Propaganda ya “Watanzania ni waoga, wanaandamana mitandaoni” imekufa rasmi

Propaganda ya “Watanzania ni waoga, wanaandamana mitandaoni” imekufa rasmi

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,143
Reaction score
56,407
Kabla ya maandamano ya MO29 kulikuwa na propaganda nyingi hasa kutoka kwa chawa wa mama kuwa hakuna mtanzania atakayejitokeza siku ya maandamano kwa kuwa Watanzania ni waoga.

Propaganda hizo ziliendelea hadi siku yenyewe, asubuhi mida ya saa 4 kwenye mitandao walianza kubeza 'mbona hatuwaoni', ilipofika saa 8 mchana moto ulipoanza kukolea sijawasikia tena.

Propaganda hiyo imekufa rasmi siisikii tena wamebaki kusema mali nyingi zimeteketea.

Nawakumbusha tu chawa wa mama na serikali yenyewe "Do not underestimate a quite guy". Wamesema 912 wanakuja tena kivingine, get prepared, au endeleeni kubeza mtavuna mabua.
 
Kabla ya maandamano ya MO29 kulikuwa na propaganda nyingi hasa kutoka kwa chawa wa mama kuwa hakuna mtanzania atakayejitokeza siku ya maandamano kwa kuwa Watanzania ni waoga.

Propaganda hizo ziliendelea hadi siku yenyewe, asubuhi mida ya saa 4 kwenye mitandao walianza kubeza 'mbona hatuwaoni', ilipofika saa 8 mchana moto ulipoanza kukolea sijawasikia tena.

Propaganda hiyo imekufa rasmi siisikii tena wamebaki kusema mali nyingi zimeteketea.

Nawakumbusha tu chawa wa mama na serikali yenyewe "Do not underestimate a quite guy". Wamesema 912 wanakuja tena kivingine, get prepared, au endeleeni kubeza mtavuna mabua.
Ile ilikuwa ni dharau kaka na kujaribu ku brainwash watu wasijaribu

Ila dharau zimeisha
 
Kabla ya maandamano ya MO29 kulikuwa na propaganda nyingi hasa kutoka kwa chawa wa mama kuwa hakuna mtanzania atakayejitokeza siku ya maandamano kwa kuwa Watanzania ni waoga.

Propaganda hizo ziliendelea hadi siku yenyewe, asubuhi mida ya saa 4 kwenye mitandao walianza kubeza 'mbona hatuwaoni', ilipofika saa 8 mchana moto ulipoanza kukolea sijawasikia tena.

Propaganda hiyo imekufa rasmi siisikii tena wamebaki kusema mali nyingi zimeteketea.

Nawakumbusha tu chawa wa mama na serikali yenyewe "Do not underestimate a quite guy". Wamesema 912 wanakuja tena kivingine, get prepared, au endeleeni kubeza mtavuna mabua.
sasa hivi wanasema wageni wanachochea fujo 😀 😀 😀
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
 
Kabla ya maandamano ya MO29 kulikuwa na propaganda nyingi hasa kutoka kwa chawa wa mama kuwa hakuna mtanzania atakayejitokeza siku ya maandamano kwa kuwa Watanzania ni waoga.

Propaganda hizo ziliendelea hadi siku yenyewe, asubuhi mida ya saa 4 kwenye mitandao walianza kubeza 'mbona hatuwaoni', ilipofika saa 8 mchana moto ulipoanza kukolea sijawasikia tena.

Propaganda hiyo imekufa rasmi siisikii tena wamebaki kusema mali nyingi zimeteketea.

Nawakumbusha tu chawa wa mama na serikali yenyewe "Do not underestimate a quite guy". Wamesema 912 wanakuja tena kivingine, get prepared, au endeleeni kubeza mtavuna mabua.
tar 9 muwepo tena road
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange Malaya mwanaharamu anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
Safari hii si kutuliza MAANDAMANO bali kuua adui. Yaani ukiwa road jeshi litahesabu wewe ni adui mwenye silaha. Mtakufa kama mbwa.
Nawewe umelog in JF kwa kuiba kama sisi au wewe una access moja kwamoja?
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange Malaya mwanaharamu anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
Safari hii si kutuliza MAANDAMANO bali kuua adui. Yaani ukiwa road jeshi litahesabu wewe ni adui mwenye silaha. Mtakufa kama mbwa.
Endeleeni kukaza mafuvu hivyohivyo, kuna siku mtajiona wajinga sana na mtashangazwa.
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange Malaya mwanaharamu anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
Safari hii si kutuliza MAANDAMANO bali kuua adui. Yaani ukiwa road jeshi litahesabu wewe ni adui mwenye silaha. Mtakufa kama mbwa.
Hongera sana umeeleza vizuri, hayo ni mawazo yako na vyema yakaheshimiwa. Ila mwishoni hapo uliposema 'Mtakufa kama mbwa' imenipa shida kidogo, kwamba wewe hutokufa? Au ukifa utakufa kama malaika? Au mfano wa kufa kama mbwa ukoje?. Naomba screenshot haya maoni yako harafu tukutane tena baada ya miaka 50.
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange Malaya mwanaharamu anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
Safari hii si kutuliza MAANDAMANO bali kuua adui. Yaani ukiwa road jeshi litahesabu wewe ni adui mwenye silaha. Mtakufa kama mbwa.
Hujui kuwa huu ndiyo mwisho wako hata wewe
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange Malaya mwanaharamu anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
Safari hii si kutuliza MAANDAMANO bali kuua adui. Yaani ukiwa road jeshi litahesabu wewe ni adui mwenye silaha. Mtakufa kama mbwa.
Kwahiyo sheikh majini na yeye alienda kujificha ndani?
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange Malaya mwanaharamu anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
Safari hii si kutuliza MAANDAMANO bali kuua adui. Yaani ukiwa road jeshi litahesabu wewe ni adui mwenye silaha. Mtakufa kama mbwa.
Kwahiyo sheikh majini na yeye alienda kujificha ndani
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange Malaya mwanaharamu anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
Safari hii si kutuliza MAANDAMANO bali kuua adui. Yaani ukiwa road jeshi litahesabu wewe ni adui mwenye silaha. Mtakufa kama mbwa.
Huna akili kwa kuendeleza propaganda zilizopitwa na wakati.

