyu ni mtendaji na anaweza kuwamudu wazungu na pia atatumudu sie wazawa).
d. Dr Shein (Mwislamu) (Huyu ni msafi hana doa ila changamoto yake ni mkimya mno kiasi hata haujui vision yake ni nini hasa?)
e. Dr Gharib (Mwislamu) (Huyu ni kichwa kizuri na mfuatiliaji na mtendaji mzuri ila changamoto itakuwa ni sehemu ya uongozi uliopo na hivyo maadui wa uongozi huu wanaweza kumuhamishia yeye).
f. Balozi Kagasheki (Mwislamu) huyu ni kiongozi mzuri well organised mambo yake ila sio msafi sana ila anaweza kunyoosheka.
g. Warioba (Mkristo) Huyu ni kiongozi mwenye uzoefu muda mrefu ila kizazi kipya sidhani kama anaweza kukimudu pia hana interest na muungano sijui kama utadumu kwake.
h. Mangula (Mkristo) Huyu ni mjamaa na kiongozi muadilifu ila siku za karibuni naona misimamo yake imebadilika sijui kama anaelekea kule kule au keshabadili upepo.
i. Mengi (Mkristo) Ni mfanyabiashara mwenye uzoefu na exposure atatufaa ila shida ni fisadi na dalali mzuri sana atauza kila kitu hadi pumzi but tukiweka mfumo mzuri wa kuwadhibiti mafisadi but anaweza kutufaa kwa uzoefu wa biashara na anautaka urais.

Hao wanakutosha,

Ila the best choice kwa hali ilipofikia Tanzania believe it or not ni watu watatu tu wanafaa kuokoa hii nchi isipoteze mwelekeo nao ni

Dr SAS , Dr Shein na Magufuli (Ila magufuli kwanza tupate katiba mpya adhibitiwe asije kugeuka kuwa fisadi). Wengineo ni kama tunabahatisha. Uchaguzi wangu mainly ni kwasababu hawa ni viongozi ambao tunaweza kuwapa dhamana ya nchi yetu wakatupeleka tunakotarajia wengineo either hawana experience ya kutosha kama Professor Muhongo au wakabaji (wazee wa kupiga dili) na hivyo tunarudi kule kule hali ikawa mbaya zaidi.
 
Acha ufala kanisa kitu gani bwana nchi hii ni ya watanzania wote na tukivuruga amani wote tutateseka una akili fupi sana , nchi hii kiongozi akipatatikana tunaangalia ustawi wa nchi na sio kanisa wala msikiti, raisi hata akiwa pagani tutamuheshimu tu

Haya maneo ulitakiwa uyaseme katika kampeni ya 2010 wakati kampeni zilipokuwa zinapigwa Misikitini.
 
Wapo viongozi wakristo ninaona hawafai kuongoza nchi 2015 kama walivyo viongozi waislamu wasiofaa kuongoza nchi 2015. Kukutajia kwa haraka:-
a. EL (Mkristo).
b. Mkono (Mkristo).
c. Dr Hussein (Mwislamu)
d. Kapuya (Mwislamu).
e. Mtoto wa mkulima (Mkristo).
f. Harrison (Mkristo).
g. January (Sijui dini yake).
h. Slaa (Mkristo).
i. Nyalandu (Mkristo).
j. Maembe (Mkristo).
k. Karume (Mwislamu).

Na wengineo wengi. Sasa wote hawa siwakubali sio kwasababu ya dini yao bali nimewakataa kwasababu mbali mbali either a. mafisadi, b. madikteta c. hawana vision na nchi wanataka either kuendeleza umalkia wao au ufalme wao d. hawataweza kuendana na mabadiliko ya nchi na changamoto zake.

