Rais ajaye ni lazima awe mkristo?

Rais ajaye ni lazima awe mkristo?

Mods hivi post zoooote humu kila mtu angezifungulia uzi pangekalika?
 
Ingependeza zaidi rais akawa kijana tena wa kike na mlemavu wa macho au ngozi kwani tumewatenga siku nyingi kuna hitaji la kuwawezesha mwakani.
 
Pasco, kama umetumwa na lowassa umpigie upatu wa urais kwa kigezo cha udini umenoa...hii propaganda nimeiskia muda mrefu sana chini chini eti sasa ni zamu wa walutheri..sisi watz hatutaki udini
 
Hata sikuelewi?
Umesema "siasa ni mchezo mchafu, Slaa alikuwa Padri, ccm wakatumia hilo kwenye kampeni dhidi yake"

Nikakuuliza hukuona kuwa huo ulikuwa udini?Maana ulikuwa ukiipinga hoja ya GODLOVEME kwamba huo ulikuwa udini, wewe ukasema ni kwasababu ilitokea Slaa alikuwa padri ndo maana ccm waliweza kuitumia hiyo hoja!

Si unaona jinsi watanzania tulivyo?

Ndo nikashangazwa na hao ccm na wenye kuamini hivyo,, nikauliza tena anaenda Ikulu kusalisha?
 
Last edited by a moderator:
msaada tafadhali. kwani urais wa kikwete unaoelekea mwishoni tunaweza kuuongelea vipi katika eneo la udini? je yupo neutral, au biased? to what extent? kwani naamini majibu ya maswali haya ndo yanayoipa hoja hii relevance au vinginevyo.
Relevancy iko pale pale regardless!

Tuna makufuli lakini walinzi pia ni muhimu.

Pitia mabandiko ya nyuma mkuu, pengine suali lako litakuwa tayari limejibiwa.
 
Pasco, kama umetumwa na lowassa umpigie upatu wa urais kwa kigezo cha udini umenoa...hii propaganda nimeiskia muda mrefu sana chini chini eti sasa ni zamu wa walutheri..sisi watz hatutaki udini

Kama nyie watanzania hamtaki udini je' ukabila mnataka na ukanda au ni kwa chadema ndiyo dhana ya ukabila ,udini na ukanda unafaa ila kwa ccm nyie watanzania hamtaki hivyo mbona nyie ni vigeu vigeu??
 
Kuna mtu ana mgombea wake mlutheri kwa hiyo anajitahidi kufanya propaganda ya kuhubiti udini hapa kwa kujaribu kuonyesha kwamba kuna dini/ madhehebu yamekuwa yakitoa marais eti sasa ni zamu ya mlutheri, huu ni uzuzu na tusipoukemea utaota mizizi
 
Kama nyie watanzania hamtaki udini je' ukabila mnataka na ukanda au ni kwa chadema ndiyo dhana ya ukabila ,udini na ukanda unafaa ila kwa ccm nyie watanzania hamtaki hivyo mbona nyie ni vigeu vigeu??
Hatutaki udini,ukabila na ukanda na huo sijui ujana na uzee vyote ni laana
 
Hatutaki udini,ukabila na ukanda na huo sijui ujana na uzee vyote ni laana

Anza kuomba radhi chadema kwa kuipakazia maneno ya kashfa kama chagadema na chama cha kikanda na kikosi chako cha uzushi humu jf lakini ukikataa kuomba radhi nitaamini umepewa mlungura na kambi ya mafisadi kwenye mnyukano Wa urais
 
Hatutaki udini,ukabila na ukanda na huo sijui ujana na uzee vyote ni laana
Pitia bandiko la kwanza kwa utulivu mkuu!

Halafu kweli tutaona mengi mwaka huu, yani wewe ndo mpinga ukanda, ukabila na udini?

Ama mgombea wako kaguswa?
 
Anza kuomba radhi chadema kwa kuipakazia maneno ya kashfa kama chagadema na chama cha kikanda na kikosi chako cha uzushi humu jf lakini ukikataa kuomba radhi nitaamini umepewa mlungura na kambi ya mafisadi kwenye mnyukano Wa urais
Mkuu, tunaposema chagadema,tunataka ijirekebishe,iwe na sura ya kitaifa..iache kuegemea kwenye hizo elements za udini na ukabila..ifweero is always free man, hana minyororo ya utumwa wala kutumikia mafisadi...dr slaa akiharibu nitampa za uso,lowassa pia akiboronga nitampa za uso,halikadhalika membe,january,na yeyote yule...nasimama kama mtanzania huru daima

cc
rabouor
 
Pitia bandiko la kwanza kwa utulivu mkuu!

Halafu kweli tutaona mengi mwaka huu, yani wewe ndo mpinga ukanda, ukabila na udini?

Ama mgombea wako kaguswa?
Nimesoma thred yako yote kwa utulivu,kuna cha kujifunza,u hav a point..ila bado kuna mahali umepotoka kdg kwamba eti kuwe na kupokezana kuzingatia dini...this is pasco like thinking....
mkuu mm sina mgombea na daima sitakuwa naye...mgombea wangu ni mtz mzalendo,mwadilifu,mchapakazi na mpenda haki,usawa na mpinga rushwa na ufisadi....si muumini mwa hao mabwana mnaowapigia upatu....fatilia michango yangu hapa na kama utaona kinyume na maelezo yangu haya nihukumu.

cc
jmushi
 
Mkuu, tunaposema chagadema,tunataka ijirekebishe,iwe na sura ya kitaifa..iache kuegemea kwenye hizo elements za udini na ukabila..ifweero is always free man, hana minyororo ya utumwa wala kutumikia mafisadi...dr slaa akiharibu nitampa za uso,lowassa pia akiboronga nitampa za uso,halikadhalika membe,january,na yeyote yule...nasimama kama mtanzania huru daima

cc
rabouor
Ukisema hivyo chadema kwa dhana ya kuogopa kufikiri ata mimi ccm naijua kwa mengi zaidi kwa elementi hizo hizo kwa mtazamo Wa ujanja ujanja,,mi nadhani tunataka kiongozi shupavu atakayeweza kuwajali watanzania lkini ndani ya ccm,ukisema bora tuwe wkimbizi tuzoee kuwa tumeshauzwa tofauti na chadema au ukawa ni kazi bure!
 
Pitia bandiko la kwanza kwa utulivu mkuu!

Halafu kweli tutaona mengi mwaka huu, yani wewe ndo mpinga ukanda, ukabila na udini?

Ama mgombea wako kaguswa?
Najua unarejea kwenye hizo za ukanda,ukabila na udini kwa sababu huwa naikemea sana chadema katika hayo...amini amini mkuu,siichukii chadema...naisema na kuionya ili iache kuji attarch kwenye hivyo vitu, ndio dosari yake kubwa...mm ni mdadisi na ni mtafiti, watz wana hofu na hicho chama kwa hayo mambo tu kikirekebisha hayo tutapigia kampeni iingie ikulu hata leo hii...
 
Nimesoma thred yako yote kwa utulivu,kuna cha kujifunza,u hav a point..ila bado kuna mahali umepotoka kdg kwamba eti kuwe na kupokezana kuzingatia dini...this is pasco like thinking....
mkuu mm sina mgombea na daima sitakuwa naye...mgombea wangu ni mtz mzalendo,mwadilifu,mchapakazi na mpenda haki,usawa na mpinga rushwa na ufisadi....si muumini mwa hao mabwana mnaowapigia upatu....fatilia michango yangu hapa na kama utaona kinyume na maelezo yangu haya nihukumu.

cc
jmushi
Mkuu sina mgombea hapo, ila naona mnamuogopa sana Lowassa?
 
nakukumbuka malalamiko ya udini serikalini yalishamiri sana wakati wa mwinyi. kinara wa agenda ya kupromote uislam badala ya uzalendo wa nchi alikuwa kighoma malima. anakumbukwa kufikia kugeuza misikiti baadhi ya vyumba vya majengo ya wizara alizokuwa waziri. wakati wa mkapa hali ilitulia. kuja kikwete uislam / ukristo imekuwa balaa, mpaka wachungaji wamechinjwa, makanisa kulipuliwa, mihadhara ya kiislam ya kueneza chuki imeshamiri, nk. kwa hiyo akifuata rais mwislam tutegemee mwendelezo wa haya?
 
Back
Top Bottom