PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

Status
Not open for further replies.
Hii ndio top ya PPF
Management

Management of the fund comprises of the Director
General who is the Chief Executive Officer and
eight directors as follows:

William Erio - Director General

Mr. Steven Alfred
Director of Planning and
Investments

Mr. Robert Mtendamema
Director of Information
Systems

Mr. Martin Mmari
Director of Finance

Ms. Vupe Ligate
Director of Legal Services

Mr. Hosea Kashimba
Director of Internal
Audit

Mr. Julius K Mganga
Director of Human Capital
Management & Administration

Ms. Assumpta Maina Mallya
Director of Operations

Ms. Uphoo Swai
Director of risk management.
Hati miliki ya nchi iko Kanisani kwa Kilaini !
Wagalatia mmejisahau kweli !
 
kwa sisi tusio na dini


Swali lako zuri sana japo unaweza ikawa mwenyewe umeliuliza kwa mzaha..Ujue mtu anapolalamika kuwa kuna sehemu kazi hutelewa kwa kuangalia dini fulani basi huoneka kama unaleta udini,watu wanasahau kuwa unapozungumzia waislamu au wakristo kuwa hizi ni jamii mbili zenye idadi ya watu wengi,sasa ukizingatia nchi yetu inasema haina dini halafu leo ziwe zinatolewa nafasi za kazi kwa wingi kwa jamii moja tu,Je hii jamii nyengine unategemea itakuwa ktk hali gani?

Naomba unipe data angalau kidogo au nipe data za interview hata moja iliyo fanyika katika mashirika tajwa hapo juu na wakaajini kwa kufuata dini. Naomba uniambie katika usahili utakao taja wakristo walikua wangapi na waislam walikua wangapi na wakristo wenye vigezo waliajiliwa wangapi na waislam wenye vigezo waliachwa wangapi. Maana mi naona unalalama kisa umeona majina ya akina John wakati hujui waliajiliwa lini na kwa vigezo gani na hujui siku ya ajira kama akina juma walikuepo au la. Tumia akili kufikiria isitumie hisia.
 
Tuwekeeni majina ya hawa, tuchambuwe:

Director of Member Services
Tel:
call_skype_logo.png
+255 26 2321526
Email: member@lapf.or.tz
Director of Human Resources and Administration
Tel:
call_skype_logo.png
+255 26 2321553
Email: hr@lapf.or.tz
Director of Research, Planning and Investment
Tel:
call_skype_logo.png
+255 26 2321554
Email: invest@lapft.or.tz
Director of Information and
Communication Technology

Tel:
call_skype_logo.png
+255 26 2320004
Email: ict@lapf.or.tz
Director of Finance
Tel:
call_skype_logo.png
+255 26 2321144
Email: finance@lapf.or.tz
Chief Legal Counsel
Tel:
call_skype_logo.png
+255 26 2321157
Email: legal@lapf.or.tz
Director of Internal Audit
Tel:
call_skype_logo.png
+255 26 2322112
Email: audit@lapf.or.tz

[TD="colspan: 2"] Director General
P.O.Box 1501
Mtendeni Street
DODOMA
Tel:
call_skype_logo.png
+255 26 2321952
Fax: +255 26 2321701
Email: info@lapf.or.tz [/TD]

mbona hamna kitu ?
 
tulivopata uhuru shule za makanisa zoote zilitaifishwa,hv ingekuwa ndo shule za kiislam wangelalamikaje hawa watu

We naona unatafuta watu wakukumbushe Nyerere alichowafanyia waislamu nchi hii.
 
mada za udini zinawasaidia nini?mngekua mnajadili jinsi ya kuhakikisha kila wilaya inapata huduma bora za hospitali na huduma za maji ya uhakika mngekua mnatendea haki huo muda mnaopoteza kupeana mipasho huku umasikini ukiwatafuna.
 
Kafiri mkubwa we! We unadhani mtu anavyojitoa muhanga huwa kwa sababu gani? Unaweza kufananisha kijielimu chako na wao. Watu wanajitambua, wanaume wa shoka sio wewe chips yai...
Du.. Kujitoa mhanga ndo kujitambua??!!.. Kaz kweli kweli
 
Mkuu usiwatusi binadamu wenzio namna hiyo.

Nafikiri wakristo wana tamaa sana ya madaraka, pamoja na kuwa karibu office zote they range 75-90% lakini bado wameshupaa na kuwapakazia waislam...

Mi nafikiri sasa iwe somo kwa waislam na kuanza kudai 50/50, coz ni ujinga wa hali ya juu mwenye kingi anaendelea kulalamika eti kapunjwa...

Kuingiliana wao kwa wao kumewaharibu sana
 
Nchii hii ina malizwa na wa.galatiaaa

Helaa haramu zote zinatakatishwa kanisani
 
Mashirika hayo ya umma yanaongoza kwa udini...huku serikali ikiwa kimya....je hii ni sawa kweli? Ukiomba kazi kama jina lako sio john au magdalena hupati kazi hapo...tunaomba serikali ilifanyie kazi suala hili................

