Vivyo hivyo kwenye hili la udini, Tanzania ni secular state, serikali haina dini, ila watu wake wana dini zao!. Rais nchi hachaguliwi na serikali isodini, bali huchaguliwa na watu wenye dini zao!. Jee kuna uwezekano, wa dini ya mgombea urais kuwa ni moja ya vigezo, vitakavyomfanya achaguliwe?!.
Japo haijaandikwa popote kuwa urais unapatikana kwa kupokezana kwa zamu, kati ya Wakristu na Waislamu, ila ni ukweli halisi kuwa by coincidence tuu Nyerere alikuwa Mkristo, akafuatiwa na Mwinyi, Muislamu, then Ben, Mkiristo, akaja JK Muislamu, hivyo 2015 coincidence inapaswa ku play in favour ya ni zamu ya Mkristo? If we don't break it!.
Vivyo hivyo hata kama imetokea rais wa kwanza akawa ni Mkristu, akafuatiwa na Muislamu, then akaja Mkristu, na sasa aliyepo ni Muislamu, kwa vile hakuna utaratibu rasmi wa kupokezana, ili kuundoa mfuatano huo wa coincidence tuu, mnaonaje kama rais ajaye awe Muislamu tena, na tena this time atoke Zanzibar, ili kupunguza marais wa kutoka bara tuu ndio wafuatane, yaani Mkapa alitoka bara, JK ametoka bara, na 2015 mnataka kutuletea tena rais wa kutoka bara?!, huu utakua kweli ni muungano wenye haki na usawa?!.
Tukikubali to break the circle, ya urais hakuna kupokezana, wala hakuna zamu, pia tunaweza ku break kale ka secret code kuwa amkiwa Mkristo basi ni lazima awe wa dhehebu fulani!, yaani tujiaminishe kuwa kuwa rais alipokuwa Juliasi, it just happened kuwa pia alikuwa ni Mkatoliki, na alipokuja Bunyamini, pia it just happened alikuwa Mkatoliki, hivyo hata akija Membe ambaye ni Mkatoliki, it will be "just happened!", can't we break the "just happened!", kwa kuhakikisha wengine wenye uwezo nao pia wanakuwepo kwa kuthamiria to break the circles za just happened?!.
Yaani Tanzania tuendelee kuchagua rais kwamare coincidence kuwa it just "happened" au tudhamirie kumchagua rais kwa sababu?!.