Raia wa Marekani kuchagua Rais kesho

Raia wa Marekani kuchagua Rais kesho

Trump anakwenda kushangaza ulimwengu kwa kuinuka kidedea, anayebisha awake dau.
148427c73181bd501ce3ba30a113c37f.jpg




Tafuta pesa kivingine achana na kamari na utapeli! Trump hana chake.
 
Napenda ashinde Trump, Hilary ni muendelezo wa status quo, Trump ni new blood ktk uongozi wa taifa kubwa, impact yake ni mpaka huku kwetu!!
 
huyo hilary ndio alihusika kupeleka majeshi kwa gadafi sasa akiwa rahisi dunia itakuaje salama?
Hilary ni mtu wa kuambiwa fanya hivi fanya hivi, hafanyi maamuzi wake mwenyewe, hilary akiwa rais atakaa term moja tu ingawa atakuwa ameweka historia ya mwanamke wa kwanza kuwa rais wa marekani.
Pia ataongeza kiburi kwa akina dada/ wamama. Atakuwa mfano hai wa Beijing.
 
huyo hilary ndio alihusika kupeleka majeshi kwa gadafi sasa akiwa rahisi dunia itakuaje salama?

inaweza kuwa salama zaidi!! kuhusu kupelekwa majeshi Lybia tatizo ni sisi wenyewe Wa Africa!! kwanini ukubari kurubuniwa Na mtu mwingine?nibkwa sababu Africa tumelogwa !!siasa tunataka kuifanya kama simba Na yanga!!ushabiki bila kufikiria
 
Mie japo sio mpiga kura, lakini nampenda MAMA CLINTON
 
Bora ashinde trump tu viongozi wa Africa wanajisahau mno.

sikubariani Na wewe!! hapo unakuwa Na mawazo ya kikoloni!! kwamba sisi wenyewe hatuwezi kujipangia mambo yetu!! kuwategemea wazungu ni kosa kubwa sana kabisa!! waulize watu Wa Libya they are crying now simply kwa sababu walimtegemea mzungu
 
Uchaguzi wa mwaka huu Marekani ni kimeo.... Clinton ni mwanamke sipendekezi aiongoze Marekani. Ni lazima niwe mkweli kuwa nina mfumo dume na ninaamini Marekani inahitaji kuongozwa kiume zaidi.... Trump sio mwanasiasa, ni rahisi sana kutuingiza vitani kwa njaa zake za kibiashara. Am on crossroad.
 
Trump maana tumeshindwa kujitawala baadhi nchi ni mfumo wa wa jamhuri lakini kutokana tamaa ya madaraka Nchi zimegeuzwa kuwa za kifalme
 
Hilary ni mtu wa kuambiwa fanya hivi fanya hivi, hafanyi maamuzi wake mwenyewe, hilary akiwa rais atakaa term moja tu ingawa atakuwa ameweka historia ya mwanamke wa kwanza kuwa rais wa marekani.
Pia ataongeza kiburi kwa akina dada/ wamama. Atakuwa mfano hai wa Beijing.
[emoji2] exactly
 
Uchaguzi wa mwaka huu Marekani ni kimeo.... Clinton ni mwanamke sipendekezi aiongoze Marekani. Ni lazima niwe mkweli kuwa nina mfumo dume na ninaamini Marekani inahitaji kuongozwa kiume zaidi.... Trump sio mwanasiasa, ni rahisi sana kutuingiza vitani kwa njaa zake za kibiashara. Am on crossroad.
Toa sababu nyingine za bi. Clinton kutoweza lakini si kwasababu ya jinsia yake.Fikra hizi zimepitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom