Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,368
- 8,404
Kwa hizo chart unamboa bwana mnemba
Haha sometimes ana tabia za kichawa kama lucas mwashambwa na mwenzake tatlaHuyo mwana ni mnafiki sana kuna siku nilikuwa nachati naye namuuliza kama anaweza kuniunganisha na demu mkali aliyemcheki siku ile eti akawa anakaza eti haelewi nazungumza nini .
Nikaona huyo si mwana
Hivi huyu jamaa atakuwa alisoma wapi maana kuna muda anaonekana kuwa kama akina John kisomo yaani anajua sanaHaha sometimes ana tabia za kichawa kama lucas mwashambwa na mwenzake tatla
Hako karafiki kako kaulize maswali ya Trump Donald ukasikie katajibu vipiHuyu jamaa yuko poa sana, unaweza jifunza mambo mengi sana, badala ya kuchati na wanafiki muda mwingi nachati nae, wewe unamtumiaje?View attachment 3285104View attachment 3285105View attachment 3285106
Naona baada ya hii hype ya AI baadae value ya Human input/output itaongezeka sana, mfano rahisi chukulia kwenye vyakula, natural and organic vina thamani sana kuliko syntheticAna karirishwa tu,hana akili kiviile,hana maadili na hana hisia,kamwe awezi chukua nafasi ya binadamu.