Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,113
Zimepitwa na Wakati lini?? Mbona mm naamini katika masculinity,... Au unazungumzia Wakati gani mkuu??? Kuna nchi ambazo haziitaji kuongozwa kwa hisia.... Nadhani unajua hawa wenzetu walivyokuwa watu wa feelings. Marekani bado inahitaji kuongozwa kibabe, na ubabe unaonekana wazi unapobebwa na mwanaume. Hapana kwa clintoni.Toa sababu nyingine za bi. Clinton kutoweza lakini si kwasababu ya jinsia yake.Fikra hizi zimepitwa na wakati.