Prof Tibaijuka lazima ajiuzulu

Huu muungano tunaouzungumzia ni upi kama jusa anataka "Jussa alisema wananchi wa Zanzibar wapo tayari kupoteza maisha lakini hawatokubali eneo la bahari Kuu la Zanzibar kuongezwa na kuwa sehemu ya eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."
 
This is absurd, do you people read between lines? Anayekwenda UN ni nani? Kuna mwakilishi yeyote wa serikali ya Zbr anayetambulika UN? Kama mnazo sheria (ati sharia) zenu kwa nini basi msizitumie kuchukua hilo eneo? Mnanu'gunika tu wakati ukweli mnaujua, ati Sharia zenu ni kama kanuni tu za kujiendesha ndani ya hilo eneo, hazitambuliwi na nchi ingine yeyote, kama unabisha taja hiyo nchi! What you are saying only exists in day dreams! Mbona hunijibu, nimekuuliza ukiulizwa kwa Kiingereza, au unapofill forms zozote i don't know if you ever do them at all, ukiulizwa what is your nationality, unajaza nini?

Kelele zote za nini.

Je umeshaisoma katba ya JMTz hususan kipengele hichi,
The article of the Union between Tanganyika and Zanzibar inasema
(v) The existing laws of Tanganyika and of Zanzibar
shall remain in force in their respective territories suject to (a) to any provision made hereafter by a competent legislature;

Vile vile unaposema JMTz una maanisha nini? Ni Tanganyika au Tanganyika na Zanzibar?


 
Suala la ardhi halimo katika mkataba wenu wa makubaliano wa muungano wenu.

Katika mambo mliokubaliana kuungana suala la ardhi halipo. Hivyo kukimbilia kuliomba suala hili la ongezeko la bahari ni kuingiza masuala ya ardhi kinyemela katika muungani kama ilivyofanyika kwa masuala 11 zaidi ambayo yaliongezwa kinyemela kwenye muungano nje ya ule mkataba wa awali wa muungano.

Barubaru inaelekewa wewe unaongelea jambo jingine tofauti? Ninaomba uweke sawa maana hapo kwenye RED sikuelewi.

Hivi Ombi alilopeleka UN Prof. Tibaijuka ni la kuomba kuongezewa eneo la ARDHI au Eneo Tengefu la Bahari (Exclusive Economic Zone EEZ)?

Au huko kwenu Oman Ardhi = Bahari (read EEZ)
 
Barubaru inaelekewa wewe unaongelea jambo jingine tofauti? Ninaomba uweke sawa maana hapo kwenye RED sikuelewi.

Hivi Ombi alilopeleka UN Prof. Tibaijuka ni la kuomba kuongezewa eneo la ARDHI au Eneo Tengefu la Bahari (Exclusive Economic Zone EEZ)?

Au huko kwenu Oman Ardhi = Bahari (read EEZ)

Kwani Tibaijuka ni waziri wa Ardhi na makaazi au waziri wa Bahari na gas asilia?

Vipi huko kwenu kwani unaposema ardhi inamaanisha na Bahari ni ardhi?

 
Naomba nikuweke sawa kidogo kwani kuna mambo umeyasahau kidogo.

Tanganyika na Znz zimeungana kimkataba na sio kikatiba. Kuna mambo yamo katika mkataba huo nayo ndio mambo ya muungano. Suala la ardhi na makazi si suala la Muungano na ndio maana Znz kuna waziri wa wizara hiyo na Bara yupo.

Kumbuka kuwa Mamlaka ya Tibaijuka mwisho wake ni Chumbe akiwa Znz hana mamlaka yoyote ukilinganisha na waziri wa mambo ya nje au mambo ya ndani. hawa wana malka kote kote.

Kumbuka vile vile Znz ni nchi kamili yenye mamlaka kamili na hilo limebainishwa katika katiba ya Znz. Kwa msingi huo Katiba hiyo hiyo imeanisha eneo la Znz kiufasaha kabisa. sasa kwa ombi hilo la Tibaijuka ni lazima katiba ya Znz itabidi ibadilike kwa kuongeza eneo la milki yake au kupunguza miliki yake na hapo ili kubadilisha kipengele hicho cha katiba lazima BLW litahusika vilivyo kwani wao ndio wtunzi wa sheria za Znz na mambo yote yaliyo nje ya muungano.

Kumbuka kuwa katika Picha walopiga kule UN wakti wanawakilisha alikuweo Tibaijuka, balozi wa Tz katika UN, Mbunge wa Mafia na Katibu wa wizara kutoka Znz. Kwa mantiki hiyo inaonekana wazi Prof Tibaijuka alipata baraka zote za Bunge la Muungano dio maana akachukua muwakilishi wa Bunge.

Sasa upande wa BLW hawakuwa na taarifa zozote ongezeka hilo officially na aliku husishwa kwa lolote lile kitu ambacho Jussa amehoji. Ikumbukwe kuwa maombi haya yakifanikiwa lazima BLW litahusishwa katika kupitisha sheria za ongezeko la eneo la miliki la Znz.

sasa labda tujiulize.
Je Znz itaongezewa kiasi gani katika hicho kilicho ombwa? hilo ni suala ambalo limegubikwa na utata mkubwa na alijabainishwa katika mkataba au mbi hilo.

Lakini pia lazima ufahamu kuwa Tz na Znz zote zinaongozwa na Rules of Law. Na mihimili yote mikuu inajipambanua yaani Serikali, Bunge na Mahakama bila kuingilia katika utendaji kazi wake. Kila muhimili unajitegemea.

Limeanza baraza la wawakilishi kuhoji Serikali ya Znz kisha uzi utafuata. Kwani majibu ya Serikali ndio yatatoa mwangaza kwa sakata hilo. Lakin all in all Tibaijuka lazima ajiuzuru hapo.

Kwani mtiririko wa jambo hili unakuwa sawa kabisa na ule wa Tz kujiunga na OIC.


Kwanza nikupe pole sana kwa kutumia muda mwingi kufukuza kivuli ukiwa umesimama juani.

Hiyo ya kijani - Hivi umejaribu kuyatumia pembeni as rough hayo maneno mawili? Mkataba na katiba, kabla hujayatumia rasmi katika ujenzi wa hoja yako?

Hilo eneo la Chumbe tangu lini lilikuwa mpaka?

Mipaka ya Kimataifa ya bahari huanza kuhesabiwa kutoka toka pwani ya nchi kulekea baharini, na chochote kitakachopatikana ndani ya Km 242, hicho ni mali ya nchi yenye pwani, hivyo basi ili zanzibar iwe nchi au kisiwa kinachojitegemea ilitakiwa iwe nje ya umbali huo toka katika pwani ya Tanzania/Tanganyika (utaratibu huu hauhusisha visiwa kwa visiwa), sasa kwakuwa mupo ndani ya umbali huo, nawapunguzieni kazi ya ubishi usio na tija kuwa futeni ndoto za kufikiri eti mtakuja kuwa na nchi yenu, mipango iliyopo sasa ni kuiua hata hiyo serikali yenu kwa kuanzisha serikali za majimbo na zanzibar kuwa kati ya majimbo ya nchi hii.
 
Kwanza nikupe pole sana kwa kutumia muda mwingi kufukuza kivuli ukiwa umesimama juani.

Hiyo ya kijani - Hivi umejaribu kuyatumia pembeni as rough hayo maneno mawili? Mkataba na katiba, kabla hujayatumia rasmi katika ujenzi wa hoja yako?

Hilo eneo la Chumbe tangu lini lilikuwa mpaka?

Mipaka ya Kimataifa ya bahari huanza kuhesabiwa kutoka toka pwani ya nchi kulekea baharini, na chochote kitakachopatikana ndani ya Km 242, hicho ni mali ya nchi yenye pwani, hivyo basi ili zanzibar iwe nchi au kisiwa kinachojitegemea ilitakiwa iwe nje ya umbali huo toka katika pwani ya Tanzania/Tanganyika (utaratibu huu hauhusisha visiwa kwa visiwa), sasa kwakuwa mupo ndani ya umbali huo, nawapunguzieni kazi ya ubishi usio na tija kuwa futeni ndoto za kufikiri eti mtakuja kuwa na nchi yenu, mipango iliyopo sasa ni kuiua hata hiyo serikali yenu kwa kuanzisha serikali za majimbo na zanzibar kuwa kati ya majimbo ya nchi hii.

Tatizo la kusoma shule za st ... st ... hata geograph hujui.

 
hapo Barubaru amekwenda shule lakini bado ni mbishi hivyo sasa hali ikoje kwa wenzake waliokimbia umande?
 
hapo Barubaru amekwenda shule lakini bado ni mbishi hivyo sasa hali ikoje kwa wenzake waliokimbia umande?

Nifahamishe ubishi wangu upo wapi?

Au kusema kweli na kusimamia sharia zenu ni ubishi?

Naomba mwongozo wako.

 
Barubaru,

..labda wakati unasoma UDSM Prof.Tibaijuka naye alikuwa masomoni nje ya nchi.

..mwanamke wa kwanza mwafrika kushika nafasi ya UN undersecretary general si mtu wa kumdharau hata kidogo.

..wasifu mfupi wa Prof.Tibaijuka huu hapa.

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Mrs. Anna Kajumulo Tibaijuka was appointed The Executive Director of UN-HABITAT in September 2000. A Tanzanian national, Mrs. Tibaijuka holds a Doctorate of Science in Agricultural Economics from the Swedish University of Agricultural Sciences in Uppsala .

Prior to joining Habitat, Mrs. Tibaijuka was the Special Coordinator for Least Developed Countries, Landlocked and Small Island Developing Countries at the United Nations Conference on Trade and Development (UNCTAD). In this role, Mrs. Tibaijuka was responsible for strengthening the capacity of LDCs in trade negotiations with the World Trade Organisation.
[/FONT][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
From 1993 to 1998, when she joined UNCTAD, Mrs. Tibaijuka was Associate Professor of Economics at the University of Dar-es-Salaam. During this period she was also a member of the Tanzanian Government delegation to several United Nations Summits including the United Nations Conference on Human Settlements (Istanbul, 1996); the World Food Summit (Rome 1996); the Fourth World Conference on Women (Beijing 1995) and the World Summit for Social Development (Copenhagen, 1995). At these conferences, Mrs. Tibaijuka was an active member of the Civil Society and NGO Forums.

At the World Food Summit in Rome , she was elected Coordinator for Eastern Africa in the Network for Food Security, Trade and Sustainable Development (COASAD). Mrs. Tibaijuka has also been a Board Member of UNESCO's International Scientific Advisory Board since November 1997.

[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Dedicated to the role, and rights, of women in development, Mrs. Tibaijuka is the founding Chairperson of the Tanzanian National Women's Council (BAWATA), an independent, non-politically aligned, organisation advocating for women's rights to land, inheritance and social services. Mrs. Tibaijuka is also founding Chairperson of the Barbro Johansson Girls Education Trust which is dedicated to promoting high standards of education amongst girls in Tanzania and in Africa .

Mrs. Tibaijuka was also the convener of Tanzania 's Local Entrepreneurs Initiative (TALE), a voluntary group mobilising and assisting Tanzanians to form joint venture companies with overseas investors. She has been a Board Member of the Tanzania Economic Policy Development and Management Foundation and is a Director of a number of private companies dedicated to encouraging entrepreneurship and efficiency in the marketing of agricultural commodities.

[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Mrs. Tibaijuka has undertaken extensive research on agriculture, rural development and human settlements policy; trade and marketing, cooperative development and aid policy; welfare economics with a focus on education, health and nutrition, water and food security; women in development; and tropical agriculture and environmental economics.

She has published five books and numerous articles and papers. Her books include: Strategies for Smallholder Agricultural Development in Kagera region, Tanzania (Agricultural University, Uppsala, 1979); Tanzania's Priority Social Action Programme (Dar-es-Salaam University Press, 1993); Poverty and Social Exclusion in Tanzania (ILO, International Institute for Labour Studies, 1996); The Social Services Crisis of the 1990s (Ashgare Publishing Ltd, London, 1998).

[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Mrs. Anna Tibaijuka speaks English, Swahili, Haya, Swedish and some French. She is a widow and has four children.[/FONT]
 
Mwalimuuu.... Mh no.. mzee Karumeeeee hapana! ISMAIL JUHA sor JUSAAAA.... anyway ntarudi baadae.......
 
Back
Top Bottom