PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

Status
Not open for further replies.
Hayataisha Msiposoma Na Kuacha Kuendekeza Visasi,nawasihiMsijilipue!
 
Mimi ni muislam pure ila ukweli ni kwamba cc mujahedina hatuna elimu.
 
Fani yenu ni kujilipua jilipueni nasi tuwa guantanamo
 
Serikali inatakiwa kuchunguza mashirika hayo

Haya tuambie:
1. Rais ni........
2, Makamu wa Rais ........
3 Waziri wa Fedha ni ...............
4. Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) ni .........
5 Mhasibu Mkuu wa Serikali (Accountant General) ni .......
6. Commissioner General TRA ni ............

Sasa huo udini unaopigiwa kelele ni upi?
 
mdau labda nikueleze,sitegemei fadhila mie kupata kazi/ajira,ajira yangu nimeipata kwa vigezo vya elim nilonayo,na pia ofisi yangu 85-90% ni tofaut na dini yangu ila naish nao pisi sana wala sijawah kuwaizia mambo za udini kabisa na haitatokea,mkuu wangu wa kazi namheshim kama mkuu wangu na kama mzee wangu pamoja na wasaidizi wake.Na pia sifikirii kama itakuja kutokea ntapewa feva kwa sababu ya dini yangu mdau THE BIG SHOW,nilichokisema hapo kama watu wanawaza kupata fursa kwa udini/ukabila ni wao sio mimi naamini nimesoma na ajira nimeipata kwa sababu ya elim yangu,halafu bahat mbaya umekurupuka tu na hujui imani yangu ni ipi.
Nimetoa rai kwetu wote kuwa kujadili masuala ya udini hakuna tija.

Big up kiongozi, umeongea kama kijana /mtu aliye na busara sana. Hakuna kitu kibaya kama kudhihakiana au kutofautiana kidini na kikabila...!
 
Last edited by a moderator:
Jana watu walikuja na NSSF kuwa ya akina Bakari. Leo hizi ni akina John. Huu ni udini. Kwanini munapandikiza chuki kwa watanzania. Kama hauna sifa unadhani utapata?
 
Huoni uteuzi wa juzi hapo aliteuliwa Mwenzenu, komaeni na shule ,Mkulu amewasaidia sana
 
Kuna dini inapewa hadi ruzuku (mou), na nyingine haipewi. Kwa hali hiyo kweli wataacha kuwa wengi mashuleni na maofsn?

Usisahau benki zao pia zinatumika kutakatisha fedha haram.

Bora kutakatisha pesa haram kuliko kuadhiri magaidi.
 
uliyeleta mada hii umetumwa na ramadhani dau sio bure
 
Hivi watangazaji wa tv hasa hizi kubwa(itv,star tv,chanel 10 na tbc) hazinaga watangazaji wakike waislam? Sijawah ona mwanamke kajistr anasoma taarifa ya habari, au vigezo na mashart haviruhusu?

Humwonagi Stumai George wa Star TV anavyotupiamo kininja!
 
Kuna dini inapewa hadi ruzuku (mou), na nyingine haipewi. Kwa hali hiyo kweli wataacha kuwa wengi mashuleni na maofsn?

Usisahau benki zao pia zinatumika kutakatisha fedha haram.

Dini gani hiyo?
MoU ndiyo ruzuku gani?
 
Nashauri tusilete mambo ya udini. Sisi ni Watanzania wote na tuna nafasi sawa kupata kazi kwenye mashirika yaliyotajwa. Mfano LAPF ni Shirika ambalo hakuna udini kabisa.
 
Kusema kweli mtoa mada is missing a point hayo aliyoyasema huwa yanafanywa na shirika moja kubwa hapa nchini nalo bila kumungunya maneno ni nssf na dr ramadhani dau pale mzee ndio mwisho wa maneno cv sio dili bora uwe sala tano\na anasaidiwa na wenye mamlaka ambao nao mwendo ni ule ule.....

Jamani dau dau dau jiangalie na ujitathmini sio kuleta thread hapa ya kupoteza mwelekeo kuficha ukweli
nssf nssf nssf nssf nssf acheni udini basi bora muwe hamtangazi kazi kabisa fanya kwa hao walengwa....
 
me nawashangaa sana hawa jamaa,

sijui huwa wanadhani kwamba hii nchi ni ya kwao pekeyao???

Unajua yule kafir nyerere aliwazoesha vibaya sana hawa jamaa.

Kias kwamba hadi wakawa wanafikia hatua ya kujiona kwamba wao ni first class citizen ndan ya taifa hili na wao ndio wanaodeserve kukalia hizo ofc za umma,

cha ajabu basi wamekali hizo ofc miaka zaid ya 50 hamsin sasa huku wakijiita wasomi,

hakuna wanachofanya nchi inazid kuwa maskin na wao wamekalia wizi na ufisadi tuh

hakuna wanachokijua zaid ya hicho,

watu wa ajabu sana


tatizo lenu kuendekeza ushirikina na ushari.watu wanapenda amani na maelewano,nyie popote mlipo duniani amani na maelewano ni hadithi.hili sio swala nyerere, acha ushetwani jamii itawaamini.iraq,cyria.somalia,libya,misiri,pakistani,nigeria,africa ya kati,mali,kenya,morocco n.k.
 
Kafiri mkubwa we! We unadhani mtu anavyojitoa muhanga huwa kwa sababu gani? Unaweza kufananisha kijielimu chako na wao. Watu wanajitambua, wanaume wa shoka sio wewe chips yai...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom