Putin atinga Kremlin ghafla

Putin atinga Kremlin ghafla

Sasa ww babu zako walivaa magamba ya miti wakati babu za kina putin walikuwa wanagundua mabomu ya nuclear..kenge kama ww jeusi kaa mkaa unaongea pumba tuu..putin anawapuuza tuu watu kama nyie..mana hata simu ulionayo imetoka kwao..huna la kujisifia. Nyie zenu ni kushabikia harmonize akiona..mara kupaka mkongo..mara nguvu za kiumee..mavi matupu mijitu mieusii
Ongeza volume
 
1997 Russia ilikuwa na uchumi mbovu ndio kipindi ambacho China alinunua teknolojia nyingi za kijeshi kutoka makampuni ya Russia na kuhamisha wanasayansi wake. Ndio kipindi wataalamu wa Russia walihama nchi kwa wingi. Uchumi haukuwa unaruhusu kufanya uvamizi kwanza ndani kwenyewe hali ya usalama haikuwa kubwa.

Ukraine pekee ndio ilisaini mkataba mwaka 1991 kwamba iharibu silaha za nyuklia, Marekani ikatoa fedha na Urusi ikatoa guarantee kwamba haitovamiwa na ikapewa guarantee kwamba Ukraine haitojiunga NATO.
Mwaka 2014 Urusi ikaivamia Ukraine na kuchukua Crimea, bado ikaendelea kuzitenga Donetsk na Luhansk. Kwahiyo huo mkataba ulishavunjwa tangu 2014
Yote yalitokea baada ya Ukraine kujihusisha na NATO na kwenye mikataba waliyoingia na Russians ilikuwa hairuhusu kuwakaribisha hao jamaa wakamlaghai kuwa hata akivunja Russia hawawezi kumfanya kitu ikachukuliwa Crimea na sasa hv donbass waliomuahidi kumsaidia wanamtumia tu silaha kwenda hawaendi.
 
Utaje mkataba mmoja, tarehe uliyosainiwa , waliousaini na mahali uliposainiwa huo mkataba.
Yote yalitokea baada ya Ukraine kujihusisha na NATO na kwenye mikataba waliyoingia na Russians ilikuwa hairuhusu kuwakaribisha hao jamaa wakamlaghai kuwa hata akivunja Russia hawawezi kumfanya kitu ikachukuliwa Crimea na sasa hv donbass waliomuahidi kumsaidia wanamtumia tu silaha kwenda hawaendi.
 
Ujamaa ni mzigo bado kushawishiana kua washirika hawawezi Hadi kutumia nguvu kupokonyana ardhi
 
Hawa Warusi wa buza wanarudia propoganda za Putin kama Kasuku tu na ushabiki wa Simba na Yanga.

Ukiwauliza wapi Ukraine ilisema au ilituma maombi ya kujiunga na NATO hawana majibu.

Ukiwauliza kwa nini Finland ambayo imetuma maombi rasmi ya kujiunga na NATO haijavamiwa na Putin mpaka sasa wanatoa macho tu kama mjusi aliyebanwa na mlango.
Hiyo ni timing ya kumla Kobe🏃🏃
 
Back
Top Bottom