Acha udini,piga shule.waislam wote wenye elimu wameajiriwa mfano mzuri ni CAG wa sasa.mbona rais wa Tz na Znz ni waislam,makamu maraisi 3 ni waislam,mbona wakristo hawasemi?
Hivi kule Zanzibar hakuna Wakristo wasomi? Kama wapo mbona hawasikiki kabisa?