Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,608
Tuliwaambia JPM alikuwa mzalendo halisi na mtamkumbuka. Haya sasa mbona!??? Bi Mkubwa ajiuzulu tuu asingoje ilee 2025.
Ndugu punguza chuki zako kwa mama.. kumfananisha jpm na Mama samia ni kumkosea sana mama wa watu.. ndio kwanzaa ana siku 100 na kidogo sasa mnataka maendeleo gani ya haraka ivyo.. ipo siku mtamkubali huyu mama.
Na achaneni na RIP zenu hizo kila day, mara ohh tutamkumbuka baba, mara sijui nini!!! Hata mimi nirikua namkubali japo kuna mabaya na mazuri amefanya..
Mwishoe munakufuru kwa uyu mbaba aise.
Mwisho kabisa Mama samia ndio mzalendo, ana imani na huruma.