Rais ajaye ni lazima awe mkristo?

Rais ajaye ni lazima awe mkristo?

Hivi hawa waislam wanaojitangaza kuutaka Urais hawajui kuhusu uendeshaji wa nchi yetu???Membe yeye alibadili dini na kuwa Mwislam ili iweje???alijisahau siku kama ya leo itakuja???Makamba yeye anadai mama ni mristo???inawezekana ukristo uka produce mswahili???ukristo ni ustaarabu jamani,,zamu yenu ilishapita ni sisi wakristo kupokea kijiti acheni ujinga nyie,mnajifanya hamjui kuhusu hilo???nchi imejaa wanafiki sana
 
Yani wewe nae utajiita great thinker?Ni dhairi wewe unapenda sana udini yani baada yakuwaza mambo yakujenga wewe unaanzisha mambo ya udini asubuhi yote hii?kha?
 
Nchi itaongozwa na Mtanzania, nendeni makanisani na misikitini mkachague viongozi wenu huko
 
Mods nyuzi kama hizi ni za kufutilia mbali bana, mambo gani haya tunataka viongozi bora , mambo ya udini udini ni upuuzi tu, Mods hata kama hamuzi kuifuta hii nyuzi ihamishieni jukwaa la dini humu haistahili kuwepo.
 
kundi la wafia dini chini ya uongozi wa mzee Mohamed Said kahtaan na mama yake FaizaFoxy walimtegemea jk kudhoofisha wanacho kiita "mfumo kristu",matokeo yake roho wa bwana akamjaa raisi wetu naye akapuuzia wazo hilo la kishetani na mfumo kristu umezidi kujiimarisha nchini.mshikamano na upendo miongoni mwa waislamu na wakristo bado upo imara.sasa wanataka tena kujaribu bahati yao kwa mara ya pili.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa waislam wanaojitangaza kuutaka Urais hawajui kuhusu uendeshaji wa nchi yetu???Membe yeye alibadili dini na kuwa Mwislam ili iweje???alijisahau siku kama ya leo itakuja???Makamba yeye anadai mama ni mristo???inawezekana ukristo uka produce mswahili???ukristo ni ustaarabu jamani,,zamu yenu ilishapita ni sisi wakristo kupokea kijiti acheni ujinga nyie,mnajifanya hamjui kuhusu hilo???nchi imejaa wanafiki sana

Tatizo dini yenu mnaruhusu ndoaa za jinsia moja,au mwenzetu upo tayari kupakuliwa jikoni?
 
Nimesoma kwa makini makala hii lakini sioni hoja yake. Mwandishi hasemi ni kwa vipi matatizo ya watanzania wanyonge matatizo kama matibabu, elimu ya kiwango cha chini kabisa - poor quality education, barabara za mahandaki, ukosefu wa ajira utamalizwa na raisi ajaye wa dini fulani? Awe mkristo, muislamu au mpagani, haisaidii kitu kama matattizo yetu yanazidi kuongezeka siku hadi siku.
 
kundi la wafia dini chini ya uongozi wa mzee Mohamed Said kahtaan na mama yake FaizaFoxy walimtegemea jk kudhoofisha wanacho kiita "mfumo kristu",matokeo yake roho wa bwana akamjaa raisi wetu naye akapuuzia wazo hilo la kishetani na mfumo kristu umezidi kujiimarisha nchini.mshikamano na upendo miongoni mwa waislamu na wakristo bado upo imara.sasa wanataka tena kujaribu bahati yao kwa mara ya pili.

Huko ni kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
 
Tatizo dini yenu mnaruhusu ndoaa za jinsia moja,au mwenzetu upo tayari kupakuliwa jikoni?
Mkuu lengo ni kudumisha umoja wetu na si kubezana ama kutukanana!

Kwenye mada hii, hakuna anayesema kuwa unatakiwa uwe dini flani Ili uonekena mstaarabu.Hata akitokea asiye na dini, halafu aka qualify kwa mujibu wa katiba, basi hakuna shida kugombea urais.

Thread hii si ya kuzungumzia uzuri wa imani hii ama ile.Hapa tunazungumzia desturi na tamaduni zilizoleta umoja na mshikamano nchini mwetu.

Ushichangie ukiwa kwenye mode ya udini.Fikira Taifa na utanzania, kisha zingatia utamaduni!
 
mshikamano na upendo miongoni mwa waislamu na wakristo bado upo imara.sasa wanataka tena kujaribu bahati yao kwa mara ya pili.
Hapo tuko pamoja kabisa kiongozi!
 
Mkuu umeandika maneno ya maana sana, lakini unfortunately, hali halisi haiko hivyo!

Labda kama unadhani tumepata marais wa dini za tofauti kila awamu kwa bahati mbaya?

Hilo hatuwezi kulikwepa mkuu!

It is an unwritten rule! Akija rais muislam awamu ijayo lazima kutakuwa na maneno!

ni kweli kabisa hakuna namna ni lazima nchi hii itawaliwe kwa zamu kudumisha amani.
 
Yani wewe nae utajiita
great thinker?Ni dhairi wewe unapenda sana udini yani baada yakuwaza
mambo yakujenga wewe unaanzisha mambo ya udini asubuhi yote
hii?kha?

hakuna udini hapa bro. ni swala la kupeana zamu tu ila wakristo walete a competent candidate.
 
Back
Top Bottom