Watu naowaona wanafaa ni mainly :-
a. Dr SAS (Mwislamu)(Amekataa lakini akifuatwa atakubali tu tunahitaji mtu ambaye atairejesha heshima jeshi, kupambana na ufisadi na kuwamudu wawekezaji na kuirudisha nchi katika ramani).
b. Dr Magufuli (Mkristo) (Ijapokuwa na kashfa ya nyumba ila ni mtendaji mzuri sana na mwenye vision).
c. Professor Muhongo (Mkristo) (Ijapokuwa amekaa muda mfupi ila huyu ni mtendaji na anaweza kuwamudu wazungu na pia atatumudu sie wazawa).
d. Dr Shein (Mwislamu) (Huyu ni msafi hana doa ila changamoto yake ni mkimya mno kiasi hata haujui vision yake ni nini hasa?)
e. Dr Gharib (Mwislamu) (Huyu ni kichwa kizuri na mfuatiliaji na mtendaji mzuri ila changamoto itakuwa ni sehemu ya uongozi uliopo na hivyo maadui wa uongozi huu wanaweza kumuhamishia yeye).
f. Balozi Kagasheki (Mwislamu) huyu ni kiongozi mzuri well organised mambo yake ila sio msafi sana ila anaweza kunyoosheka.
g. Warioba (Mkristo) Huyu ni kiongozi mwenye uzoefu muda mrefu ila kizazi kipya sidhani kama anaweza kukimudu pia hana interest na muungano sijui kama utadumu kwake.
h. Mangula (Mkristo) Huyu ni mjamaa na kiongozi muadilifu ila siku za karibuni naona misimamo yake imebadilika sijui kama anaelekea kule kule au keshabadili upepo.
i. Mengi (Mkristo) Ni mfanyabiashara mwenye uzoefu na exposure atatufaa ila shida ni fisadi na dalali mzuri sana atauza kila kitu hadi pumzi but tukiweka mfumo mzuri wa kuwadhibiti mafisadi but anaweza kutufaa kwa uzoefu wa biashara na anautaka urais.

Hao wanakutosha,

Ila the best choice kwa hali ilipofikia Tanzania believe it or not ni watu watatu tu wanafaa kuokoa hii nchi isipoteze mwelekeo nao ni

Dr SAS , Dr Shein na Magufuli (Ila magufuli kwanza tupate katiba mpya adhibitiwe asije kugeuka kuwa fisadi). Wengineo ni kama tunabahatisha. Uchaguzi wangu mainly ni kwasababu hawa ni viongozi ambao tunaweza kuwapa dhamana ya nchi yetu wakatupeleka tunakotarajia wengineo either hawana experience ya kutosha kama Professor Muhongo au wakabaji (wazee wa kupiga dili) na hivyo tunarudi kule kule hali ikawa mbaya zaidi.

Wewe unaota mchana, mtoe Dr. Slaa kwenye hiyo list yako ya viongozi wasiofaa.
 
Naona watu wanajadili kutokana na kwamba wagombea urais waliokuwa wamejiandaa sasa wanajitokeza! Makamba naona yuko kwa kasi sana na ana watetezi wengi ndani ya chama especially wale wa gia ya "rais kijana"

Si lengo la thread hii kusema kuw dini flani ndo kigezo cha urais kama vike wale wa kigezo cha ujana wanavyofanya.

Lengo halisi hapa ni kutafakari na kuchukua maamuzi ya busara zaidi.Tunafahamu taifa letu mbali na kugawanywa kwa misingi ya chuki za kikabila na kidini zilizochochewa kwasababu tu ya ulafi wa madaraka na wagombea wa chama tawala esp. Uchaguzi uliopita!

Mbali na hayo, chini ya taratibu zetu ndani ya awamu nne, hatujawahi kuwa na marais wawili mfululizo wenye imani moja!

Kwa utaratibu huo, ni wazi kuwa sasa ni muhimu tukapata kiongozi mwenye imani ya tofauti, inaweza ikawa hata mpagani!

Tusipofanya hivyo, tunaweza tukapata matatizo yatakayopelekea kudumaa kwa shughuli za kimaendeleo hususan jitihada zetu za kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umasikini kwa kutumia nguvu kazi, maarifa pamoja na rasilimali zetu ikiwemo watu.

Pia haina maana kuwa hatuna haki ya kuendelea kuwajadili wale wenye imani sawa na rais anayemalizia muda wake, ie Membe na Makamba, bali ni muhimu kutilia mkazo umoja wetu na mshikamano wetu, vitu ambavyo vimetusaidia kudumisha amani miongoni mwetu!

Nina amani kuwa rais anayekwenda kumaliza muda wake, aliweza kupata madaraka hayo kwasababu watanzania waliudumisha utamaduni ule wa kuhakikisha hatupati watawala wenye kutoka kwenye imani moja awamu mbili mfululizo.

