jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,368
Katangulia na baiskeli ya mbao.War monger clinton ameshashinda huko dixvile,
Hillary Clinton wins Dixville Notch midnight vote - CNNPolitics.com
Katangulia na baiskeli ya mbao.War monger clinton ameshashinda huko dixvile,
Hillary Clinton wins Dixville Notch midnight vote - CNNPolitics.com
mwenyewe siwezi hata angekuwa na uwezo kama wa yesu!Hivi kweli mwanaume mzima na akili zako timamu unapanga foleni kwenda kumpigia kura Rais awe mwanamke? I can't believe this....!
yule kivuli tu wanaofanya maamuzi ni wanaume!ujermuan taifa lenye uchumi mkubwa kuliko yote ulaya linaongozwa na mwanamke kwa awamu tatu mfululizo sasa leo wakickia ww unasemakuchagua mwanamama ni ujinga lazima wakakupime akili kwanza kabla ya kukubishia
Mkuu, naona labda hukuelewa kiingereza.Updates matokeo Clinton aongoza kwa 71%
kwa nini usilaumu vitabu vitakatifu kwa kutomthamini mwanamke ndio uende kwa mtoa mada,pili mlaumu Mungu mwenyewe aliyotoa Mamlaka kwa Mwanaume dhidi ya Mwanamke.hayo mambo ya sijui mama alikuzaa,mara ulikaa tumboni kwake miezi 9 sio justification bali ukamilishaji ya agizo la Mungu.Basi wewe usiyemthamini mwanamke kama mama yako aliyekuzaa wewe na
Ulaaniwe milele! Hillary atakuwa Rais wa duniani lakini kama mwanamke na kama Mama ni Mungu wako wa duniani, waheshimu baba na mama upate miaka mingi duniani, Urais ni heshima ndogo sana ukilinganisha na cheo cha
Umama. Mwanamke aitwaye Mama hana mfano hapa duniani.
Endelea kulala uote vizuri mkuu.
Marekani rais haamliwi kww kura tu.
pia uthamini wa mama kama mzazi upo pale pale,huyo jamaa anazungumzia uongozi.kwani kama mama yako hana uwezo wa uongozi ni vibaya kusema! unataka umpe sifa ambayo hana eti kwa vile ni mama.Basi wewe usiyemthamini mwanamke kama mama yako aliyekuzaa wewe na
Ulaaniwe milele! Hillary atakuwa Rais wa duniani lakini kama mwanamke na kama Mama ni Mungu wako wa duniani, waheshimu baba na mama upate miaka mingi duniani, Urais ni heshima ndogo sana ukilinganisha na cheo cha
Umama. Mwanamke aitwaye Mama hana mfano hapa duniani.
Hayo mambo yako Tanzania tu.Kwani ukipiga kura si unakaa mita 200 toka kituoni?
naombeni link wadau ya kufatilia huu mtinange
Vipi kuhusu viongozi wako mkuu?????WAO MAGWANDA KILA MAHALI UTAFIKIRI WAASIYAANI OLE SENDEKA HAJUI HAPA IKULU AU lumumba
Nikupe na ya cnn?
Mkuu kichwa cha habari kilihusika 100%umelewa hapo chini? anaepinga ushindi ajetupinge!!!!! au umesoma heading tu.
itakuwa vyema !
Trump pia mkuu naomba tuweke hill dau ilabuwe mwaminifu
hapa tunazungumzia uwezo wa mwanamke kwenye uongozi ......hata Yesu hakumwamini mwanamke ndio maana katika wanafunzi wake hakukua na mwanamke hata mmoja......Wanawake wanatakiwa wakae nyumbani walee familia na si vinginevyo.....