PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

Status
Not open for further replies.
Mbona waimbaji Wa taarabu wote waislamu Basi nawao wachunguzwe...sijawai kuona muimba taarabu mkristo
 
Kafiri mkubwa we! We unadhani mtu anavyojitoa muhanga huwa kwa sababu gani? Unaweza kufananisha kijielimu chako na wao. Watu wanajitambua, wanaume wa shoka sio wewe chips yai...

Kwa hiyo wewe mwanamke? mbona hujitoi mhanga kama wale wengine au ujitambui? kwa hiyo umeridhika na waislam chini miaka yote hiyo?
 
WAGALATIA aka WAKIRISTU mkichinja huwa mnamtaja na kumshukuru nani !?? Maseto

Sisi tuna maelekezo tumepewa na Mola wetu Mlezi SWT

'Wala msile katika wale (wanyama) wasio somewa jina la Mwenyezi Mungu (wakati wakichinjwa). Kwani huo ni upotofu. Na kwa yakini mashetani wanafunza marafiki zao (Wakiristu) kubishana nanyi (Waislaam). Mkiwafuata (Wakiristu) basi hapana shaka nyinyi mtakuwa washirikina (kama Wakiristu).
Qur'an:6:121

Nyie mnapenda kujimilikisha kuchinja sababu ya uroho tu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo wewe mwanamke? mbona hujitoi mhanga kama wale wengine au ujitambui? kwa hiyo umeridhika na waislam chini miaka yote hiyo?
Umeshawahi kusikia Al-shabaab amejitoa muhanga...kwa Africa hamna jeshi linaloweza kupambana na Al-shabaAl-shabaab...mtu anajitoa muhanga iwapo amezungukwa na watu wengi...mfano mkiwa watu wa taco na mnapambana na watu mia mbili...mmoja akajitolea kijitoa muhanga name Kufa na watu 200...mtakuwa amjashinda vita...kwa hiyo mtu anaona bora kujitolea kufa na watu 200...kama si hivyo watauwawa wote wa 5 na makafiri kutawala ile sehemu
 
Nafikiri wakristo wana tamaa sana ya madaraka, pamoja na kuwa karibu office zote they range 75-90% lakini bado wameshupaa na kuwapakazia waislam...

Mi nafikiri sasa iwe somo kwa waislam na kuanza kudai 50/50, coz ni ujinga wa hali ya juu mwenye kingi anaendelea kulalamika eti kapunjwa...

Kuingiliana wao kwa wao kumewaharibu sana

Tukifanya 50/50 hii nchi itaporomoka chini kiuchumi na usalama zaidi ya Somalia.Hii inadhihirishwa na utendaji wenu,you guys you're not ambitious yaani mnaridhika na vitu vidogo vidogo yaani you don't think big.Wenzenu wana njaa ya prosperity in life ndio maana wanaanza kuinvest heavily at a very young stage kwa watoto/familia zao kwenye elimu na malezi bora.That what differenciate btw these two dini.
 
Umeshawahi kusikia Al-shabaab amejitoa muhanga...kwa Africa hamna jeshi linaloweza kupambana na Al-shabaAl-shabaab...mtu anajitoa muhanga iwapo amezungukwa na watu wengi...mfano mkiwa watu wa taco na mnapambana na watu mia mbili...mmoja akajitolea kijitoa muhanga name Kufa na watu 200...mtakuwa amjashinda vita...kwa hiyo mtu anaona bora kujitolea kufa na watu 200...kama si hivyo watauwawa wote wa 5 na makafiri kutawala ile sehemu

Coward dies many times,feel sorry for you guys.
 
Tukifanya 50/50 hii nchi itaporomoka chini kiuchumi na usalama zaidi ya Somalia.Hii inadhihirishwa na utendaji wenu,you guys you're not ambitious yaani mnaridhika na vitu vidogo vidogo yaani you don't think big.Wenzenu wana njaa ya prosperity in life ndio maana wanaanza kuinvest heavily at a very young stage kwa watoto/familia zao kwenye elimu na malezi bora.That what differenciate btw these two dini.

Are you ambitious...? Really...? Do you think big...? You Galatians...?

Couldn't ask yourself how Tanzania remain poor despite of all natural resources God endowed us at the same time mnajisfia mko ambitious, mko ambitious na nini...?

Ikiwa Tanzania imeongozwa na kiasi kikubwa na wagalatia walio na bado imeendelea kuwa.maskini, don't you see ninyi ndio mna matatizo...? Wezi, waporaji, mafisadi, chenge type...! Hamjisikii aibu...?
 
Sikutaka kuchangia mada,ila nimekumbuka zamani enzi za mzee mwinyi kitu kama hiki kilitokea kwa waislamu kutaka kupendelewa katika ajira.
Mzee mwinyi ambaye ni mwislamu,aliwaambia anafanya uteuzi kulingana na sifa za kitaaluma,hivyo aliwaomba waislamu kuwapa watoto wao elimu dunia
 
Ukisema wakrito wanasababisha umaskini katika nchi hii itakuwa hauwatendei wakristo au haujui jinsi zinavyoendesha.
Chukuwa mfano wa Zanzibar kama nchi kwa mujibu wa wachangiaji wa pro-islam ilitakiwa iwe model kwa sababu asili mia 99.9 ya workforce ni jamii ya kiislamu.
Is Zanzibar better then mainland?
Kama jibu hapana ni kwanini watu idadi ya watu ipo chini ya millioni moja,tunaweza hakuna maendeleo ni kwa sababu ya viongozi wote ni waislam,na uislam?
Mimi siamini hivyo kwa maendeleo kwa nchi zetu za kiafrika zina changamoto nyingi za ndani na nje na wala sio ukristo na uislamu.
 
Ukisema wakrito wanasababisha umaskini katika nchi hii itakuwa hauwatendei wakristo au haujui jinsi zinavyoendesha.
Chukuwa mfano wa Zanzibar kama nchi kwa mujibu wa wachangiaji wa pro-islam ilitakiwa iwe model kwa sababu asili mia 99.9 ya workforce ni jamii ya kiislamu.
Is Zanzibar better then mainland?
Kama jibu hapana ni kwanini watu idadi ya watu ipo chini ya millioni moja,tunaweza hakuna maendeleo ni kwa sababu ya viongozi wote ni waislam,na uislam?
Mimi siamini hivyo kwa maendeleo kwa nchi zetu za kiafrika zina changamoto nyingi za ndani na nje na wala sio ukristo na uislamu.

We mburula jifunzeni kusoma na kuelewa msishindie ushoga tu, would you compare these two(Tanganyika&Znz) before what I call occupation ( Tanganyika occupied Znz) in terms of per capita income...
 
Mashirika hayo ya umma yanaongoza kwa udini...huku serikali ikiwa kimya....je hii ni sawa kweli? Ukiomba kazi kama jina lako sio john au magdalena hupati kazi hapo...tunaomba serikali ilifanyie kazi suala hili................

mbona nssf umeiacha?
 
Mashirika hayo ya umma yanaongoza kwa udini...huku serikali ikiwa kimya....je hii ni sawa kweli? Ukiomba kazi kama jina lako sio john au magdalena hupati kazi hapo...tunaomba serikali ilifanyie kazi suala hili................
Hiyo ni inferiority complex tu hakuna udini hapo! We umejuaje kua dini yako ndio imekufanya ukose kazi na sio vigezo?
 
Are you ambitious...? Really...? Do you think big...? You Galatians...?

Couldn't ask yourself how Tanzania remain poor despite of all natural resources God endowed us at the same time mnajisfia mko ambitious, mko ambitious na nini...?

Ikiwa Tanzania imeongozwa na kiasi kikubwa na wagalatia walio na bado imeendelea kuwa.maskini, don't you see ninyi ndio mna matatizo...? Wezi, waporaji, mafisadi, chenge type...! Hamjisikii aibu...?
so far ni 2-2 (nyerere, mwinyinyi, mkapa, kikwete) usisingizie ukristo kua umerudisha nyuma maendeleo. Ukosefu wa umakini, uwajibikaji, na utendaji mbovu ndio vizungumziwe na sio dini zao. It sound prudent to judge someone deeds rather than his/her religious affiliation
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom