Wewe hujalijua Kanisa.Hakuna kinachoshindikana kwake.Kampeni zilipigwa Misikitini kuwahadaa waislamu kwamba Wamchague Mwislamu mwenzao ili waweze kumshinda Dr.Slaa.Ukweli ni kwamba Waislamu walitekwa akili.Ukitaka kujua Mziki wa Kanisa CCM imependekeze Muislamu 2015.
Acha ufala kanisa kitu gani bwana nchi hii ni ya watanzania wote na tukivuruga amani wote tutateseka una akili fupi sana , nchi hii kiongozi akipatatikana tunaangalia ustawi wa nchi na sio kanisa wala msikiti, raisi hata akiwa pagani tutamuheshimu tu