Kuna dogo mmoja Ni ndugu yangu wa mbali!
Amepatwa na hekaheka ya kutotakiwa shuleni pamoja na wenzake kadhaa!
Msimamo wa mkuu wa shule ni kwamba hawawahitaji wanafunzi hao shuleni kwake, hivyo wazazi wawatafutie shule zingine
Hii ni shule ya serikali ambayo miongozo ya kuwasimamisha wanafunzi shule imewekwa, na haijafuatwa
Hawa wanafunzi wote ni kidato Cha nne, ktk shule hii ya kata, na hoja ya msingi ya mkuu wa shule ni kuwa wanafunzi Hawa hawana mahudhurio mazuri, hivyo watashindwa kuendana na kasi ya shule yake ktk mchakato wa kuboresha taaluma na kutoa matokeo Bora kidato Cha nne!
Hoja hii imefikishwa kwa Afisa Elimu, na akaahidi atafuatilia Ila Kuna ukimya unaendelea unaoashiria kuwa hoja imepuuzwa.
Huenda ni ajenda ambayo Afisa Elimu anaitambua pia
Hivyo naomba kuelimishwa Ni njia gani sahihi ya kisheria inaweza kutumika kumrudisha mtoto shuleni aweze kufanya mtihani wake kidato Cha nne!!
Naomba kuwasilisha!
Amepatwa na hekaheka ya kutotakiwa shuleni pamoja na wenzake kadhaa!
Msimamo wa mkuu wa shule ni kwamba hawawahitaji wanafunzi hao shuleni kwake, hivyo wazazi wawatafutie shule zingine
Hii ni shule ya serikali ambayo miongozo ya kuwasimamisha wanafunzi shule imewekwa, na haijafuatwa
Hawa wanafunzi wote ni kidato Cha nne, ktk shule hii ya kata, na hoja ya msingi ya mkuu wa shule ni kuwa wanafunzi Hawa hawana mahudhurio mazuri, hivyo watashindwa kuendana na kasi ya shule yake ktk mchakato wa kuboresha taaluma na kutoa matokeo Bora kidato Cha nne!
Hoja hii imefikishwa kwa Afisa Elimu, na akaahidi atafuatilia Ila Kuna ukimya unaendelea unaoashiria kuwa hoja imepuuzwa.
Huenda ni ajenda ambayo Afisa Elimu anaitambua pia
Hivyo naomba kuelimishwa Ni njia gani sahihi ya kisheria inaweza kutumika kumrudisha mtoto shuleni aweze kufanya mtihani wake kidato Cha nne!!
Naomba kuwasilisha!