Hilo la kanisani hakuna aliyelidhibitisha zaidi ya maneno ya walioungana kutokana na dini zao(cuf na ccm) ila kampeni misikitini lilikuwa wazi na halihitaji proof kwa kuwa spika za sauti zilikuwa zinasikika kila kona pale penye misikiti na la pili Lipumba mwenyewe kadhibitisha alipokuwa akihubiri siasa misikitini na video yake ipo hapa hapa jf.Mbona hili hulisemi?au nyie mnataka kuligeuza taifa hili kuwa Iraq?
Nyie mlikuwa mnapiga kampeni kanisa hadi kanisa JK akataliwe kwa bahati mbaya waislamu na wasiokuwa waislamu but wenye nia njema na taifa letu wakastukizia mpango wenu mchafu wa kulazimisha kumuingiza padiri wenu ikulu sasa mmekuja kivingine ati ni zamu ya wakristo utadhani dini ndio kigezo kikuu cha uongozi hamna lolote zaidi ya UDINI TU UNAOWASUMBUA.
Wewe na wengineo hamna lengine zaidi ya udini unaowasumbua tu tuachieni taifa letu tuishi kwa amani!!!