Alichokianika Mdee nimebaki mdomo wazi, sishangai ndiye anayemkingia kifua Mchungaji Rwekatare kutobomolewa nyumba iliyojengwa ufukweni mwa bahari kwenye ifadhi.
Katika maprofesa wanawake wasio na msaada ni huyu mama, ameshindwa hata kutatua mgogoro wa kupata hati makongo tuu ndio sembuse kigamboni. Ila naamini hii nchi wanaoila kuna mwisho na si mbali sana, sasa analeta ujanja ujanja uzeeni anafikiri atazikwa na pesa ama?
nani sio mwizi ndani ya ccm??
Report yenyewe ame copy barua ya professor kwenda kwa waziri mkuu halafu mnamsifia, halafu sauti inazidi kukauka tu mwambieni aache kunywa gongo na kutembea na viroba kwenye hand bag yake.
unaweza kumshauri panya asiibe kweli.
huyu mama ameshajumuika na panya
Report yenyewe ame copy barua ya professor kwenda kwa waziri mkuu halafu mnamsifia, halafu sauti inazidi kukauka tu mwambieni aache kunywa gongo na kutembea na viroba kwenye hand bag yake.
Mbona sielewi tatizo na Prof. TIBA liko wapi?! Ni fisadi? Au kashindwa kuiongoza wizara yake?
Mnahangaika na hao ma firstlady wa lumumba?mwanamke sijui anampikia mumewe saa ngapi? haswa lizaboni.na kuna changu wa kichaga anajiita nyari..
sasa hayo yote mnayozungumza mbona yalipita jana bila shida kabisa, mdee ameshindwa kufanya kazi yake amebaki kutoa tuhuma za uongo, muulize huyo mdee yeye kazi yake ni kutunga uongo tuuuuuuuuuuu??
na bunge, Tanzania daima ilithubutu tu kuandika kilichosomwa bungeni na Halima mdee, sidhani kama kuna gazeti litaandika vile, bi mkubwa hujasikiliza bunge jana?Chanzo: TANZANIA DAIMA.
Hate the game.......................
Wambie wakurundishie akili japo kidogoMdee mwenyewe yuko uchi anatakiwa kupatiwa nguo avalishwe
ama kwa hakika hata Yesu angekuwa CCM lazima angekwiba. hicho ni chama cha mashetani, wezi, malaya,majangili wa wanyama na wauaji wakubwa wa raia.nani sio mwizi ndani ya ccm??