Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
....
....Bedui ashinde tu aje anyooshe Demokrasia Afrika
....Bedui ashinde tu aje anyooshe Demokrasia Afrika
America ni kubwa yapo mengi ya kujifunza hukoAsante sana mkuu, nimejifunza mengi.
.....Lazima ashinde huyu mkuu..
January ameambata nae kwenda huko kwani wamemwambie aende na kikundi chake chote cha Uchakachuaji na kamati za Ufundi.Tuwaazime Jecha kama wanamtaka akawafanyie mambo...
Na yy kaambatana na February kwenda huko Texas kwa trump kumsaidia kuchachuavp jecha?
Trump anakwenda kushangaza ulimwengu kwa kuinuka kidedea, anayebisha awake dau.![]()
Ushindwe!
[emoji17] [emoji17] [emoji17]Hillary Clinton [emoji736]
I'm with her.
Unaota kabla ya kulala!? Lala kwanza ili uote na ukiota utaota Hillary ndiye the next POTUS na siyo huyo Trump the Groper AKA maniac.
January ameambata nae kwenda huko kwani wamemwambie aende na kikundi chake chote cha Uchakachuaji na kamati za Ufundi.
Na yy kaambatana na February kwenda huko Texas kwa trump kumsaidia kuchachua