Putin atinga Kremlin ghafla

Putin atinga Kremlin ghafla

Underwood

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
1,908
Reaction score
3,134
Vyombo mbalimbali vya habari nchini Urusi vimeripoti kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin ameingia katika eneo la Kremlin takribani saa tano (2300) usiku huu katika hali iliyotafsiriwa kuwa ya ghafla sana.

Sababu ya Putin kutembelea Kremlin ghafla wakati wa usiku bado haijulikani na haijawekwa wazi japokuwa wachambuzi wa mambo wanadai kuwa jambo hili linaashiria kuwepo kwa dharura inayoweza kutangazwa muda wowote na Kremlin.

Baadhi ya barabara za mitaa ya jiji la Moscow ilifungwa ili kupisha msafara wa rais Putin.


 
Kama namuona Biden akichungulia kwenye shuka kinachoendelea kwenye TV huku roho inamdunda balaa....
Wanajinyea sasaivi maana waliambiwa wasipeleke silaha hawasikii, Leo kabla ya Putin kutinga Kremlin kulikua na mkutano unaohusu Belarus zipelekwe Iskander ambazo zisizokua na silaha za nucleus na zilizo na vichwa vya Nuclears
 
Sasa wewe rusia ana mawazo ya karne ya 19 wakati watu washatoka huko. Habari za kuvamia nnchi nyingine na kuchukua arthi yao ni mambo ya kina Napoleon
kwahiyo unahisi USA angeweza kukubali jirani yake Mexico au Cuba kujiunga na Warsaw pact enzi ya Cold war au hata sahizi Russia waweke kambi ya kijeshi Cuba !

mambo mengine mnaongea yanashangaza sana
 
Back
Top Bottom