Putin atinga Kremlin ghafla

Putin atinga Kremlin ghafla

Kwa akili zako Estonia, Lativia na Lithunia wana ardhi kubwa kama ilivyo Ukraine? By the way wale walijiunga NATO Putin aliwa hayuko madarakani na kwa taarifa yako 1997 Putin angekuwa madarakani wale wapuuzi wasingejoin NATO
Kwa hiyo NATO ni tishio kwa Putin na sio Russia? Kwa maana hiyo Ukraine inabidi avumilie putin atoke madarakani ndo ajiunge NATO?
 
kwahiyo unahisi USA angeweza kukubali jirani yake Mexico au Cuba kujiunga na Warsaw pact enzi ya Cold war au hata sahizi Russia waweke kambi ya kijeshi Cuba !

mambo mengine mnaongea yanashangaza sana
Hao bc ndio wale wanaojiita Wana degree ,ndio maana mimi sina degree Ila hawa wenye degree za mchongo sawa wamepoteza mda tu tukija mtaani ktk kuplan kupata pesa. Yani mtu anamwambia Putin hajui hesabu Putin ambae amesoma mpaka kiwango cha kua nguli wa upelelezi mpaka kuliongoza shilika la upelelezi la Urusi !! Na kuijenga Urusi kidogo kidogo bira ya Nato kujua mpaka kufika Urusi yenye nguvu kuliko USSR alafu mpumbavu mmoja hawezi hata kujilisha au kusaidia majukumu ya wazazi wake anakwambia vita ya kipumbavu. Jf ndio mtandao pekee duniani uliojaa wapumbavu
 
Usipoteze muda wako kuwaelewesha watu ambao akili na maarifa yao yote ni 'kwa mujibu wa BBC na CNN'
kwahiyo unahisi USA angeweza kukubali jirani yake Mexico au Cuba kujiunga na Warsaw pact enzi ya Cold war au hata sahizi Russia waweke kambi ya kijeshi Cuba !

mambo mengine mnaongea yanashangaza sana
 
kwahiyo unahisi USA angeweza kukubali jirani yake Mexico au Cuba kujiunga na Warsaw pact enzi ya Cold war au hata sahizi Russia waweke kambi ya kijeshi Cuba !

mambo mengine mnaongea yanashangaza sana
USA Akatae Kwa msingi upi?
 
Acha ubishi wa kifala basi....
Angalia ilipo POLAND alafu itafute hiyo URUSI
Screenshot_20220626-105845_Maps.jpg
 
Mimi naona wwe ndio kiazi kwasababu hujui historian kati ya Urus na Ukraine ila umekuwa mpumbavu was kujifanya unajua.
Historia ipi? Kwamba Ukraine ilikuwepo kabla ya Russia?
 
Kama namuona Biden akichungulia kwenye shuka kinachoendelea kwenye TV huku roho inamdunda balaa....
Biden akisikia jina Putin, anaanza kulia lia macho yanajaa machozi na uso unajaa simanzi, sbb urais wake ndio basi tena, Urusi imemharibia sana, yaani rating yake imekuwa chini sana, Putin kawanyoosha sana aisee
 
Mbona Estonia na Latvia ni majirani wa Russia walio NATO na hajawavamia mpaka sasa??

Mbona Finland imeomba kujiunga na NATO na hajaivamia mpaka sasa??

Kwa nini Ukraine ambayo haijawahi hata kusema inataka kujiunga NATO??
kwahiyo unahisi USA angeweza kukubali jirani yake Mexico au Cuba kujiunga na Warsaw pact enzi ya Cold war au hata sahizi Russia waweke kambi ya kijeshi Cuba !

mambo mengine mnaongea yanashangaza sana
 
Back
Top Bottom