Rais Samia anataka kuiteka nyara nchi

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,102
2,717
Amepewa fursa ya kuongoza nchi kwa miaka michache tu anataka atupangie mipango ya 2050.

Ndiyo Mhe. Msekwa alikuwa anasema wakati ule,"Kwamba nimesikia watu wanataka kubadili Katiba Magufuli atawale milele. Maneno gani haya?"
Masheikh juzi wameshinda kesi mahkamani,wamekamatwa tena,sasa hii ndio vision ya 2050 tunayotaka.

Rais Samia inamhusu nini Tanzania itakavyokuwa 2050?

Hata Daniel aliambiwa,"Wanataka mfalme? Wape mfalme. Kwa sababu wananikataa MIMI nisiwe Kiongozi wao."
Haitoshi kwamba rasilmali za nchi zinasimamiwa kwa njia ambazo ginaketa mashaka,sasa tunazigeukia fikra za watu tuziongoze mpaka 2050?

Na yule Doris "active" aliyetajwa pale ana shughuli gani? Rais huyu BADO hajachaguliwa na wananchi. Hana mandate ya kufanya grandiose plans. Hana mandate ya kufanya mambo kama haya.

Unauliza,"Lakini Rais Samia si alikuwa mgombea mwenza?" Hebu tazama mfano wa London Johnson aliyemrithi Kennedy. Huyu Johnson hatimaye alikwenda kwenye uchaguzi akashinda, akaapishwa kuwa rais.

Baada ya kuapishwa, kesho yake akaanza kukwapua dhahabu ya Fort Knox. Magari yakaanza kuichukua ile dhshabu yakiongozwa na Lynda Bird.

Kwa hiyo kama kiongozi anataka kufanya mabadiliko makubwa anapaswa kusubiri kwanza apate mandate.
 
Hata Daniel aliambiwa,"Wanataka mfalme? Wape mfalme. Kwa sababu wananikataa MIMI nisiwe Kiongozi wao."
Baada ya kufika hapa na kuona umekwenda Chaka, nikajua hata andiko lako ni la kiukurupukaji.

Kukusaidia.

1 Samweli 8:5
[5]wakamwambia, Angalia, wewe umekuwa mzee, na wanao hawaendi katika njia zako; basi, tufanyie mfalme atuamue, mfano wa mataifa yote.
And said unto him, Behold, thou art old, and thy sons walk not in thy ways: now make us a king to judge us like all the nations.
 
Amepewa fursa ya kuongoza nchi kwa miaka michache tu anataka atupangie mipango ya 2050.

Ndiyo Mhe. Msekwa alikuwa anasema wakati ule,"Kwamba nimesikia watu wanataka kubadili Katiba Magufuli atawale milele. Maneno gani haya?"
Masheikh juzi wameshinda kesi mahkamani,wamekamatwa tena,sasa hii ndio vision ya 2050 tunayotaka.

Rais Samia inamhusu nini Tanzania itakavyokuwa 2050?

Hata Daniel aliambiwa,"Wanataka mfalme? Wape mfalme. Kwa sababu wananikataa MIMI nisiwe Kiongozi wao."
Haitoshi kwamba rasilmali za nchi zinasimamiwa kwa njia ambazo ginaketa mashaka,sasa tunazigeukia fikra za watu tuziongoze mpaka 2050?

Na yule Doris "active" aliyetajwa pale ana shughuli gani? Rais huyu BADO hajachaguliwa na wananchi. Hana mandate ya kufanya grandiose plans. Hana mandate ya kufanya mambo kama haya.

Unauliza,"Lakini Rais Samia si alikuwa mgombea mwenza?" Hebu tazama mfano wa London Johnson aliyemrithi Kennedy. Huyu Johnson hatimaye alikwenda kwenye uchaguzi akashinda, akaapishwa kuwa rais.

Baada ya kuapishwa, kesho yake akaanza kukwapua dhahabu ya Fort Knox. Magari yakaanza kuichukua ile dhshabu yakiongozwa na Lynda Bird.

Kwa hiyo kama kiongozi anataka kufanya mabadiliko makubwa anapaswa kusubiri kwanza apate mandate.
Una akili ndogo kiasi gani?
 
Amepewa fursa ya kuongoza nchi kwa miaka michache tu anataka atupangie mipango ya 2050.

Ndiyo Mhe. Msekwa alikuwa anasema wakati ule,"Kwamba nimesikia watu wanataka kubadili Katiba Magufuli atawale milele. Maneno gani haya?"
Masheikh juzi wameshinda kesi mahkamani,wamekamatwa tena,sasa hii ndio vision ya 2050 tunayotaka.

Rais Samia inamhusu nini Tanzania itakavyokuwa 2050?

Hata Daniel aliambiwa,"Wanataka mfalme? Wape mfalme. Kwa sababu wananikataa MIMI nisiwe Kiongozi wao."
Haitoshi kwamba rasilmali za nchi zinasimamiwa kwa njia ambazo ginaketa mashaka,sasa tunazigeukia fikra za watu tuziongoze mpaka 2050?

Na yule Doris "active" aliyetajwa pale ana shughuli gani? Rais huyu BADO hajachaguliwa na wananchi. Hana mandate ya kufanya grandiose plans. Hana mandate ya kufanya mambo kama haya.

Unauliza,"Lakini Rais Samia si alikuwa mgombea mwenza?" Hebu tazama mfano wa London Johnson aliyemrithi Kennedy. Huyu Johnson hatimaye alikwenda kwenye uchaguzi akashinda, akaapishwa kuwa rais.

Baada ya kuapishwa, kesho yake akaanza kukwapua dhahabu ya Fort Knox. Magari yakaanza kuichukua ile dhshabu yakiongozwa na Lynda Bird.

Kwa hiyo kama kiongozi anataka kufanya mabadiliko makubwa anapaswa kusubiri kwanza apate mandate.
Aisee una tatizo mahali.
Embu rudia kusoma na kutafakari ulichoandika.
 
Baada ya kufika hapa na kuona umekwenda Chaka, nikajua hata andiko lako ni la kiukurupukaji.

Kukusaidia.

1 Samweli 8:5
[5]wakamwambia, Angalia, wewe umekuwa mzee, na wanao hawaendi katika njia zako; basi, tufanyie mfalme atuamue, mfano wa mataifa yote.
And said unto him, Behold, thou art old, and thy sons walk not in thy ways: now make us a king to judge us like all the nations.

Una akili ndogo kiasi gani?
Wewe una akili kubwa kiasi gani?
Mabilioni ya hela yametafunwa kuandika Katiba Mpya.
Na sasa kuna mpango wa kutumia mabilioni tena kuandika tena Latinna Mpya.
Na sasa huu mpango mwingibe tena wa dira ya 2050?
Wewe ni mtoto wa chekechea ,kila siku unataka kufanya mikutano ya kuuliza ni mambo gani yanaleta maudhi?
Hayo mambo yanayoleta maudhi ungesumbuka kusoma Injili na Torati uongeona kwamba yameandikwa pale.
 
Wewe una akili kubwa kiasi gani?
Mabilioni ya hela yametafunwa kuandika Katiba Mpya.
Na sasa kuna mpango wa kutumia mabilioni tena kuandika tena Latinna Mpya.
Na sasa huu mpango mwingibe tena wa dira ya 2050?
Wewe ni mtoto wa chekechea ,kila siku unataka kufanya mikutano ya kuuliza ni mambo gani yanaleta maudhi?
Hayo mambo yanayoleta maudhi ungesumbuka kusoma Injili na Torati uongeona kwamba yameandikwa pale.
Una akili ndogo kiasi gani?

Maana hadi sasa hueleweki
 
Amepewa fursa ya kuongoza nchi kwa miaka michache tu anataka atupangie mipango ya 2050.

Ndiyo Mhe. Msekwa alikuwa anasema wakati ule,"Kwamba nimesikia watu wanataka kubadili Katiba Magufuli atawale milele. Maneno gani haya?"
Masheikh juzi wameshinda kesi mahkamani,wamekamatwa tena,sasa hii ndio vision ya 2050 tunayotaka.

Rais Samia inamhusu nini Tanzania itakavyokuwa 2050?

Hata Daniel aliambiwa,"Wanataka mfalme? Wape mfalme. Kwa sababu wananikataa MIMI nisiwe Kiongozi wao."
Haitoshi kwamba rasilmali za nchi zinasimamiwa kwa njia ambazo ginaketa mashaka,sasa tunazigeukia fikra za watu tuziongoze mpaka 2050?

Na yule Doris "active" aliyetajwa pale ana shughuli gani? Rais huyu BADO hajachaguliwa na wananchi. Hana mandate ya kufanya grandiose plans. Hana mandate ya kufanya mambo kama haya.

Unauliza,"Lakini Rais Samia si alikuwa mgombea mwenza?" Hebu tazama mfano wa London Johnson aliyemrithi Kennedy. Huyu Johnson hatimaye alikwenda kwenye uchaguzi akashinda, akaapishwa kuwa rais.

Baada ya kuapishwa, kesho yake akaanza kukwapua dhahabu ya Fort Knox. Magari yakaanza kuichukua ile dhshabu yakiongozwa na Lynda Bird.

Kwa hiyo kama kiongozi anataka kufanya mabadiliko makubwa anapaswa kusubiri kwanza apate mandate.
Ni kweli tupu umesema. Samia kwanza alikosea sana kuanza kujidai kugeuza mambo tofauti na alivyokua anaendesha magufuli bila ridhaa kwenye uchaguzi. Ndio maana hadi watu wamemtilia shaka kuhusika na kuishia magufuli. Alianza vijembe kisha kuruhusu uliberali kushika kasi na kukutana na watu kama kina tony blair na kugeuzwa mwigizaji wa cinema kutangaza utalii na majasusi wa kimarekani na hili la kutaka kuuza bandari. Wenye kuipenda tanzania na uhuru wa watu wake lazima kuhakikisha samia haendelei kua rais akimaliza urithi wake 2025.
 
Nawashangaa wasiomuelewa mleta mada, hamuijui hata maana ya strong mind na strong personality?!

Mambo menhi yanayotukuta kwa sasa ni kwasababu ya kiongozi tuliyenaye kutokuwa na hayo mambo mawili hapo juu.

Nchi sasa inaongozwa na wafanyabiashara, kila siku nauli zinapanda, ajabu huyo aliyefeli kutuongoza ndio anatupangia mipango ya 2050!

Mara atoe pesa kwa ajili ya watanzania kufundishwa kuhusu hii Katiba mbovu tuliyonayo, hizo pesa si afadhali angesaidia watoto wenye mahitaji?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Amepewa fursa ya kuongoza nchi kwa miaka michache tu anataka atupangie mipango ya 2050.

Ndiyo Mhe. Msekwa alikuwa anasema wakati ule,"Kwamba nimesikia watu wanataka kubadili Katiba Magufuli atawale milele. Maneno gani haya?"
Masheikh juzi wameshinda kesi mahkamani,wamekamatwa tena,sasa hii ndio vision ya 2050 tunayotaka.

Rais Samia inamhusu nini Tanzania itakavyokuwa 2050?

Hata Daniel aliambiwa,"Wanataka mfalme? Wape mfalme. Kwa sababu wananikataa MIMI nisiwe Kiongozi wao."
Haitoshi kwamba rasilmali za nchi zinasimamiwa kwa njia ambazo ginaketa mashaka,sasa tunazigeukia fikra za watu tuziongoze mpaka 2050?

Na yule Doris "active" aliyetajwa pale ana shughuli gani? Rais huyu BADO hajachaguliwa na wananchi. Hana mandate ya kufanya grandiose plans. Hana mandate ya kufanya mambo kama haya.

Unauliza,"Lakini Rais Samia si alikuwa mgombea mwenza?" Hebu tazama mfano wa London Johnson aliyemrithi Kennedy. Huyu Johnson hatimaye alikwenda kwenye uchaguzi akashinda, akaapishwa kuwa rais.

Baada ya kuapishwa, kesho yake akaanza kukwapua dhahabu ya Fort Knox. Magari yakaanza kuichukua ile dhshabu yakiongozwa na Lynda Bird.

Kwa hiyo kama kiongozi anataka kufanya mabadiliko makubwa anapaswa kusubiri kwanza apate mandate.
Kwani Nyerere na viongozi wenzake walivyopigania uhuru walihusika vipi na mambo ya mwaka 2023 na kuendelea mbele? Uongozi ni vision. Acha kelele. Muache mama apige kazi.
 
Rais Samia inamhusu nini Tanzania itakavyokuwa 2050?
Nchi inapaswa kuwa na mipango ya muda mrefu (miaka 50 - 100). Kama rais Samia ana mtazamo huu ni jambo jema sana. Tumpe moyo.

Lkn tumuonye kwa haya malengo yake ya kubakia demokrasia na kutupandikizia majambazi akina Makonda makalio makubwa.
 
Back
Top Bottom