[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji39] [emoji39] [emoji39]
Dah ningebeti sema serikali inakataza kubeti umri chini ya miaka 18 [emoji17]
Mhhhhh kwani nawe si nyumbu wa Lumumba?Ha ha ha,halafu huyu laki si pesa si ni mwanamke huyu?,
hawa lumumba FC bana,hawanaga vision kabisa
Shemeji leo umenidhalilisha sana!Hivi kweli mwanaume mzima na akili zako timamu unapanga foleni kwenda kumpigia kura Rais awe mwanamke? I can't believe this....!
Acha hisia mkuu!! Unadhan clinton au trump anaweza kataa hilo swala??? Unajua sera za usa?? Unadhan hata huyo mama anaweza kataa hizo sera??Clinton atashinda. Simkubali. Tutegemee dunia ikiongozwa na wamama. Kama wanaume walituletea ushoga hawa wamama Tutegemee nini? Clinton, may
UsagajiClinton atashinda. Simkubali. Tutegemee dunia ikiongozwa na wamama. Kama wanaume walituletea ushoga hawa wamama Tutegemee nini? Clinton, may
Nina mashaka mkuu ulilala bila ya mto ndio maana ukaota hiyo ndoto,jitahidi kuwa unalalia mto unapolala utaota kinyume na hiyo ndoto yako,which is true.Trump anakwenda kushangaza ulimwengu kwa kuinuka kidedea, anayebisha awake dau.![]()
Duhh we una moyo kwa yote yale aliyomfanyia gadaf,namuombea sana ashinde huyo mama Hillary
Duhh we una moyo kwa yote yale aliyomfanyia gadaf,
alisha kubagua lini?? sio trump wala clinton hamna mtu mweupe anampenda mtu mweusi duniani kote,so tuliza mshono.maana yyte atakayeshinda hakusaidii chochoteIli dunia inendelee kuwa salama Na America kuwa nchi mmoja napenda Bi Clinton achagulie kuwa rais Wa kwanza mwanamke Wa America
Binafsi simpendi bwana Trump!! kwanza ni mbaguzi Na Mimi si pendi ubaguzi!! yeye anakiburi cha pesa akifiri pesa ndo mungu!!
tupia hapa maoni yako au chaguo lako kati ya Bi Clinton Na Mr Trump
Fuatilia involvement yake au kauli yake kule Geneva kuhusu suala la wale mashoga waliokamatwa Malawi. Hii ilikuwa hata kabla kwa US kupitisha uhuru wa LGBT community. Hapo unajiongeza kidogo tu mkuu. Chini ya huyu mama na wenzake tutegemee surprise nyingi tu za kuathiri maamuzi ya nchi ambazo ni benefetee wa miasaada ya US na UK.Acha hisia mkuu!! Unadhan clinton au trump anaweza kataa hilo swala??? Unajua sera za usa?? Unadhan hata huyo mama anaweza kataa hizo sera??