Profesa Ndalichako: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo kwa njia mbadala

Ilikuwa ni suala rahisi tu. Wamepeana mimba wapewe muda wakalee.. mnamrudisha mtu arudi shule akasome wakati yeye amechagua kufanya reproduction? Mnasema ni haki yake kusoma.

Sasa kwa nini mumfunge mtu ambaye amempa mimba mwanafunzi? Ikiwa mwanafunzi huyo hakubakwa na ni haki yake kushiriki ngono? Anaweza kupata hamu ya kufanya na akakubali kufanywa kwa nini mje muonea mtu mwingine kumfunga miaka 30?

Anayeenda pata mimba kama hakubakwa huyo ni mkosaji. Mi nmeshawaambia kabisa mabint zangu. Wakipata mimba ntawaruhu waende kwa mwanaume mhusika wakaanze maisha.

Kuna watu wengi wanataka kusoma so wapewe nafasi. Na waotaka ku practise mazoezi ya ndoa nao wapewe nafasi wakafanye hayo huko huko. Wakimaliza kama wataenda kusoma Private schools its ok tena kwa kurudia darasa husika.

Adhabu ya mimba iwe kwa wote kama wote ni wanafunzi. Kama mmoja ni raia basi kipindi ambacho mwenzie analeleWa na wazazi wake ikiwa yeye hawezi kulea awekwe ndani.

Kuna mambo ambayo ni ya kitamaduni,mila na desturi.tusifuge ubovu. Hili nliliunga mkono kabisa. Maadili yetu yasivurugwe. Tunakoelekea haya maswala ya haki hata ushoga utasemwa ni haki ya mtu na matumizi ya mwili wake.
Hatujawahi kutumia akili vizuri;
. Mtoto wa kike anabakwa anapata mimba
Na shule anafukuzwa...tunamkomoa nani?
Kwanini asipewe nafasi kujutia makosa asome ajikwamue?

Hii ni sheria kandamizi iondolewearaka
 
Bebesha afu unaswe ndio utajua ni ishu au sio ishu.

Pili ni kweli ni haki yao kwani mimba ndio inamzuiaje mtu haki yake? Mtizamo wa Jiwe sio mtizamo wa nchi
Yakiwafika watajua maumivu haya sheria kandamizi.
Wanaweke wanakandamizwa sana
 
JAMANI HAYA MASWALA YA WANAFUNZI KURUDI KUSOMA UPO TANGU SIKU NYINGI.NA ENDAPO AKIINGIA KIONGOZI AKAACHA KUFUATA HUO WARAKA NI KAWAIDA TU .MADHARA YAKE MASHIRIKA YA KIMATAIFA HAYAWEZI KUSAIDIA MIRADI YA MAENDELEO YA NCHI HADI URUHUSU HIYO SEKULA .KWA HIYO WAZIRI HAWEZI KUZUIA SEKULA LABDA RAIS .NA AKIZUIA KUNA KUWA NA MADHARA YA KIUCHUMI
Tutegemee haki za minority au makundi maalumu almaarufu kama LGBT au kwa lugha rahisi ndoa za jinsia moja kukubalika. Safari moja huanzisha nyingine! Enzi za JPM hakuna ambaye angethubutu kuweka masharti hayo. Maana inajulikana fika kuwa jambo hilo halina hata nafasi ya kujadiliwa.
 
Hatujawahi kutumia akili vizuri;
. Mtoto wa kike anabakwa anapata mimba
Na shule anafukuzwa...tunamkomoa nani?
Kwanini asipewe nafasi kujutia makosa asome ajikwamue?

Hii ni sheria kandamizi iondolewearaka
"ukila nyama ya mtu hutoacha kuila tena"

"Ukishaanza kufanya ngono hutoacha kufanya tena"

Samaki mmoja akioza mtoe, ukimuacha ataozesha wengine.
 
😭😭😭
09876mju.jpg
 
Ndalichako ana ugonjwa wa akili!Haya siyo makubaliano ya serikali na world bank.Alivyo na akili fupi anafikiri kuwa anaweza kuwalaghai wazungu kirahisi namna hii.She is hopeless!
 
Waangalie pia adhabu anayopewa aliyempachika mimba huyo binti haina faida yoyote kwanini isiwe adhabubya kifungo cha nje na kulazamisha huyo jamaa atimize mahitaji ya mtoto na mama yake. Alafu mantiki ya kusema kumpa mimba under 18 ni kubaka sio poa kabisa. Mtu mwenye uwezo wa kubeba mimba unasemaje ni mdogo?
 
Kama ni haki yake ya msingi ni vyema pia wangetizama haki za mtoto. Ni vyema mtoto akapata malezi ya baba na mama na pia kiliniki ni vyema mama mjamzito akaongozana na mzazi mwenzie kwa ajili ya ushauri hivyo itakuwa sio vyema mwanaume apelekwe jela miaka 30 huku mama akiteseka na ujauzito na baadae ateseke na mtoto hii inaweza kumuathiri kisaikolojia mama na mtoto kwa kukosa matunzo ya baba. Embu fikiria ni uchungu kiasi gani mama atakaoupata kusikia mpenzi wake amefungwa jela miaka 30. Wanasaikolojia mtisaidie hapa

Hiyo imewekwa ili mwanafunzi wa kike kuingia naye kwenye mahusiano ya kimapenzi uone kama kituo cha polisi, wakiruhusu na mwanaume aliyempa mimba aachiwe huru, hawa boda boda watazalisha sana wanafunzi wa kike.
 
Nadhani wekeni masharti ya kurudi shule! Mimi napendekeza kwanza mwanafunzi amtaje aliyemtia mimba afungwe jela then ndiyo aruhusiwe.
Vinginevyo tutakuwa tunasomesha akina Mama!
 
Back
Top Bottom