deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,287
- 946
Aliulizwa uliomba pesa kulipa fidia kwa tsh 15000/-kwa sqmeter 1 mbona unalipa tsh 5000 hiyo 10000 inaenda wapi hakujibu kabaki kujisifu ujinga kafanyia nini taifa hili zaidi ya kuwa sababu ya kuwafanya wananchi kukosa haki zao hapo kurasini kingamboni etc