Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,760
- 37,006
Wewe ndio huna mashiko MKUU sababu huwez ukaliamuru taifa teule liendeshe OP yake sehem fulaniSababu za rusia kuivamia Ukraine kisa hawataki wajiunge NATO hazina mashiko kwa sababu Rusia ana majirani wanao share mipaka kama poland na Estonia ambao wako NATO
Sisi WARUSI weusi na weupe tumeona sehem sahihi yakuipreshen ni hapo UKRO NATO
Kama imewauma saana nanyie pelekeni JESHI kama hamuwezi kaeni kwakutuliiia kabisa
RUSSIA TAIFA TEULE


