Raia wa Marekani kuchagua Rais kesho

Raia wa Marekani kuchagua Rais kesho

Akili za wanawake zilivyo hapo Ikulu patageuzwa sehemu ya kusutana na umbea.....Muda mwingi rais atautumia kwenye kiooo kujipodoa
Kwa hiyo makamu wetu wa raisi nae anayafanya hayo mambo[emoji15][emoji780]
 
ww kweli mweupe kchwani unajua kila nchi rais ndo mtu mwenye mamlaka makubwa? hata israel wana rais but mamlaka makubwa yapo kwa waziri mkuu unawaaibisha lumumba wenzio aisee
Huyo waziri mkuu bosi wake ni nani? Hata CHADEMA bosi ni Mbowe lakini wanaosikika zaidi ni Lema na Tundu Lisu kwa sababu ya akili zao mbovu
 
Yule mama ni kama mwanaume tu,tofauti ni kuwa na papuchi,hata anavotembea na kuongea kama mwanaume.........VOTE TRUMP
 
Binafsi naona chochote kinaweza kutokea, kinacho nishangaza zaidi licha ya mama huyo kupigiwa debe na watu wenye ushawishi mkubwa ukiongezea na vyombo vya habari (MSM) including Establishment Elite cha ajabu bado opinion polls lead inaonyesha Hillary ajazidiana sana na TRUMP, hii inakuwaje tena au inatoa picha gani kwamba baadhi ya Wamerika awana imani na Uongozi wa mwanamke au?

Nafikiri kambi ya Hillary imekwisha liona hilo ndiyo maana wanaonekana hawako over confident - leo kwa mfano nimeona bado wanaendelea kuwasihi wananchi wajitokeze kwa wingi kumpigia kura Hillary - wanaendelea kumu-demonise TRUMP, sasa kama wana uhakika watashinda mbona wanaendelea kutumia nguvu nyingi, wakati TRUMP wala atumii nguvu nyingi kwenye kampein zake au kusema maneno mengi, hatumii watu Popular kumpigia debe akiwa jukwaani wala nini sijui!

Trump kuna kitu anajiamini licha ya vyombo vya habari kumpiga vita mara kwa mara lakini raia wa kawaida ambao ni wengi wanaotaka Taifa lao lirudi mikononi mwao kutoka kwenye mikono ya Establishment, kundi hilo la walala hoi ndilo linawatia wasi wasi kundi la Hillary.
Watu wanaleta story
 
By the way kampeni ndo zimeisha kama saa moja lililopita,namuona hapa bi clin anatua kwa ndege new york kuja kupiga kura kwao anapokelewa na umati wa watu,masaa machache baadae kutakapokucha kura zitanza kupigwa
 
Donald Trump atashinda lakini HATAPEWA Nchi kama ilivyokua wakati wa Bush na Al Gore na kama ilivyo tu maeneo mengine sana sana ya huku kwetu Africa ndio tumekubuu kwa wizi wa na kofoji matakeo ya kura......
 
Back
Top Bottom