PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

Status
Not open for further replies.
Mimi ni muislam pure ila ukweli ni kwamba cc mujahedina hatuna elimu.

Naamini wakristo ndo mtakaoathirika zaidibalaa la udini likishalipuka, nyie endeleeni tu na dharau dharau kama hizi,cozndo mnauchochea. Waislam usually hatuogopi kufa kwa ajili ya dini yetu tofautina nyinyi, so take care
 
Nchii ilipofikia inabidi mtu ujaribu kuwa makini wakati WA kujitambulisha dini yako mbele za watu unaweza kushtukia unakula mijeledi.
 
Mkuu ni kweli kabsa hata ukija kwenye mashule ya st.utawakuta waislam wengi wanasoma na wanapewa uhuru wa kuabudu siku za dini na kuna maustadhi wanakuja,mimi ningependa kuwashaul waislam wajitaidi kupeleka watoto wao shule angalau kupunguza gape lililopo,inasikitisha unapoenda kwenye mahafari ya vyuo vya umma kama udsm utagundua asilimia kubwa ya wahtimu ni wagalatia sasa uko kwenye vyuo vya kanisa si ndio balaa,harafu unategemea maofisini watakuwa wakina nani,kuendelea kulalamika hakutasaidia kikubwa ni kuwekeza katika elimu

mbona nssf mnalalamika wanaajiri muslim tu? hao waislam wanawatoa wapi ilhali nyie ndo mmesoma?
 
mbona nssf mnalalamika wanaajiri muslim tu? hao waislam wanawatoa wapi ilhali nyie ndo mmesoma?

hapo sasa,

hao jamaa mimi nakuambia ni wa kuwahurumia tuh

wao wanachojua ni wizi tuh kama huu wa escrow
 
mbona nssf mnalalamika wanaajiri muslim tu? hao waislam wanawatoa wapi ilhali nyie ndo mmesoma?

Mkuu sio swala la kulalamika ishu ni udini,kuna waislam waliosoma sema idadi yao bado ndogo sasa hata kama mkijazana nssf kwa kuangalia dini ya mtu haitasaidia bado kuna gepu kubwa,solution ni kupeleka watoto shule ni kuwapa elimu bora,uzuri waislam wajanja siku hizi wanawapeleleka watoto shule za kigalatia tangia kindergaten wameshaelewa kwenye elimu hakuna mashndano bora watoto wapate elimu bora.
 
Mashirika hayo ya umma yanaongoza kwa udini...huku serikali ikiwa kimya....je hii ni sawa kweli? Ukiomba kazi kama jina lako sio john au magdalena hupati kazi hapo...tunaomba serikali ilifanyie kazi suala hili................

uliomba kazi gani, na attach CV zako kwanza tuone kabla ya kujadili. suala hili halina ukweli kabisaaa
 
Mkuu sio swala la kulalamika ishu ni udini,kuna waislam waliosoma sema idadi yao bado ndogo sasa hata kama mkijazana nssf kwa kuangalia dini ya mtu haitasaidia bado kuna gepu kubwa,solution ni kupeleka watoto shule ni kuwapa elimu bora,uzuri waislam wajanja siku hizi wanawapeleleka watoto shule za kigalatia tangia kindergaten wameshaelewa kwenye elimu hakuna mashndano bora watoto wapate elimu bora.

haya ndugu ila naomba niwashauri kitu, hayo mashule yenu yafundishe maadili watu wawe na hofu ya mungu sio kuzalisha wasomi wengi alafu ni majizi na mafisadi ya kutupwa nchi itaendelea kuwa maskini kama tutaendelea kutegemea product za kanisa
 
kwa iyo hata pspf nao ukizingatia boss ni Muislam bado na wao bila jina john huingii ehhh? peleka mbele shombo zako hizi
 
Wakristo wanaongoza kwa udini angalia tra,mabenki serikali kote wamejaa wagalatia tu.
Mkulu wa kaya, msaidizi wake nao wakristo?
Hizo taasisi za umma wakurugenzi wake wanateuliwa na nani?
Serikali inaundwa na nani!
 
tulivopata uhuru shule za makanisa zoote zilitaifishwa,hv ingekuwa ndo shule za kiislam wangelalamikaje hawa watu
 
haya ndugu ila naomba niwashauri kitu, hayo mashule yenu yafundishe maadili watu wawe na hofu ya mungu sio kuzalisha wasomi wengi alafu ni majizi na mafisadi ya kutupwa nchi itaendelea kuwa maskini kama tutaendelea kutegemea product za kanisa

Mkuu wizi au ufisadi ni tabia ya mtu,shule haimfundish mtu aende kuwa mwizi au jambaz
 
wizi ni kipaji cha mtu binafsi na sio dini..vipaji binafsi vingine ni kama umalaya,uongo,udini,uchawi..ongezea yako..
 
kwan sisi ndio tumeanza kulizungumzia hilo au nyinyi??

mkitakaje sasa,,sisi tunawapa takwimu zenu nyinyi wenyewe baada ya nyinyi kuanza kuleta maneno ya choko choko,

kama unataka tusiangaliane kwa udini basi mfunge hizo bakuli zenu na muache kuropoka ropoka maneno yasiyo na mpango,

kila sekta ya umaa mmejaa nyinyi

inachukiza mkiona kuna agency flan au shirika flan akiteuliiwa muislam mnaanza kuongea maneno ya kejeli eti udiniii udiniii then mkirajia sisi tukae kimya kuhusu hizom kauli zenu,

infact sisi tumekuwa wavumilivu kwa kias kikubwa sana dhidi ya dhulma zenu na kauli zenu za reja reja kwetu,

juzi tuh hapa tumeshuhudia wizi wa mabillion ya pesa zetu na maaskofu na makanisa yakihusika,

hujaskia muislam hata mmoja akipaza saut na kulalamika,tumejikalia zetu kimya sio kwamba hatuoni au hatuumii au hatuji kuwa hizo ni fedha zetu walipa kodi,

tunavumilia kwa kias kkubwa sana dhambi hizo,

ila thubutu pesa hizo zingechukuliwa na masheikhs au mabenk hayo yangekuwa yanamilikiwa na misikiti haki yanani tusingekaa ndan ya nchi hii,

lazima tungeskia hizo fedha ni kwa ajili ya kwenda kufadhiri ugaidi na wahusika wachukuliwe hatua,

na tungeskia matamko chungu tele ya mabaraza ya maaskofu,.,,lakin sisi tumejikalia zetu kimyaa tunawaangalia tu,sio kama hatuoni uozo wenu huo.

Pumba tupu.
hyo kodi mnalipa waislamu peke yenu nchini?hovyoo
 
Mkuu ni kweli kabsa hata ukija kwenye mashule ya st.utawakuta waislam wengi wanasoma na wanapewa uhuru wa kuabudu siku za dini na kuna maustadhi wanakuja,mimi ningependa kuwashaul waislam wajitaidi kupeleka watoto wao shule angalau kupunguza gape lililopo,inasikitisha unapoenda kwenye mahafari ya vyuo vya umma kama udsm utagundua asilimia kubwa ya wahtimu ni wagalatia sasa uko kwenye vyuo vya kanisa si ndio balaa,harafu unategemea maofisini watakuwa wakina nani,kuendelea kulalamika hakutasaidia kikubwa ni kuwekeza katika elimu

Ungeshauri ile Parokia ya NECTA ifungwe pale baraza la mitihani kwani hakuna Muislaam amewahi kufikishwa Mahakamani kwa kosa la kutompeleka mtoto shule ! Montoya
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom