Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 2,217
- 4,272
Hapana si vyote anasapoti, kuna vitu napenda kutumia Grok alinipinga vikali sana, lakini mwishoni akaniambia hanihukumu ila nijaribu kupunguza kama siwezi kuachaUnafki kawaida hata chatgpt amejaa unafki
Soma vizuri chatting zenu utaona jinsi alivyobendera mfata upepo ukimpa mada hii anakusapoti ukigeuza kibao anakusapoti pia
Naye SI mnafki tu