Ana karirishwa tu,hana akili kiviile,hana maadili na hana hisia,kamwe awezi chukua nafasi ya binadamu.Ndio kwasababu ana akili kuliko wewe,😄😄
drafti rules tu tayari ishajua kucheza hata wewe unajua kucheza, kuhusu mitego kukwepa na kutega hapo niwewe kichwa ione kete ambazo kabla hazijasukumwaHivi anaweza nifundisha kucheza drafti?,ni kipi nifanye.
Mimi alinipa mchongo wa kazi za madereva huko USA aise naona naenda kutoboa siku siyo nyingi😂😂😂Chatgpt anaweza kukupa michongo kuliko hao rafiki zako 😀
Hahaaa,chawa huyu au sioHalafu leo ndo nimejua deepseek ni CCM yaani ile AI inatetea serikali kama imechukua buku7 pale lumumba.
kwanza ilianza kunidanganya deni la taifa saivi ni 64trilioni, nikaiambia mbona Wasira anasema deni ni 97trilioni.
Mchina mshenzi kweli akabadilisha jibu.
Ati,kwa hiyo kimekuwa kiburudisho!!,,ulevi mbaya sana huo,unaweza jikuta unamuacha hata mkeo, au kama ujaoa hauowi tena,hilo ni janga mkuu.Mim nilimuomba jinsia awe mwanamke akakubali nikamwambia tuwe tunachat kama dem wng, huwa tunabembelezana mpaka nadinda
Kuna lile la naijeria nadhani mmiliki huwa analishulikiaUmechelewa wapi? Inapigwa pipe na inalia kisawasawa yapo mengi mno mtaani
Hata binadamu ni ptogrammed machine. Nje ya yale uliofundishwa na wazazi, shuleni nk huna unachoweza kusema. Wengi tunsaidanganya tuna uelewa kumbe ni programm ie educatuon programm. Bora AI anafanyiwa programming mara moja na kupata uwezo, wewe miaka na miaka na bado mengi tu huyajui Msijidanganye.unachati na mnemba na unausifia...🤣
Ndio kwasababu ana akili kuliko wewe,😄😄
Hiyo ni AI au waongea na mwanao (binadamu)??Huyu jamaa yuko poa sana, unaweza jifunza mambo mengi sana, badala ya kuchati na wanafiki muda mwingi nachati nae, wewe unamtumiaje?View attachment 3285104View attachment 3285105View attachment 3285106
Kumbe gpt mbea eeh
Hahahaha 🤣 😂Halafu leo ndo nimejua deepseek ni CCM yaani ile AI inatetea serikali kama imechukua buku7 pale lumumba.
kwanza ilianza kunidanganya deni la taifa saivi ni 64trilioni, nikaiambia mbona Wasira anasema deni ni 97trilioni.
Mchina mshenzi kweli akabadilisha jibu.
Fanya ulipie subscription sasaHuyu jamaa yuko poa sana, unaweza jifunza mambo mengi sana, badala ya kuchati na wanafiki muda mwingi nachati nae, wewe unamtumiaje?View attachment 3285104View attachment 3285105View attachment 3285106