Unless tuwe na viongozi wenye qualifications ambazo zinawazidi wengine wote kwa kiasi kwamba kuuvunja utamaduni wa kubadilisha watawala kwa kuzingatia imani kukawa justified!

Utamaduni huu upo taka tusitake, nafahamu kuna watakaosema kiwa huo ni utaratibu wa ccm, well! Ccm ndo wanatupatia watawala, na hilo la dini za watawala wetu limekuwa ni mjadala nchini mwetu na hata humu jukwaani sote tunafahamu hilo.

Kwa maoni yangu, hypothetically, si vyema kureplace malalamishi ya mfumo wa imani moja kwa kuupachika mfumo wa imani nyengine.

Mjadala wa imani za dini upo lakini siyo wa msingi sana!
 
Hivyo? Kwani si mlijaribu 2010 kulazimisha mgombea wenu chaguo la kanisa kuchukua uongozi ikashindikana. Nitafurahi akichaguliwa Salim A salim au Mohamed Shein au Gharib Bilal (wote ni madr hawa) na niwasafi halafu nione utasimamia hii kauli yako.

Wewe kwanza ni mnafiq sana.Unayaongea haya kwa kuwa watu wanataja zamu ijayo kuwa ya wakristo na siyo nyie.Hakika ingekua wakristo ndio wanaongoza sasa halafu bado wakristo ndio wanafikiriwa kuingia basi hayo maneno yako ya kinafiki usingeyaongea.
Kwa nini msikubali utaratibu unaaonekana kukubalika na pande zote?
Kuna nini mnapata kwenye nyumba zenu za ibada mtu wa dini yenu akiendelea kuwa mkuu wa nchi?
Sisi hatupati chochote zaidi ya utulivu ila ningependa utaratibu kupokezana uendelee.
Hakuna haja ya kuibua ishu ya Zanzibar leo wakati mliizika kwa kuwamwenzenu ndiye aliyekuwa anaingia madarakani na sasa mnaona watu wa upande wa pili ndio wanaopaswa ndo mnaingia visivyowezekana
 
Farudume,

Acha kuweka mkwala mimi ninajua tena kwa uhakika mwaka 2010 Kanisa lilikuwa linataka Dr Slaa ashinde. Tena alikuwa akipigiwa kampeni hadi makanisani na waumini kutengwa kwasababu walikuwa hawakubaliani na kanisa kuhusu mtazamo wa kulazimishana kuwa Mteule wenu Dr Slaa ashinde urais. Sasa mbona alishindwa? Usitake kutisha watu nakupa tahadhari ndugu hiki ni kizazi cha dot com achana nacho kabisa. Jaribuni tena 2015 muone tena aibu itakayowakumba tena.

Hilo la kanisani hakuna aliyelidhibitisha zaidi ya maneno ya walioungana kutokana na dini zao(cuf na ccm) ila kampeni misikitini lilikuwa wazi na halihitaji proof kwa kuwa spika za sauti zilikuwa zinasikika kila kona pale penye misikiti na la pili Lipumba mwenyewe kadhibitisha alipokuwa akihubiri siasa misikitini na video yake ipo hapa hapa jf.Mbona hili hulisemi?au nyie mnataka kuligeuza taifa hili kuwa Iraq?
 
Sio kweli mkuu wangu Kikwete alitanhgazwa kuwa chaguo la Mungu na Wachungaji wa Kikristu. sasa huu ndio ukweli na utamaduni anaozungumzia jmushi1. Na facts ni kwamba Kikwete alipambana na Mbowe mwaka 2005 hapakuwepo na Udini isipokuwa CUF ndio waloshutumiwa hivyo, so was it Kikwete against Islaam? hapana ni sisi wananchi na wanachama wa vyama hivi tuloyazua hayo katika kusifia ama kupondana.

Na hata walipopambana na Dr.Slaa kampeni za pande zote mbili zilibadilika kwani katika siasa ni lazima image ya mgombea ibomolewe (lazima wamshushe hadhi) kuonyesha udhaifu na ubaya wake, ndio maana siasa ni mchezo mchafu. Dr. Slaa alikuwa Padre na hiyo ndiyo ilokuwa sehemu pekee CCM wangeweza kupenyeza propaganda zao. Hivyo huwezi kulaumu upande mmoja tu isipokuwa tutafanya nini? Na ili tuipate katiba bora zaidi tunatakiwa kujiuliza tumejifunza nini kutokana na chaguzi za mwaka 2005 na 2010 dhidi ya UDINI na UKABILA ambao hadi leo tunayaona madhara na makovu yake.

Propaganda duni za udini na ukabila zinaweza kuisha kwa kuwa na candidate wa uraisi mwenye tabia zifuatazo
  1. kandidate wa uraisi awe mzalendo,
  2. kuwa na candidate wenye focus,kiongozi ambaye akiulizwa thirt to come where we will be anakuwa na jibu
  3. Kuwa na viongozi who have feeling the same as wananchi wa chini
 
Toeni huu udini wenu hapa.

Nchi hii itaangamia kwa kuwa na watu wenye fikra mgando na za kinafiki kama nyie,
Anayoyasema mtoa mada hayapo?
udini upo wapi hapo?
Kueleza mtiririk wa matukio kwa ukweli wake ndo udini?
mbona nyie watu hamtaki kuambiwa kile kilicho kweli?
Mnafikiri watu wakiyaficha haya mioyoni mwao ndo hakutalipuka?
Hii zamu inayokuja lazima ifuate utaratibu ambao sio rasmi na huo si udini bali ni ukweli hata kama ni mchungu.
 
Wewe kwanza ni mnafiq sana.Unayaongea haya kwa kuwa watu wanataja zamu ijayo kuwa ya wakristo na siyo nyie.Hakika ingekua wakristo ndio wanaongoza sasa halafu bado wakristo ndio wanafikiriwa kuingia basi hayo maneno yako ya kinafiki usingeyaongea.
Kwa nini msikubali utaratibu unaaonekana kukubalika na pande zote?
Kuna nini mnapata kwenye nyumba zenu za ibada mtu wa dini yenu akiendelea kuwa mkuu wa nchi?
Sisi hatupati chochote zaidi ya utulivu ila ningependa utaratibu kupokezana uendelee.
Hakuna haja ya kuibua ishu ya Zanzibar leo wakati mliizika kwa kuwamwenzenu ndiye aliyekuwa anaingia madarakani na sasa mnaona watu wa upande wa pili ndio wanaopaswa ndo mnaingia visivyowezekana
Very well said mkuu!
 
Wapo viongozi wakristo ninaona hawafai kuongoza nchi 2015 kama walivyo viongozi waislamu wasiofaa kuongoza nchi 2015. Kukutajia kwa haraka:-
a. EL (Mkristo).
b. Mkono (Mkristo).
c. Dr Hussein (Mwislamu)
d. Kapuya (Mwislamu).
e. Mtoto wa mkulima (Mkristo).
f. Harrison (Mkristo).
g. January (Sijui dini yake).
h. Slaa (Mkristo).
i. Nyalandu (Mkristo).
j. Maembe (Mkristo).
k. Karume (Mwislamu).

Na wengineo wengi. Sasa wote hawa siwakubali sio kwasababu ya dini yao bali nimewakataa kwasababu mbali mbali either a. mafisadi, b. madikteta c. hawana vision na nchi wanataka either kuendeleza umalkia wao au ufalme wao d. hawataweza kuendana na mabadiliko ya nchi na changamoto zake.

Watu naowaona wanafaa ni mainly :-
a. Dr SAS (Mwislamu)(Amekataa lakini akifuatwa atakubali tu tunahitaji mtu ambaye atairejesha heshima jeshi, kupambana na ufisadi na kuwamudu wawekezaji na kuirudisha nchi katika ramani).
b. Dr Magufuli (Mkristo) (Ijapokuwa na kashfa ya nyumba ila ni mtendaji mzuri sana na mwenye vision).
c. Professor Muhongo (Mkristo) (Ijapokuwa amekaa muda mfupi ila huyu ni mtendaji na anaweza kuwamudu wazungu na pia atatumudu sie wazawa).
d. Dr Shein (Mwislamu) (Huyu ni msafi hana doa ila changamoto yake ni mkimya mno kiasi hata haujui vision yake ni nini hasa?)
e. Dr Gharib (Mwislamu) (Huyu ni kichwa kizuri na mfuatiliaji na mtendaji mzuri ila changamoto itakuwa ni sehemu ya uongozi uliopo na hivyo maadui wa uongozi huu wanaweza kumuhamishia yeye).
f. Balozi Kagasheki (Mwislamu) huyu ni kiongozi mzuri well organised mambo yake ila sio msafi sana ila anaweza kunyoosheka.
g. Warioba (Mkristo) Huyu ni kiongozi mwenye uzoefu muda mrefu ila kizazi kipya sidhani kama anaweza kukimudu pia hana interest na muungano sijui kama utadumu kwake.
h. Mangula (Mkristo) Huyu ni mjamaa na kiongozi muadilifu ila siku za karibuni naona misimamo yake imebadilika sijui kama anaelekea kule kule au keshabadili upepo.
i. Mengi (Mkristo) Ni mfanyabiashara mwenye uzoefu na exposure atatufaa ila shida ni fisadi na dalali mzuri sana atauza kila kitu hadi pumzi but tukiweka mfumo mzuri wa kuwadhibiti mafisadi but anaweza kutufaa kwa uzoefu wa biashara na anautaka urais.

Hao wanakutosha,

Ila the best choice kwa hali ilipofikia Tanzania believe it or not ni watu watatu tu wanafaa kuokoa hii nchi isipoteze mwelekeo nao ni

Dr SAS , Dr Shein na Magufuli (Ila magufuli kwanza tupate katiba mpya adhibitiwe asije kugeuka kuwa fisadi). Wengineo ni kama tunabahatisha. Uchaguzi wangu mainly ni kwasababu hawa ni viongozi ambao tunaweza kuwapa dhamana ya nchi yetu wakatupeleka tunakotarajia wengineo either hawana experience ya kutosha kama Professor Muhongo au wakabaji (wazee wa kupiga dili) na hivyo tunarudi kule kule hali ikawa mbaya zaidi.
Nimekupata mkuu, ila whats rong with Dr Slaa btw? Yani umemuweka kwenye kundi la mafisadi? Daah! Ama ni background ya upadri ndo tatizo? as if anaenda kuswalisha ikulu?
 
Nchi yetu ina matatizo lukuki ikiwa ni pamoja na kuwa na viongozi wapenda rushwa,mafisadi na wezi wa mali ya umma.
Pia kuna changamoto za matumizi mabaya ya vyombo vya dola,unyanyasaji kwa waandishi wa habari na pengine vitisho kwa wale wanaoonekana wapo mstari wa mbele kusimamia maslahi ya umma.

Uchaguzi mkuu unakaribia pengine kwa kutumia katiba iliyopo au katiba mpya.Vyovyote vile iwavyo uchaguzi umekaribia.

Wamejitokeza watu au vikundi vya watu vinavyohubiri au kusambaza taarifa kuwa raisi ajaye lazima atoke dini fulani kwakuwa aliyepita alikuwa wa dini fulani.Kwenye nyumba za ibada wanahubiri kuwa viongozi hutoka kwa Mungu,nawaulizeni kipindi kijacho Mungu hatafanya kazi ya kuchagua kiongozi? Msimu ujao amekasimu madaraka ya uchaguzi wa raisi mumtakaye ninyi?

Mnabishana,kutukunana na kukashifiana kwa jambo dogo kama hilo? Baadhi yetu hatuna imani au dini kama mlizonazo ninyi, hali itakuwaje iwapo nasi tutataka raisi ajaye asiwe muumini wa dini yeyote?

Maneno yenu yanaleta utengano badala ya mshikamano.Tunaweza kutofautiana fikra kwenye maeneo mengi lakini hili la raisi ajaye lazima atoke dini fulani ni fikra mfu na ningekuwa muumini wa dini zenu ningesema ni fikra za kishetani na zinaendelezwa na mawakala wake hapa kwetu Tanzania.

Enyi waumini wa dini hizo,fanyeni juhudi za kuua kabisa fikra hizo za kishetani.
Sote kwa pamoja tuungane kumchagua raisi atakayekuwa tayari au awe na uwezo wa kujua changamoto tulinazo na awe tayari kuzitatua.Mtu huyu awe na dini au asiwe na dini tunachotaka awe mzalendo na anayeipenda nchi yake na watu wake.
 
