Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,048
- 143,019
mkuu mi ntakupa usd 150 we weka 100usd? accept
You got it.
mkuu mi ntakupa usd 150 we weka 100usd? accept
Mimi niko tayari kuweka mzigo Donald anashinda 750$ kama uko serious twende ata sasa hivi
DT Anafaa Ayo Ni Mawazo yangu binafsiSasa kati ya DT na HC nani anafaa?!
pia uthamini wa mama kama mzazi upo pale pale,huyo jamaa anazungumzia uongozi.kwani kama mama yako hana uwezo wa uongozi ni vibaya kusema! unataka umpe sifa ambayo hana eti kwa vile ni mama.
[HASHTAG]#iamwithher[/HASHTAG] wamarekani hawaangalii jinsia bali uwezo wa mtu katika kuendesha nchi
Usifananishe hillary na mwanamke wa kiafrika ambae halali mpaka akague simu ya mumewe
This woman is something else
Asipshinda Clinton nahama tanzaniaPunguza maaba kijana huyo mama hawezi shinda.
Waambiiee mpwaaa nahama tanzaniaUnaota kabla ya kulala!? Lala kwanza ili uote na ukiota utaota Hillary ndiye the next POTUS na siyo huyo Trump the Groper AKA maniac.
Loohh Washington yambgalaa huyooo sahaunii"we are going to Washington to draiiiiin the swamp"--Trump.
Masikinii hujui usemaloPunguza maaba kijana huyo mama hawezi shinda.
Uko gizani, unasubiri demokrasia? Rais Clinton ameshapangwaTrump anakwenda kushangaza ulimwengu kwa kuinuka kidedea, anayebisha awake dau.![]()
Dunia haiwezi kuwa salama hata rais wa marekani awe nani....huyo hilary ndio alihusika kupeleka majeshi kwa gadafi sasa akiwa rahisi dunia itakuaje salama?
Bora wewe unajua hali halisi ya duniani. Watu wanadhani USA ndo kuna demokrasiaDonald Trump atashinda lakini HATAPEWA Nchi kama ilivyokua wakati wa Bush na Al Gore na kama ilivyo tu maeneo mengine sana sana ya huku kwetu Africa ndio tumekubuu kwa wizi wa na kofoji matakeo ya kura......
Una sababu yoyote ya kusema haya?! Ubaya wake uliujulia wapi....Wengi mnaompigia promo huyu mama mtakuja kuhutia kauli zenu, huyu mama ni kama nyoka, ngozi inapendeza lakini ndani kumejaa sumu kali. Bora DP anayeongea ukweli kuliko huyu mama mnafiki, huyu hana tofauti na Bush, tofauti yao ni vyama tu.
Asipshinda Clinton nahama tanzania
Naona utabiri wangu unakaribia kutimiaTrump ndiye Rais, wafuasi wake wengi wametulia tu, watawashangaza..
You got it.
UshatimiaNaona utabiri wangu unakaribia kutimia
Pole sana me too.ahaha [HASHTAG]#supermarketing[/HASHTAG] leo tumepishana ila najua unamkubali HILLARY CLINTON kichinichini.