Hatari sana kaka@menemeneteke
ungepewa na nani mkuu?Mimi hiyo 50000 ningepewa eti niende nalala nayo mbele naenda kununua vitu vya pasakaš¤£š
wanasema ni "engaging and conectivity"Kuna mipumbavu inalipia elfu 50 kwenda kusikiliza ujinga kama huo? Wanaume wa Dar kuna shida mahali!
Hali sio hali watu wanapigia bajeti hako kafiftiungepewa na nani mkuu?
fifte si inabidi kila mtu alipeleke pale? sasa ye angechukua fifte kutoka wapi, wakati waandaaji ndo wanasubiri hizo fifteHali sio hali watu wanapigia bajeti hako kafifti
Mjini mipangoNa walijaa kwelikweliš
Labda na baby mamaš¤£ungepewa na nani mkuu?
Dah?Hali sio hali watu wanapigia bajeti hako kafifti
Sahihi kabisa mkuuMjini mipango
Usipowapanga wengine jiandae kupangwa.
Nasema ingekuwa ni Mimi siwezi kwenda huko Bora nikanunulie vituungepewa na nani mkuu?
kwamba ni men empowerment sasa , waandaaji wangelikataa lifte ilo šLabda na baby mamaš¤£
hapo nimekupata mkuuNasema ingekuwa ni Mimi siwezi kwenda huko Bora nikanunulie vitu
Kuna wanaume wanawezeshwa mpaka wanajisahau wanaonesha makuchaš¤£kwamba ni men empowerment sasa , waandaaji wangelikataa lifte ilo š
Kuna wanaume wanawezeshwa mpaka wanajisahau wanaonesha makuchaš¤£
Kama ni upigaji haliwezi kukataliwa!
Walikuwa nyomi Mkuu jamaa kakusanya mkwanja wa kutosha. Mjini akilimifumo ya kutengeneza hela nyepesi, mahudhurio sjui yamesoma namba ngapi huko