Mwakaila u have problem in............!nyambaaaafu.
kabishane na wa.ji.nga wenzako mimi sio saizi yako.....nenda facebook we mtoto
Mbwembwe tu hizo. Huna lolote.
Kama vipi nawe mfuate kila anapokwenda kama CRDB inavyowafuata wateja wake (ulipo tupo) kwa maana naona una wivu wa kike.Mhhhh!!!!!!!!!! Sijawahi fungua huku nikakukosa. Kila post iwe udaku wewe upo tu. CCM wamekupa tenda nn mamaa ili na mm nijiunge angalau naweza badilisha upepo wa maisha.
We vipi? mbona unaingia bila hodi? Ila ndo mdudu alivyo. Umejiunga juzi hata sheria za JF hujazijua unaanza kuparamia watu ovyo.Kama vipi nawe mfuate kila anapokwenda kama CRDB inavyowafuata wateja wake (ulipo tupo) kwa maana naona una wivu wa kike.