Ni Kazi ya machadema kupandikiza chuki.

Umepotoka.Ni kazi ya CCM kupandikiza Chuki za Kidini na Kikabila.Walipiga kampeni za Udini misikitini 2010.Hivi sasa wanaendeleza kupandikiza Ukabila kwa kuwatukana Wachaga na watu wa Kaskazini.Matokeo yake Muislamu ni ngumu sana kuuzika katika Uchaguzi ujao kutokana na Wakristo kushtuka kwamba Nchi inataka kusilimishwa.
 
Nimekupata mkuu, ila whats rong with Dr Slaa btw? Yani umemuweka kwenye kundi la mafisadi? Daah! Ama ni background ya upadri ndo tatizo? as if anaenda kuswalisha ikulu?

Mkuu,

Nikuulize swali haya mabalaa ya Chadema ya usimamizi mbovu wa pesa, kujiuzia magari mitumba kwa bei juu, ufisadi wa fedha za wafadhili wa ndani na nje? kujilipa posho badala ya mshahara vyote hivyo hivyo unaona ni sahihi? Au kwa vile ni padiri ndio unaona huruhusiwi kuuliza mambo anayoyafanya mtendaji mkuu wa chama chenu? Maana wafuasi wa chadema ni wafuasi wa utopian leadership. Binafsi sioni tofauti kati yake na EL au Rostam. Sema fursa zinazidiana kama anakubali kulipwa posho isiyokatwa kodi wala kuulizwa na wanachama atakubali kwenda kula mihogo ikulu.

Tusidanganyane bana fumbo mfumbie mjinga mwerevu hustukia dili.
 
Nchi yetu ina matatizo lukuki ikiwa ni pamoja na kuwa na viongozi wapenda rushwa,mafisadi na wezi wa mali ya umma.
Pia kuna changamoto za matumizi mabaya ya vyombo vya dola,unyanyasaji kwa waandishi wa habari na pengine vitisho kwa wale wanaoonekana wapo mstari wa mbele kusimamia maslahi ya umma.

Uchaguzi mkuu unakaribia pengine kwa kutumia katiba iliyopo au katiba mpya.Vyovyote vile iwavyo uchaguzi umekaribia.

Wamejitokeza watu au vikundi vya watu vinavyohubiri au kusambaza taarifa kuwa raisi ajaye lazima atoke dini fulani kwakuwa aliyepita alikuwa wa dini fulani.Kwenye nyumba za ibada wanahubiri kuwa viongozi hutoka kwa Mungu,nawaulizeni kipindi kijacho Mungu hatafanya kazi ya kuchagua kiongozi? Msimu ujao amekasimu madaraka ya uchaguzi wa raisi mumtakaye ninyi?

Mnabishana,kutukunana na kukashifiana kwa jambo dogo kama hilo? Baadhi yetu hatuna imani au dini kama mlizonazo ninyi, hali itakuwaje iwapo nasi tutataka raisi ajaye asiwe muumini wa dini yeyote?

Maneno yenu yanaleta utengano badala ya mshikamano.Tunaweza kutofautiana fikra kwenye maeneo mengi lakini hili la raisi ajaye lazima atoke dini fulani ni fikra mfu na ningekuwa muumini wa dini zenu ningesema ni fikra za kishetani na zinaendelezwa na mawakala wake hapa kwetu Tanzania.

Enyi waumini wa dini hizo,fanyeni juhudi za kuua kabisa fikra hizo za kishetani.
Sote kwa pamoja tuungane kumchagua raisi atakayekuwa tayari au awe na uwezo wa kujua changamoto tulinazo na awe tayari kuzitatua.Mtu huyu awe na dini au asiwe na dini tunachotaka awe mzalendo na anayeipenda nchi yake na watu wake.
Soma tena uelewe, dini siyo sababu ya kuwa rais.Ila marais wanapatikana kutoka dini za tofauti.

Wasiokuwa na dini huwa hawajali sana!

Ndo nchi yetu, ndo ukweli ulivyo!
 
Back
Top Bottom