Putin atinga Kremlin ghafla

Putin atinga Kremlin ghafla

Biden akisikia jina Putin, anaanza kulia lia macho yanajaa machozi na uso unajaa simanzi, sbb urais wake ndio basi tena, Urusi imemharibia sana, yaani rating yake imekuwa chini sana, Putin kawanyoosha sana aisee
Ndivyo ilivyo demokrasia ila kwa madikteta kama putin hata afanye upuuzi gani ana uhakika na kiti chake!
 
Mbona Estonia na Latvia ni majirani wa Russia walio NATO na hajawavamia mpaka sasa??

Mbona Finland imeomba kujiunga na NATO na hajaivamia mpaka sasa??

Kwa nini Ukraine ambayo haijawahi hata kusema inataka kujiunga NATO??
Lengo lilikuwa kuiba ngano
 
Huyo putin kaisaidia nini Russia zaidi ya udikteta tu na nguvu za kijeshi,kwa rasilimali ilizonazo urusi inashindwaje kuwa hata katika G5?Russia na north korea umaarufu wao ni kupingana na nato basi mwenzao China mjanja kabadili mfumo wa kiuchumi sasa yuko juu.
Kuipasua UKRAINE nizaidi ya msaada MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyombo mbalimbali vya habari nchini Urusi vimeripoti kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin ameingia katika eneo la Kremlin takribani saa tano (2300) usiku huu katika hali iliyotafsiriwa kuwa ya ghafla sana.

Sababu ya Putin kutembelea Kremlin ghafla wakati wa usiku bado haijulikani na haijawekwa wazi japokuwa wachambuzi wa mambo wanadai kuwa jambo hili linaashiria kuwepo kwa dharura inayoweza kutangazwa muda wowote na Kremlin.

Baadhi ya barabara za mitaa ya jiji la Moscow ilifungwa ili kupisha msafara wa rais Putin.




Kremlin si ndiyo ikulu ya rais, makazi yake. Kwani yeye anaishi wapi?
 
Sasa wewe rusia ana mawazo ya karne ya 19 wakati watu washatoka huko. Habari za kuvamia nnchi nyingine na kuchukua arthi yao ni mambo ya kina Napoleon
Sasa ww babu zako walivaa magamba ya miti wakati babu za kina putin walikuwa wanagundua mabomu ya nuclear..kenge kama ww jeusi kaa mkaa unaongea pumba tuu..putin anawapuuza tuu watu kama nyie..mana hata simu ulionayo imetoka kwao..huna la kujisifia. Nyie zenu ni kushabikia harmonize akiona..mara kupaka mkongo..mara nguvu za kiumee..mavi matupu mijitu mieusii
 
Vyombo mbalimbali vya habari nchini Urusi vimeripoti kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin ameingia katika eneo la Kremlin takribani saa tano (2300) usiku huu katika hali iliyotafsiriwa kuwa ya ghafla sana.

Sababu ya Putin kutembelea Kremlin ghafla wakati wa usiku bado haijulikani na haijawekwa wazi japokuwa wachambuzi wa mambo wanadai kuwa jambo hili linaashiria kuwepo kwa dharura inayoweza kutangazwa muda wowote na Kremlin.

Baadhi ya barabara za mitaa ya jiji la Moscow ilifungwa ili kupisha msafara wa rais Putin.



Long range missiles walizopelekewa Ukraine kazi imeanza walidhani ile miji Ukraine walioondoa vikosi vyao kwamba Ukraine wame-sarender kumbe ilikuwa ni technic kuondosha vikosi vyao ili atakae baki ale cha moto., lazima Putin achanganyikiwe, kazi imeanza jana rasmi
 
Back
Top Bottom