- Thread starter
- #41
Ufie ndani kwa amani.9th December sitoki.
Lakini namnukuu The mission 2017 :
"Nacho wapendea polisi hawana ubaguzi, uandamane usiandamane, Utiki usitiki, Uchome bara bara au uchome ubani risasi zitakuhusu tu 😀😀"
Toka nimesikia habari za 0912 nimekaa nazunguka ndani kutafuta angle ambazo hizi risasi za kuulia tembo sijui za kupasulia miamba walizoulia ndugu zetu hazitonifikia.
Hawa nao wanaokuja 0912 hatujui wanakujaje.
Namuomba MUNGU atende jambo kabla ya December