waislam wapo sensitive sana kwenye udini.Timu ya taifa ya tz always waislam ni zaid ya80%. Utasema waislam mnabebwa hap?
unataka ufanywe nini ili uelewe? waislam wanasema taasisi za umma wamejaa wakristo wengi sana kwa sababu ya upendeleo wakristo wanajibu wao ndo wamesoma nchi hii, hapohapo wakristo wanalalamika nssf imejaa waislam, sasa waislam wanasema kama hawajasoma hao wanaoajiriwa nssf wanatoka yemen? pia waislam tunaamini taasisi ikiongozwa na muislam wakristo hawapendi hata kama inafanya vizuri wataipiga vita tu, mfano nssf na udom, ukiangalia huko udom na nssf staff wakristo ni wengi kuliko muslim,