Hebie
JF-Expert Member
- Jul 29, 2012
- 1,415
- 878
Ila NSSF ndiyo siyo wadini? Halafu sijui umedata au nini mnona umepotea jukwaa?
Unajua ulichoandika hapo juu?
Ila NSSF ndiyo siyo wadini? Halafu sijui umedata au nini mnona umepotea jukwaa?
Nashauri tusilete mambo ya udini. Sisi ni Watanzania wote na tuna nafasi sawa kupata kazi kwenye mashirika yaliyotajwa. Mfano LAPF ni Shirika ambalo hakuna udini kabisa.
Kusema kweli mtoa mada is missing a point hayo aliyoyasema huwa yanafanywa na shirika moja kubwa hapa nchini nalo bila kumungunya maneno ni nssf na dr ramadhani dau pale mzee ndio mwisho wa maneno cv sio dili bora uwe sala tano\na anasaidiwa na wenye mamlaka ambao nao mwendo ni ule ule.....
Jamani dau dau dau jiangalie na ujitathmini sio kuleta thread hapa ya kupoteza mwelekeo kuficha ukweli
nssf nssf nssf nssf nssf acheni udini basi bora muwe hamtangazi kazi kabisa fanya kwa hao walengwa....
Wala msijichoshe kikubwa sio.udini.kikubwa ni vimemo.kote ulikotaja.thubutu Athuman umetokea kusikojulikana ujitie ntachikuliwa sababu ya udini.hapa kinacho ongoza ni vimemo tu.
chunguza mifuko ya pension yote.wachache waliopatq kazi from no where.vimemo vyenyewe vinazidi nafasi mpaka vinachambuliwa kwa vyeo vya walio viandika uswahiba.so vijana dini sio kigezo tu cha kukunasua.
Na wezi wa escrow dini gani?
ni lini threads za udini zitaisha humu jamii forum?
Hapa ofisini kwangu walikuja watu wa NSSF wawili.., walikuwa ni wadada wawili wa kiarabu arabu hivi.., halafu walionekana ni ndugu..., nilianzisha thread ya udini hapa siku hiyo hiyo. NSSF na TRA ni wadini.., tuache utani.NSSF ndo hatar mno kwa udini,majna wanayopata kaz ni asha,hamida,ashura etc
Mnasoma uchawi badala ya elimu
hawa hawatusumbui akili yetu sisi kwa sasa hata kdgo,
taifa hili limekuwa maskin shauri yao na ufisadi wao,
hawatupi shida hawa kwa sasa hata kidogo
Mashirika hayo ya umma yanaongoza kwa udini...huku serikali ikiwa kimya....je hii ni sawa kweli? Ukiomba kazi kama jina lako sio john au magdalena hupati kazi hapo...tunaomba serikali ilifanyie kazi suala hili................
dalili za mtu kufilisika kimawazo ni kuangalia kila kitu katika mtizamo wa kidini. Katika mashirika na taasisi zote zilizotajwa ambazo kwa bahati nzuri zote nazifahamu fika hakuna udini hata kidogo. Ni dhana ya kulishwa na kuaminishwa tu either na watu waliofilisika kimawazo au waumini wa dini. Kumbuka dini ni bangi ukiivuta utachanganyikiwa na siku hizi dini ni moja ya magonjwa ya akili. Chukua hatua!
msimu wanaouita wa sikukuu umekwisha wadia sasa anza kutembelea ofisi za umma uone mambo, bank ya posta ni vinara kwa hili,
kwan sisi ndio tumeanza kulizungumzia hilo au nyinyi??
mkitakaje sasa,,sisi tunawapa takwimu zenu nyinyi wenyewe baada ya nyinyi kuanza kuleta maneno ya choko choko,
kama unataka tusiangaliane kwa udini basi mfunge hizo bakuli zenu na muache kuropoka ropoka maneno yasiyo na mpango,
kila sekta ya umaa mmejaa nyinyi
inachukiza mkiona kuna agency flan au shirika flan akiteuliiwa muislam mnaanza kuongea maneno ya kejeli eti udiniii udiniii then mkirajia sisi tukae kimya kuhusu hizom kauli zenu,
infact sisi tumekuwa wavumilivu kwa kias kikubwa sana dhidi ya dhulma zenu na kauli zenu za reja reja kwetu,
juzi tuh hapa tumeshuhudia wizi wa mabillion ya pesa zetu na maaskofu na makanisa yakihusika,
hujaskia muislam hata mmoja akipaza saut na kulalamika,tumejikalia zetu kimya sio kwamba hatuoni au hatuumii au hatuji kuwa hizo ni fedha zetu walipa kodi,
tunavumilia kwa kias kkubwa sana dhambi hizo,
ila thubutu pesa hizo zingechukuliwa na masheikhs au mabenk hayo yangekuwa yanamilikiwa na misikiti haki yanani tusingekaa ndan ya nchi hii,
lazima tungeskia hizo fedha ni kwa ajili ya kwenda kufadhiri ugaidi na wahusika wachukuliwe hatua,
na tungeskia matamko chungu tele ya mabaraza ya maaskofu,.,,lakin sisi tumejikalia zetu kimyaa tunawaangalia tu,sio kama hatuoni uozo wenu huo.
uzur wa JF watu hatujuan raha sana,haya mwanantwara me siendesh ligi ya ubish hapa maana hatujuani.
Nakutakia Ijumaa njema