Raia wa Marekani kuchagua Rais kesho

Raia wa Marekani kuchagua Rais kesho

Utawala wa wanawake ushatimia Duniani
Mataifa makubwa matatu yenye nguvu kiuchumi na kiutawala yatakuwa chini ya wanawake..."utatu mtakatifu huu"
 
hapa ndio nilipokichukia iki kibibi ni kichawi sijui
 
Nakumbuka kipindi cha uchaguzi awamu ya kwanza ya Obama tulimuombea na kumshangilia hivi hivi tena tulikuwa tunaongezea kabisa ni mkenya jirani yetu.
**Team Trump**
ahaha [HASHTAG]#supermarketing[/HASHTAG] leo tumepishana ila najua unamkubali HILLARY CLINTON kichinichini.
 
Pole hujui Hata ulichoandika..Marekani Ni Super Power among those super power countries.. Sasa Uchaguzi wao NA.mshindi wake mlengo wake kisiasa una effect au impact kwa Dunia Nzimaaa.....America ikiamua Kulipia Dunia kwa Nyuklia Basi Mimi NA wewe hatuna ujanja.Ni Taifa Kubwaa una Military Base yenye Nguvu..Wewe unasema nini...Nyamaza karibu tuangalie uchaguzi unavyoendelea Kwenye T.V
afadhali umueleweshe
 
Hillary anashinda uchaguzi kuwa rais was marekani trump hashindi hz sio siasa za ccm na ukawa. hko democracy na uwazi mkubwa sana sio kama Tz anashinda huyu anatangazwa huyu.
kabisa mkuu we pray for her.
 
Back
Top Bottom