Na nssf kama siyo juma,khamis,mwanahawa,mwamnamkasi hupati kazi kama siyo khadija,mwantumu,chiku,mwanaheri,abasi,said,mohamed huwezi kuteuliwa kuwa Dc,Rc au kuwa waziri wa wizara nyeti hata kama huna uwezo
 
kwa sisi tusio na dini


Swali lako zuri sana japo unaweza ikawa mwenyewe umeliuliza kwa mzaha..Ujue mtu anapolalamika kuwa kuna sehemu kazi hutelewa kwa kuangalia dini fulani basi huoneka kama unaleta udini,watu wanasahau kuwa unapozungumzia waislamu au wakristo kuwa hizi ni jamii mbili zenye idadi ya watu wengi,sasa ukizingatia nchi yetu inasema haina dini halafu leo ziwe zinatolewa nafasi za kazi kwa wingi kwa jamii moja tu,Je hii jamii nyengine unategemea itakuwa ktk hali gani?

Mkuu pita vyuoni au nenda kwenye mahafal uone idadi ya wakristo na waislam wanaohitimu ndio uanze kutaka usawa maofisin,hata kama waislam wangekuwa asilimia 80 ya watu wote na vyuon wako wachache unategemea watu gan wawe maofisin.
 
Nafikiri wakristo wana tamaa sana ya madaraka, pamoja na kuwa karibu office zote they range 75-90% lakini bado wameshupaa na kuwapakazia waislam...

Mi nafikiri sasa iwe somo kwa waislam na kuanza kudai 50/50, coz ni ujinga wa hali ya juu mwenye kingi anaendelea kulalamika eti kapunjwa...

Kuingiliana wao kwa wao kumewaharibu sana

Mkiambiwa msome ili muwe na maisha mazuri hamtaki mnang'ang'ana na elimu ahera,elimu ahera hamtaki elimu dunia sasa tumieni hiyo elimu ahera kuombea kazi siyo mnalilia tu hapa ili tuwaonee huruma wakati elimu dunia hamuitaki.
 
Acha udini,piga shule.waislam wote wenye elimu wameajiriwa mfano mzuri ni CAG wa sasa.mbona rais wa Tz na Znz ni waislam,makamu maraisi 3 ni waislam,mbona wakristo hawasemi?
 
Umesahau na ukabila.. Na makabila yanayoongoza kwa kuwekana vyeo kikabila ni

wahaya
wachaga

na hata ukienda wizara wanayoongoza hizi kabila mbili utakuta yamejaa kabila moja


nchii hii ukabila na udin upo ila tu bado mawazo ya mwl nyerere yapo vichwan mwa watu

hvyo twavumilia kuimarisha umoja


TUTAKOMA SIKU AMBAYO KABILA MOJAWAPO KATI YA HAYA MAWILI YAKISHIKA URAIS......

kiufupi wenzetu wa arusha.. Moshi na bukoba ni wabaguz sana

na ndyo maana tunasema Rais hawezi toka arusha.... Moshi wala bukoba.........

hiyo Ni kweli
 
Mashirika hayo ya umma yanaongoza kwa udini...huku serikali ikiwa kimya....je hii ni sawa kweli? Ukiomba kazi kama jina lako sio john au magdalena hupati kazi hapo...tunaomba serikali ilifanyie kazi suala hili................


Kama kuna mtu aliyeajiriwa huko ujue huyo dini kwake sio ishu.Kwake pesa ndio kitu cha muhimu.

Mtu anayeipenda dini kwa dhati hawezi kukimbilia kwenye hizi ajira kwani zinalipa mishahara mikubwa kutokana na kuwadhulumu wateja kwa kutumia sheria za kinyonyaji na sio sheria za dini.

Hata mabenki mengi yanalipa mishahara kwa kutumia riba wakati dini zote zinapinga riba.

Hii mifumo ya ajira imeasisiwa na wapagani kwa ajili ya kutafuta pesa tu sio kuhubiri dini.
We kama unataka ajira achana na kuleta mambo ya udini.Haya mashirika hayaajiri mapadri au mahehe au wachungaji wa kuhubiri dini.

Mbona hatutafuti takwimu ya walioajiriwa kwa siri kuuza madawa ya kulevia kuwa wanabaguliwa kwa dini?

Hao wadini waanzishe makampuni yao na benki zao za kidini ili walete mambo ya ibada.Vinginevyo haya mashirika ya kinyonyaji ,dhulma na riba hayana dini.Yanaajiri mwenye sifa tu kwa sababu yanatafuta faida kubwa.

Karne hii watu hawaangalii dini wanaangalia pesa tu.

Leo hii Mwekezaji akija kuwekeza kwenye bucha za kisasa zenye mashine za kuchinja na kusindika nyama ya nguruwe na ajira zikatangazwa zenye mishahara minono kama ile ya kusema uongo bungeni basi watu watakimbilia bila kuangalia dini zinasemaje .
Na atakayekosa ajira atalalamikia udini.Wengine watabadili mpaka majina ili tu wapate pesa.
Hata mleta mada sio kwamba una uchungu na watu wa dini yako bali unauchungu na watu wako kukosa pesa.
Ungekua na uchungu na dini na nafsi zao ungekemea kwanza jinsi haya mashirika yanavyojiendesha kwa dhulma na kuwanyonya wanachama wake ili wajilipe mishahara mikubwa. Ungewakataza kwenda kuajiriwa kwenye mishahara inayotokana riba wanazopata kutokana na kukopesha pesa serikali na makampuni makubwa.

Usigeuze dini kuwa genge la watu wanaopigania utafutaji wa ajira na pesa.

Ajira popote duniani zinatolewa kwa sifa na kujuani sio dini.
Leo hii wachina wanateka soko lote la ajira wakati sio wakristo wala waislam wewe unakuja na blah blah zako za udini hapa.!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom