Prof Tibaijuka lazima ajiuzulu

Prof Tibaijuka lazima ajiuzulu

Barubaru, tueleze ni nani alipima na kuwasilisha UN "Exclusive Economic Zone (EEZ)" ya Tanzania na katika hiyo EEZ SMZ inamiliki kiasi gani?

Ukijibu haya maswali ndo utaelewa kwa nini "Extended Continental Shelf" imeombwa na taarifa zake kukusanywa na Wizara ya Ardhi, kwa kushirikiana na Idara ya masuala ya ardhi ya Zanzibar.
 
Barubaru, tueleze ni nani alipima na kuwasilisha UN "Exclusive Economic Zone (EEZ)" ya Tanzania na katika hiyo EEZ SMZ inamiliki kiasi gani?

Ukijibu haya maswali ndo utaelewa kwa nini "Extended Continental Shelf" imeombwa na taarifa zake kukusanywa na Wizara ya Ardhi, kwa kushirikiana na Idara ya masuala ya ardhi ya Zanzibar.
Mkuu unasumbuka bure na wanasiasa uchwara kina Jussa hata hawaelewi maana bali kukurupuka na kusema hovyo kiasi kwamba anakiuka hata katiba ya nchi anayotakiwa kuilinda.. Ama kweli siasa za Bongo zimeingiliwa...
 
"DHAMBI ya ubaguzi Ni Kama kula nyama ya mtu, ukila nyama ya mtu hauwezi kuacha utakula tuu"......naamini kuna watu humu ndani DHAMBI hii haitowaacha kamwe, wa kwanza Ni baru, nashindwa kuelewa Ni kwanini ionekane kila siku bara inawakandamiza wa visiwani.....hebu ndugu zetu wa znz badilikeni kidogo tuuenzi Huu muungano......just imagine unavunjika swali langu Ni moja tu, Je? Mtaomba kuingia kwny EA community au UAE?!
 
..baada ya maelezo ya Prof.Tibaijuka naweza kusema kwamba suala hili limekuzwa bila sababu za msingi.

..kwa upande mwingine nashindwa kuelewa kwanini Dr.Shamhuna hakutoa majibu ya kuridhisha mbele ya Baraza la Wawakilishi.
 
nyie wazanzibar midebwedo kuanzia mwili hadi akili zenu,kila kitu mnalalamika tu ati mnaonewa..nini maana ya muungano sasa? mbona ninyi mmejazana huku kwetu tumewapa na maeneo ya biashara na ya kujenga na mnaishi kwetu....wapuuzi sana ninyi mnatabia za kishoga hizo kama hamtaki muungano mtuachie TANGANYIKA YETU...na ninyi mbaki USHENZINI kwenu tuone kama hamjala MAVI ninyi PANYA BUKU...Kazi yenuubaguzi wa kidini na kikanda...to hell JUSSA,to hell MIDEBWEDO wa akili na mwili ninyi ndo maana mnaoana hata wanaume kwa wanaume....nguruwe pori nyie

Kichaa ,aliyekunywa mbege....pole sana.
 
Mi nataka kuuliza.

Prof. Tibaijuka sasa hivi anatambua mipaka ya Jamhuri ya Muungano, kuna suala la kupanua hizo miles baharini, primarily kwa kuangalia mambo ya rasilimali.

Ikiwa nchi sovereign yenye uanachama UN inaruhusiwa kufanya hivyo, na Zanzibar si nchi hivyo, na siku yoyote Zanzibar ikitoka kwenye muungano nayo inaweza kudai kufanya hivyo hivyo (angalau kwa pwani yake ya mashariki), kelele nyiingi kuhusu hili swala za nini?

Au ni njia moja tu ya kuusema muungano vibaya? Maandamano ya kutaka kura ya maoni 2015 yako wapi nijiunge?

Au itabidi nianzishe mwenyewe Dar-es-salaam December hii kwenye sherehe za Uhuru wa Tanganyika ?

Mimi nafikiri kama kweli Wazanzibari wanajivunia nchi yao, wajitoe kwenye muungano kwanza, wawe na nchi yao, wawe na uanachama UN na uhakika wote wa ku deal na "Tanganyika" kama a sovereign state, tutamaliza hizi nyepesi nyepesi zote.

Ya nini kutaka kutibu TB kwa Cofta? Deal na tatizo la msingi, tibu ugonjwa, kata mzizi wa fitina, sio unadeal na vi symptoms na vijani vya mti wa fitina.

Hivyo vijani kama hujakata mzizi kila siku vitaota vipya, matokeo hata wanaofanya kazi zao kama Tibaijuka mtawaona maadui wa Waanzibari.

Vunjeni muungano tujue moja, then mnaweza kuongea kama watu wenye nchi yenu. Sasa hivi mnapalilia dhana tu kwamba Wazanzibari wabishi.
 
Ni kweli kabisa usemayo na ndiko tunakoelekea lakini nitasikitka sana kuona "somalia" mpya ikitengenezwa baada ya ''kuvua" hilo koti.... Nikuulize swali jepesi tu na tafadhali kuwa objective katika jibu lako ... Unadhani kati ya wabara na wazanzibari ni wapi wanaofaidika na muungano? na je ukivunjiaka na kila mtu arudi kwake nani ataathirika?? tatu eneo analopigia kelele jusa na wenzake wenye upeo finyu kwa sasa linamsaidia nin? kwanini hakuwahi yeye kuwasilisha hilo ombi? je Ikipewa Tanzania yeye (ninyi) ataadhirika kivipi au ndo yale mambo yetu ya joka la mdimu???

Kuwepo kwa wazanzibari Tanganyika na kuwepo kwa watanganyika zanzibar, sio lazima tuwe na muungano. Watanganyika na Wanzibari wako nchi nyingi tofauti na hazina muungano na Tanzania. Kelele za kila mzanzibari ni kuhusu unyang'anyi wa makusudi wa haki za Zanzibar katika Muungano.
Maamuzi yote yanayohusu mustakbali wa zanzibar yanaamuliwa Dar au Dodoma kinyume na matakwa ya wazanzibari wenyewe. Tumeshuhudia mauwaji ya Pemba chini ya Mkapa. Zanzibar ,hairuhusiwi kuwa na uhusiano wa moja kwa moja na mashirika ya kimataifa bila ya kupitia Tanganyika. Kila mzanzibari anaelewa kuwa nia halisi ya Tanganyika ni kuvimeza visiwa vya Zanzibar.
Kwa mtanganyika wa kawaida hawezi kuyaona haya. Wengi wao huishia kushabikia siasa bila ya kujua zile agenda za siri za kanisa Katoliki. Moja ya agenda hizo ni kuua uislamu katika ukanda mzima wa mwabao ikiwemo Zanzibar. Uganda nchi yenye asilimi ndogo ya waislamu ,pamoja na kwa rais wa nchi hiyo kuwa Mkatoliki ,lakini ni member wa OIC. Kuna nchi nyengine vile kama Cameroon, Msumbiji .
Harakati za ukombozi wa Zanzibar zitaendelea mpaka kieleweke. Tutakataa utamaduni wa kigeni wa kuuza pombe kila kona ya mtaa, Tutakataa madanguro,tutakataa tamaduni zote za watu wasiokua na staha na kujiona kama wao ndio babukubwa. Haya yote yanafanyika kwa kisingizio cha kuimarisha Muungano.
Mwisho wa yote tutalinda maslahi ya Zanzibar kwa hali yeyote ile.
 
Mi nataka kuuliza.

Prof. Tibaijuka sasa hivi anatambua mipaka ya Jamhuri ya Muungano, kuna suala la kupanua hizo miles baharini, primarily kwa kuangalia mambo ya rasilimali.

Ikiwa nchi sovereign yenye uanachama UN inaruhusiwa kufanya hivyo, na Zanzibar si nchi hivyo, na siku yoyote Zanzibar ikitoka kwenye muungano nayo inaweza kudai kufanya hivyo hivyo (angalau kwa pwani yake ya mashariki), kelele nyiingi kuhusu hili swala za nini?

Au ni njia moja tu ya kuusema muungano vibaya? Maandamano ya kutaka kura ya maoni 2015 yako wapi nijiunge?

Au itabidi nianzishe mwenyewe Dar-es-salaam December hii kwenye sherehe za Uhuru wa Tanganyika ?

Mimi nafikiri kama kweli Wazanzibari wanajivunia nchi yao, wajitoe kwenye muungano kwanza, wawe na nchi yao, wawe na uanachama UN na uhakika wote wa ku deal na "Tanganyika" kama a sovereign state, tutamaliza hizi nyepesi nyepesi zote.

Ya nini kutaka kutibu TB kwa Cofta? Deal na tatizo la msingi, tibu ugonjwa, kata mzizi wa fitina, sio unadeal na vi symptoms na vijani vya mti wa fitina.

Hivyo vijani kama hujakata mzizi kila siku vitaota vipya, matokeo hata wanaofanya kazi zao kama Tibaijuka mtawaona maadui wa Waanzibari.

Vunjeni muungano tujue moja, then mnaweza kuongea kama watu wenye nchi yenu. Sasa hivi mnapalilia dhana tu kwamba Wazanzibari wabishi
.

Tatafika huko...ila ubishi sio kitu kibaya . Mimi naona upande wa pili ni watamaa sana. Hii itawa-cost ghali iko siku.
 
Huyo ni Mtanzania kuliko wewe, kalagabaho.

Kwa kuwa huna sababu ya kuzurura nje ndio maana nikakwambia huna exposure ya dunia, na mara nyingi ni vigumu sana kukupa ilmu ambayo ilibidi uwe nayo, ilmu si madarasa tu, kutenbea duniani kuna fundisha sana. Hata wachangiaji humu utawajuwa tu huyu ana upeo na huyu hana, kama tulivyokujuwa wewe, mchangi wako tu unaonesha kuwa una mengi ya kujifunza hususan kuhusu elimu na kisomo na wapi mtu amesoma na kwanini anasoma, ni kwa kuwa hujatembea duniani na hujui wanachokijuwa wenzako.

Tena hao wa Oman kwa Tanzania hii usijaribu kuwasema, unaweza kukuta kama si shemeji yako, mjomba'ko. Wengi wao, wengi sana tena wamechanganya damu na karibu kila kabila ya Tanzania. Hata Sultan wao inasemekana mama yake ana asili ya hapa. Usishangae ukijikuta una ukoo na Qaboos.

FF hapo kwenye red hukusema kweli-mbona mkuu wetu anatembea sana kumzidi hata yule mmiliki wa "Golden Indies" alivevumbua "cape of good hope" lakini hatuoni anachojifunza!
 
Kuwepo kwa wazanzibari Tanganyika na kuwepo kwa watanganyika zanzibar, sio lazima tuwe na muungano. Watanganyika na Wanzibari wako nchi nyingi tofauti na hazina muungano na Tanzania. Kelele za kila mzanzibari ni kuhusu unyang'anyi wa makusudi wa haki za Zanzibar katika Muungano.
Maamuzi yote yanayohusu mustakbali wa zanzibar yanaamuliwa Dar au Dodoma kinyume na matakwa ya wazanzibari wenyewe. Tumeshuhudia mauwaji ya Pemba chini ya Mkapa. Zanzibar ,hairuhusiwi kuwa na uhusiano wa moja kwa moja na mashirika ya kimataifa bila ya kupitia Tanganyika. Kila mzanzibari anaelewa kuwa nia halisi ya Tanganyika ni kuvimeza visiwa vya Zanzibar.
Kwa mtanganyika wa kawaida hawezi kuyaona haya. Wengi wao huishia kushabikia siasa bila ya kujua zile agenda za siri za kanisa Katoliki. Moja ya agenda hizo ni kuua uislamu katika ukanda mzima wa mwabao ikiwemo Zanzibar. Uganda nchi yenye asilimi ndogo ya waislamu ,pamoja na kwa rais wa nchi hiyo kuwa Mkatoliki ,lakini ni member wa OIC. Kuna nchi nyengine vile kama Cameroon, Msumbiji .
Harakati za ukombozi wa Zanzibar zitaendelea mpaka kieleweke. Tutakataa utamaduni wa kigeni wa kuuza pombe kila kona ya mtaa, Tutakataa madanguro,tutakataa tamaduni zote za watu wasiokua na staha na kujiona kama wao ndio babukubwa. Haya yote yanafanyika kwa kisingizio cha kuimarisha Muungano.
Mwisho wa yote tutalinda maslahi ya Zanzibar kwa hali yeyote ile.

Usitake kuchanganya mambo na kuleta hoja zako za udini. Nilisema huko juu kuwa hata kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ambayo imerekebishwa mnamo mwaka 2009, Zanzibar yenyewe imetangaza kuwa mipaka yake ni kama iliyokuwapo kabla ya Muungano. Kwa kutokujua hao wanaojifanya ni wasomi na wanaopigania masilahi ya Zanzibari wamekana haki yao ya Ukanda Tengefu wa Kiuchumi (UTK). Madhari huna haki huwezi ukawa na haki ya kupata Ukanda-Nyongeza wa Kibara (Extended Continental Shelf).

Hoja ya kuvimeza visiwa vya Zanzibar ni hoja isiyo na msingi, kwa muundo wa muungano wetu Tanzania Bara ndiyo imemezwa na Zanzibar kwani, Zanzibar inayo serikali yake na bunge na mahakama yake, wakati Tanzania Bara haina. Wabunge wa Zanzibar wanatoa maamuzi juu ya Tanzania Bara hata kwa mambo yasiyo ya Muungano.

Hoja ya udini inatolewa na watu wasio na hoja na wenye kujua kupayuka, kama wewe na Juha Jussa. Mtu mwenye akili zake zilizotimia(timamu) anajua kuwa njama hiyo haipo na wale wanaoifikiria wanapoteza muda wao. Uislamu na Ukiristu na Uyahudi, si dini ambazo unaweza kuzipatiliza duniani hata ukila njama na shetani. Kama ilishindikana kung'oa Uislamu Ulaya inawezakana kuung'oa Tanzania? Kama imeshindikana kuupatilliza hapa Marekani, na kwa kweli hapa Marekani miji kama ya Minneapolis-St-Paul (Miji Pacha), Dearborn(Michigan) Uislamu unazidi kushamiri sembuse Tanzania. Uchina na Urusi licha ya kufuata Ukomunisti zilishindwa kuipatiliza dini hiyo pamoja na Ukristu, sasa hilo Kanisa Katoliki litaweza hapa Tanzania?

Jibu ni kuwa vioja hivi vya chuki vinasambazwa na watu wenye lengo la kuleta utengano na kujipatia masilahi binafsi kama wewe na Juha Jussa.

Watanzania wenye mapenzi mema hatuwezi kunyamazia upuuzi kama huu na tutambana ha vioja hivi vichafu bila kurudi nyuma.

Kama Wazanzibari hawataki muungano ni vema isemwe hivyo ili kila upande wa muungano ufanye mambo yake kwa uhuru bila kulazimishwa kuzungumzia vioja badala ya hoja za msingi zinazoleta maendeleo.
 
Bi Tibaijuka kasha fafanua na kusema alichofanya ni kwa baraka za aliemteua yani raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa maana asingeweza kwenda UN kuomba hili swala bila kibali chake. Sasa kama mna beef na mtu yoyote iwe na raisi ila huyu mama hana makosa.

Jusaa kashaumbuka na wote waliovalia njuga porojo zake tatizo wamesha shikwa na aibu kwa hiyo hawana lingine la kufanya zaidi ya kuendeleza tu ubishi mpaka watu watakapo sahau matapishi yao.
 
Bi Tibaijuka kasha fafanua na kusema alichofanya ni kwa baraka za aliemteua yani raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa maana asingeweza kwenda UN kuomba hili swala bila kibali chake. Sasa kama mna beef na mtu yoyote iwe na raisi ila huyu mama hana makosa.

Jusaa kashaumbuka na wote waliovalia njuga porojo zake tatizo wamesha shikwa na aibu kwa hiyo hawana lingine la kufanya zaidi ya kuendeleza tu ubishi mpaka watu watakapo sahau matapishi yao.

Dowans na Richmonds zilikuwa na baraka za Kikwete Jee Lowassa kwanini alijiuzulu?
 
Bi Tibaijuka kasha fafanua na kusema alichofanya ni kwa baraka za aliemteua yani raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa maana asingeweza kwenda UN kuomba hili swala bila kibali chake. Sasa kama mna beef na mtu yoyote iwe na raisi ila huyu mama hana makosa.

Jusaa kashaumbuka na wote waliovalia njuga porojo zake tatizo wamesha shikwa na aibu kwa hiyo hawana lingine la kufanya zaidi ya kuendeleza tu ubishi mpaka watu watakapo sahau matapishi yao.



Hakuna alieumbuka kwani Aliyosema Tibaijuka hakuna geni labda kwa wewe unatumia seat kufikiri! Baraza la Wawakilishi lilijadili hoja ya Jussa baada ya Shamuhuna kukubali kuwa alishiriki na ndio akaambiwa ajiuzulu. Hata hiyo Serikali ya Mapinduzi ilifyata na kuonmba muda kujieleza. Hivyo sisi hatujali ya Jawabu la Tibaijuka! Hili ni sawa na sakata la Jairo la Serikali kukiuka maagizo ya Baraza la wawakilishi
 
Dowans na Richmonds zilikuwa na baraka za Kikwete Jee Lowassa kwanini alijiuzulu?

Kama Kiwete alitoa baraka basi nae alitakiwa ajiuzulu. Kwa nini alijiuzulu mmoja tu hilo ni swala lingine. Au two wrongs make a right?
 
Hakuna alieumbuka kwani Aliyosema Tibaijuka hakuna geni labda kwa wewe unatumia seat kufikiri! Baraza la Wawakilishi lilijadili hoja ya Jussa baada ya Shamuhuna kukubali kuwa alishiriki na ndio akaambiwa ajiuzulu. Hata hiyo Serikali ya Mapinduzi ilifyata na kuonmba muda kujieleza. Hivyo sisi hatujali ya Jawabu la Tibaijuka! Hili ni sawa na sakata la Jairo la Serikali kukiuka maagizo ya Baraza la wawakilishi

Kumbe ni serikali ua Wazanzibari wenyewe ilifyata?
 
Usitake kuchanganya mambo na kuleta hoja zako za udini. Nilisema huko juu kuwa hata kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar ambayo imerekebishwa mnamo mwaka 2009, Zanzibar yenyewe imetangaza kuwa mipaka yake ni kama iliyokuwapo kabla ya Muungano. Kwa kutokujua hao wanaojifanya ni wasomi na wanaopigania masilahi ya Zanzibari wamekana haki yao ya Ukanda Tengefu wa Kiuchumi (UTK). Madhari huna haki huwezi ukawa na haki ya kupata Ukanda-Nyongeza wa Kibara (Extended Continental Shelf).

Hoja ya kuvimeza visiwa vya Zanzibar ni hoja isiyo na msingi, kwa muundo wa muungano wetu Tanzania Bara ndiyo imemezwa na Zanzibar kwani, Zanzibar inayo serikali yake na bunge na mahakama yake, wakati Tanzania Bara haina. Wabunge wa Zanzibar wanatoa maamuzi juu ya Tanzania Bara hata kwa mambo yasiyo ya Muungano.

Hoja ya udini inatolewa na watu wasio na hoja na wenye kujua kupayuka, kama wewe na Juha Jussa. Mtu mwenye akili zake zilizotimia(timamu) anajua kuwa njama hiyo haipo na wale wanaoifikiria wanapoteza muda wao. Uislamu na Ukiristu na Uyahudi, si dini ambazo unaweza kuzipatiliza duniani hata ukila njama na shetani. Kama ilishindikana kung'oa Uislamu Ulaya inawezakana kuung'oa Tanzania? Kama imeshindikana kuupatilliza hapa Marekani, na kwa kweli hapa Marekani miji kama ya Minneapolis-St-Paul (Miji Pacha), Dearborn(Michigan) Uislamu unazidi kushamiri sembuse Tanzania. Uchina na Urusi licha ya kufuata Ukomunisti zilishindwa kuipatiliza dini hiyo pamoja na Ukristu, sasa hilo Kanisa Katoliki litaweza hapa Tanzania?

Jibu ni kuwa vioja hivi vya chuki vinasambazwa na watu wenye lengo la kuleta utengano na kujipatia masilahi binafsi kama wewe na Juha Jussa.

Watanzania wenye mapenzi mema hatuwezi kunyamazia upuuzi kama huu na tutambana ha vioja hivi vichafu bila kurudi nyuma.

Kama Wazanzibari hawataki muungano ni vema isemwe hivyo ili kila upande wa muungano ufanye mambo yake kwa uhuru bila kulazimishwa kuzungumzia vioja badala ya hoja za msingi zinazoleta maendeleo.

Hata dikteta Nyerere alisema kama anawapenda sana wazanzibari ,lakini pamoja na mapenzi yake hakutaka wawe huru kuamua mambo yao. Kwahiyo huna kipya utakacho mueleza Mzanzibari. Kwenu nyinyi mzanzibari mwenye akili ni yule mwenye kufata amri zenu zenye kuangalia maslahi yenu.
Ukanda wa bahari kuu aliouzungumza Mh,Jussa , ni ule wa mashariki ya Zanzibar (ukiangalia ramani ni ubavu wa kulia wa zanzibar) sio kusini wala kaskazini. Nchi pekee yenye haki ya kuomba ama kudai eneo hilo ni Zanzibar.

Hapana hoja ya udini hapa kuna kusema ukweli, kwako wewe kama udini ,sawa. Hivi umewahi kujiuliza kwanini viongozi wa Tanganyika wale viapo kudai kulinda Muungano kwa nguvu zote .Wakati huo huo mnadai kama eti nyinyi ndio mmepoteza, mnawabeba ,mnawasaidia wazanzibari? Kwa huruma gani mliyonayo?

Mbegu za chuki kama zipo,basi yule mzee wenu dikteta Nyerere ndio aliziweka. Kwahiyo tujitayarishe na mavuno. Lakini katu Mzanzibari hatakaa kimya kuona haki zake zinaporwa kwa makusudi eti kisingizio Muungano. Nani aliwazuwia kuweka serikali yenu ya Tanganyika? au wabunge kutoka Zanzibar?
 
Hakuna cha kujiuzulu mtu hapa. Mtatokwa povu mtachoka. Tena huyu ndiye anayefaa kuwa rais wetu 2015.
 
Kuwepo kwa wazanzibari Tanganyika na kuwepo kwa watanganyika zanzibar, sio lazima tuwe na muungano. Watanganyika na Wanzibari wako nchi nyingi tofauti na hazina muungano na Tanzania. Kelele za kila mzanzibari ni kuhusu unyang'anyi wa makusudi wa haki za Zanzibar katika Muungano.
Maamuzi yote yanayohusu mustakbali wa zanzibar yanaamuliwa Dar au Dodoma kinyume na matakwa ya wazanzibari wenyewe. Tumeshuhudia mauwaji ya Pemba chini ya Mkapa. Zanzibar ,hairuhusiwi kuwa na uhusiano wa moja kwa moja na mashirika ya kimataifa bila ya kupitia Tanganyika. Kila mzanzibari anaelewa kuwa nia halisi ya Tanganyika ni kuvimeza visiwa vya Zanzibar.
Kwa mtanganyika wa kawaida hawezi kuyaona haya. Wengi wao huishia kushabikia siasa bila ya kujua zile agenda za siri za kanisa Katoliki. Moja ya agenda hizo ni kuua uislamu katika ukanda mzima wa mwabao ikiwemo Zanzibar. Uganda nchi yenye asilimi ndogo ya waislamu ,pamoja na kwa rais wa nchi hiyo kuwa Mkatoliki ,lakini ni member wa OIC. Kuna nchi nyengine vile kama Cameroon, Msumbiji .
Harakati za ukombozi wa Zanzibar zitaendelea mpaka kieleweke. Tutakataa utamaduni wa kigeni wa kuuza pombe kila kona ya mtaa, Tutakataa madanguro,tutakataa tamaduni zote za watu wasiokua na staha na kujiona kama wao ndio babukubwa. Haya yote yanafanyika kwa kisingizio cha kuimarisha Muungano.
Mwisho wa yote tutalinda maslahi ya Zanzibar kwa hali yeyote ile.

Nilidhani unanijibu kumbe una ajenda tofauti na thread hii.. waswahili bwana... na sijui tulitoana wapi na watu wasioelewa kiasi hiki.... Lakini one day waana wa nchi wataamka na kila kitu kitakuwa shwari.. endeleeni tu kutupa mawe huku mkiwa kwenye nyumba ya vioo. Matokeo yake mtayaona na nina uhakika hakuna kitu kitakachoitwa zanzibar baada ya muungano kuvunjika. Usidhani pia bila muungano mtaendelea kutanua huku bara bila utaratibu... think loud....
 
Hata dikteta Nyerere alisema kama anawapenda sana wazanzibari ,lakini pamoja na mapenzi yake hakutaka wawe huru kuamua mambo yao. Kwahiyo huna kipya utakacho mueleza Mzanzibari. Kwenu nyinyi mzanzibari mwenye akili ni yule mwenye kufata amri zenu zenye kuangalia maslahi yenu.
Ukanda wa bahari kuu aliouzungumza Mh,Jussa , ni ule wa mashariki ya Zanzibar (ukiangalia ramani ni ubavu wa kulia wa zanzibar) sio kusini wala kaskazini. Nchi pekee yenye haki ya kuomba ama kudai eneo hilo ni Zanzibar.

Hapana hoja ya udini hapa kuna kusema ukweli, kwako wewe kama udini ,sawa. Hivi umewahi kujiuliza kwanini viongozi wa Tanganyika wale viapo kudai kulinda Muungano kwa nguvu zote .Wakati huo huo mnadai kama eti nyinyi ndio mmepoteza, mnawabeba ,mnawasaidia wazanzibari? Kwa huruma gani mliyonayo?

Mbegu za chuki kama zipo,basi yule mzee wenu dikteta Nyerere ndio aliziweka. Kwahiyo tujitayarishe na mavuno. Lakini katu Mzanzibari hatakaa kimya kuona haki zake zinaporwa kwa makusudi eti kisingizio Muungano. Nani aliwazuwia kuweka serikali yenu ya Tanganyika? au wabunge kutoka Zanzibar?

Nimetoa hoja ukashindwa kuzijadili na kuanza kuzungumza upupu wako. Nasema kwa mujibu wa katiba yenu Zanzibar haina haki ya UTK na ule wa nyongeza. Piga ua hilo halitabadilika tena mmechamba sana sasa mmeshika mavi.
 
Back
Top Bottom