Putin atinga Kremlin ghafla

Putin atinga Kremlin ghafla

Sababu za rusia kuivamia Ukraine kisa hawataki wajiunge NATO hazina mashiko kwa sababu Rusia ana majirani wanao share mipaka kama poland na Estonia ambao wako NATO
Wewe unamezeshwa tu taarifa,huna tofauti na kinda LA ndege. Tulia dunia ipige hatua. Nyie endeleeni kuitwa kisiwa cha amani. Duniani toka enzi na enzi imekuwa ikipiga hatua kutokana na vita.
 
Mwamba kama mwamba👍🏻👍🏻
 

Attachments

  • FB_IMG_1655981688391.jpg
    FB_IMG_1655981688391.jpg
    25.5 KB · Views: 12
Back
Top Bottom