Kwa hiyo NATO ni tishio kwa Putin na sio Russia? Kwa maana hiyo Ukraine inabidi avumilie putin atoke madarakani ndo ajiunge NATO?Kwa akili zako Estonia, Lativia na Lithunia wana ardhi kubwa kama ilivyo Ukraine? By the way wale walijiunga NATO Putin aliwa hayuko madarakani na kwa taarifa yako 1997 Putin angekuwa madarakani wale wapuuzi wasingejoin NATO

