Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 524
- 497
#TanzaniaRussiaRelations
Ziara Ya Kihistoria
TanzaniaInasongaMbele
Amwandalie hifadhiView attachment 3600200Wakati wa ziara yake nchini Urusi, Rais Samia atafanya mazungumzo rasmi na Rais Putin huko Kremlin Moscow. Mazungumzo yatazingatia kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ikiwemo biashara, uwekezaji, elimu, sayansi, teknolojia, nishati, madini na miundombinu. #TanzaniaRussiaRelations
Ziara Ya Kihistoria
TanzaniaInasongaMbele
kwani wa Marekani aliwahi kwenda huko lini gentleman?,,,🐒Kwanini Marais wa TZ hawaendagi urusi? Nasikia hii ni mara ya pili tangu Nyerere 1969!
Nauliza kuhusu Marais wa TZ kwenda urusi!kwani wa Marekani aliwahi kwenda huko lini gentleman?,,,🐒
wa Burundi, Kenya au Uganda hutaki kujua right?Nauliza kuhusu Marais wa TZ kwenda urusi!
Unatumajibu, gentleman!wa Burundi, Kenya au Uganda hutaki kujua right?
Vladimir Putin amepata mafunzo ya kijeshi Tanzania, nadhani alitarajiwa yeye kuzuru Tanzania mara nyingi zaidi 🐒
jieleze vema gentleman 🐒Unatumajibu, gentleman!
Anarudi lini Toka Urusi, gentleman?jieleze vema gentleman 🐒
unatamani lini gentleman 🐒Anarudi lini Toka Urusi, gentleman?
Hata asiporudi,tunasonga tuu Kwa juhudi na maarifa!unatamani lini gentleman 🐒
relax bas na itapendeza zaidi right?🐒Hata asiporudi,tunasonga tuu Kwa juhudi na maarifa!
Nitafurahi sana akipewa kikombe cha chai na bwana PutinView attachment 3600200Wakati wa ziara yake nchini Urusi, Rais Samia atafanya mazungumzo rasmi na Rais Putin huko Kremlin Moscow. Mazungumzo yatazingatia kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ikiwemo biashara, uwekezaji, elimu, sayansi, teknolojia, nishati, madini na miundombinu.
#TanzaniaRussiaRelations
Ziara Ya Kihistoria
TanzaniaInasongaMbele
Mbele kwa mbele yaaniHata asiporudi,tunasonga tuu Kwa juhudi na maarifa!
Hawa wanaendana.View attachment 3600200Wakati wa ziara yake nchini Urusi, Rais Samia atafanya mazungumzo rasmi na Rais Putin huko Kremlin Moscow. Mazungumzo yatazingatia kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ikiwemo biashara, uwekezaji, elimu, sayansi, teknolojia, nishati, madini na miundombinu.
#TanzaniaRussiaRelations
Ziara Ya Kihistoria
TanzaniaInasongaMbele