Narumu newz
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 2,340
- 4,977
Hawa warus wa jamii forum vilaza sana mkuu ,hawaelew hata chanzo cha hii vita wanaropoka tuu ila kwa kuwadokezea Ukraine ndio chimbuko la taifa la urusi ,tena lilichipukia jiji la kyiv.hivyo hii vita wanaojua sir ni Putin na wazee wa nchi ,wala ishu ya kuweka jeshi Ukraine halimsumbui Russia ,kiufupi haya mataifa mawili yana mengi tusiyoyafahamuWe jamaa nae kiazi kweli, NATO si wapo hapo Poland mbona wasi wapige Poland?