Watu hawatoki kwa ajili ya Mange wanatoka kwa ajili ya maisha yao, sio wajinga kama wewe unayempigia propaganda Abdul aendelee kula kodi yako huku wewe ukihangaika na maisha yako.
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange Malaya mwanaharamu anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
Safari hii si kutuliza MAANDAMANO bali kuua adui. Yaani ukiwa road jeshi litahesabu wewe ni adui mwenye silaha. Mtakufa kama mbwa.
HAKUNA MWANADAMU TIMAMU ASIE MUOGA, KILA MOVE LAZIMA IWE CALCULATED... SIO KOSA WALA UPUMBAVU TENA KWENYE NCHI TULIYOPO ISIYOTHAMINI UHAI WA MTU MMOJA LAZIMA UENENDE KWA KUJILINDA.... MTU AKIWA MUOGA HAIMAANISHI KUWA HAWEZI KUWA JASIRI NA PIA JASIRI ANAWEZA KUWA MUOGA VILEVILE.

NIONESHE MWANADAMU ASIE MUOGA ALIEANDAMANA MWENYEWE AKABAKI SALAMA... LAZIMA WATU WASKILIZIANE ILI KUUNDA UMOJA WENYE NGUVU.
 
sahihi
Kabla ya maandamano ya MO29 kulikuwa na propaganda nyingi hasa kutoka kwa chawa wa mama kuwa hakuna mtanzania atakayejitokeza siku ya maandamano kwa kuwa Watanzania ni waoga.

Propaganda hizo ziliendelea hadi siku yenyewe, asubuhi mida ya saa 4 kwenye mitandao walianza kubeza 'mbona hatuwaoni', ilipofika saa 8 mchana moto ulipoanza kukolea sijawasikia tena.

Propaganda hiyo imekufa rasmi siisikii tena wamebaki kusema mali nyingi zimeteketea.

Nawakumbusha tu chawa wa mama na serikali yenyewe "Do not underestimate a quite guy". Wamesema 912 wanakuja tena kivingine, get prepared, au endeleeni kubeza mtavuna mabua.
 
Kabla ya maandamano ya MO29 kulikuwa na propaganda nyingi hasa kutoka kwa chawa wa mama kuwa hakuna mtanzania atakayejitokeza siku ya maandamano kwa kuwa Watanzania ni waoga.

Propaganda hizo ziliendelea hadi siku yenyewe, asubuhi mida ya saa 4 kwenye mitandao walianza kubeza 'mbona hatuwaoni', ilipofika saa 8 mchana moto ulipoanza kukolea sijawasikia tena.

Propaganda hiyo imekufa rasmi siisikii tena wamebaki kusema mali nyingi zimeteketea.

Nawakumbusha tu chawa wa mama na serikali yenyewe "Do not underestimate a quite guy". Wamesema 912 wanakuja tena kivingine, get prepared, au endeleeni kubeza mtavuna mabua.
Kama Mange na Maria Sarungi hawakuwepo kwenye maandamano taarifa yako ni fake.
 
Huna akili.
Watanzania waoga mno kufa.
MANGE ndiye alikuwa Kibwetele akawaambia kuwa Jeshi halimtaki mama hivyo linasubiri mtoke road kuchukua nchi yao.
Ile propaganda ilifanywa simple sana kwa kushirikiana Maaskofu
kadhaa . Mitandaoni kukasambazwa propaganda za video na sms za kubumba. Watu wakajaa.
Wakauliwa .
Ngoja nikuambie kitu, hilo jeshi ndo limeua sana Watanzania wakaidi ile 30-31.
Wananchi walipoona tofauti na waliyoambiwa na nabii wao wakarudi ndani. That's why wengine waliuliwa ndani kwao ila wote ni wale waliokimbilia ndani wakidhani serikali haina macho.
Cha ajabu mange Malaya mwanaharamu anaandaa propaganda nyingine.
Kwa ufinyu wa ubongo wa Watanzania watamwamini.
Tarehe 10. December kitakuwa kilio kikuu.
Safari hii si kutuliza MAANDAMANO bali kuua adui. Yaani ukiwa road jeshi litahesabu wewe ni adui mwenye silaha. Mtakufa kama mbwa.
kwahiyo na huyu chawa wenu alikuwa kwenye maandamano ?
 

Attachments

  • download.jpeg
    download.jpeg
    8.7 KB · Views: 15
Back
Top Bottom