Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

Nashangaa sijasikia akiongelea migogoro ya ardhi Tanga,moro,iringa na kwingineko zaidi ya kujikita hapo kigamboni wanakotaka kujenga mji usiojulikana na wakaazi wake hawajulikani watakuwa akina nani. huu ni ujinga uliozidi viwango vya ujinga.hivi kweli tunaweza kujisifu sasa wizara imepata waziri ambaye ni profesa?

Alishindwa kujibu sababu badala ya kujibu hoja za maana anaenda kujibu hoja binafsi,na hapo ndipo alipopotea.Lakini yawezekana ndivyo walivyokubaliana kwenye Mkutano wa wabunge wa CCM hana majibu so,jibu mapigo ya Halima Mdee,na ndicho alichofanya.Lakini amejipunguzia heshima yake kwa jamii.
 
Tibaijuka: Hoja ya upinzani ni kelele
Waziri wa ardhi na makazi Prof. Tibaijuka kasema alicheka wakati Mbowe anachangia kwa sababu eti sio hoja ni kelele.


Kauli hii ilimfanya spika Makinda amkatishe waziri aende kwenye hoja.


Na pia aliendelea kukatishwa baada ya kuonekana kutojibu hoja kwa kuendelea na kushambulia wapinzani.


LazyDog, BENNY MAO and FOR 2015 like this.
 
Huyu mama amekuwa mwizi kuliko mapanya aliyoyakuta kwenye huo ukoo wa panya. Kwa kifupi amekuwa panya buku...

Mi nilitegemea ataongelea Luchelele na Mhonze huku Mwanza lakini kimya. Huyu mama ni janga la kidunia, sijui UN walimuokota wapi.
Wakati nchi nyingine unaposikia Prof unahisi ni mtu mwenye uelewa na bila shaka siyo mwizi na fisadi Tanzania ni kinyume. Tanzania ukisikia Profesa moja kwa moja unamhusisha na ufisadi, BASI!
 
Kwa hiyo yeye akawa mahakama sasa!!!!!!!?????? Tiba, where is your sharp and critical commenting style in this!!!!!??????

My dear i was just trying to think aloud as to why Mdee should support Rwakatare. If the govt permitted the construction to take place why should then get back and order the demolition?

Tiba
 
Last edited by a moderator:
naogopa kuchangia huu uzi nasikia ni member huku,mabwe pande kunatisha.
_ila alitia huruma aliweweseka
 
Wewe ndio umelaaniwa huna akili huna kabisa...unamshambulia mwenzako bure

Nimamin namshambulia bure kumbe ni taahira huyo. Hata hvyo nimesahau ukiwa mwana ccm lazima uwe mjinga taahira zuzu mpuuzi kama ilivyo lumumba team chini ya Lizabon T2015CCM NA Ifweero. Ujinga mlionao hata pale kwenye ukweli hamuwezi kupaona samahan sana T2015ccm na ifweero kwa kuwaonea sikukumbuka na bishana na matahira na makubwa jinga ya lumumba.
 
Mdee alimbana haswaaa....Mama aliishia kumkejeli mdee na kujisifia..hakujibu hoja za mdee.Mradi wa kigamboni ni "deals" za watu....hakuna kitu pale....Sasahivi wamekomaa za zile ekta za nyongeza...wanajigawia watakavyo...Sophia Simba ana zaidi ya ekta 50 amejenga kijiji huko.......

Its high time now faustine Ndungulile simama bodly na wananchi wako muupinge mradi huu...Miaka saba ya wananchi kutokujua hatma yao...na shughuli za ujenzi kusimama..ni mateso makubwa sana kwa wananchi.....Wananchi wenye makazi kigamboni hawakopesheki kwenye taasisi za kifedha.......

Ndungulile unatakiwa kuwatetea wananchi wako...CCM unajua haikupendi...2015 jimbo utalipata tu ukionesha msimamo wako...Huu mradi ni nightmere kwa wananchi.....Upigwe stop.....Wameona kule Oysterbay na Masaki pamejaa sasaivi wanataka kuwatimua walalahoi ili wao wakaishi kigamboni
Ngeleja, Makamba nk. wana ekari 200 kila moja pale karibu na Sophia panaitwa Kijaka
 
Tibaijuka ni mmojawapo ya mawaziri mizigo..Kuna haja ya kumrudisha Magufuli pale
 
Wakati nchi nyingine unaposikia Prof unahisi ni mtu mwenye uelewa na bila shaka siyo mwizi na fisadi Tanzania ni kinyume. Tanzania ukisikia Profesa moja kwa moja unamhusisha na ufisadi, BASI!

Umeonae!
Unafikiri kwani watu wanashobokea kuitwa Madokta na Maprof pamoja na kuwa milango ya Vyuo hawakujui!


Jibu rahisi kwamba Tanzania ukiwa Dr/Prof ufisadi ni halali na hautaulizwa hapo upo?
 
kama unaweza kufungia macho uchafu huu unaosababisha mauaji ya kutisha kutokana na serikali hii iio jaa wasaka tonge, bac laana yako ni kubwa kuliko ya shetani! na hawa vichwa maji wanaoandika uchafu wao watu wanapo changia maswala muhimu ya kitaifa ......... ili mradi wapate 7000...
 
Migogoro mingi ya ardhi inasababishwa na uongozi mbovu na kutokuwana mipaka ya uhakika, na land use plan kutokuwepo.

hili hajaongelea ana mpango gani wa kulitatua na ukiangalia kwa makini linatatulika tukiwa na uongozi makini maana vyote hivyo vinawezekana kwa kila wilaya na kila kata
 
Ndio mana upinzani unamshabikia kagame

Ningekuwa mwanadiwani Nape nisingekupa buku 7 kwa sababu hauna elimu ya wala haujaenda shule Nape he just make mistake to pay you.dude hata hauwezi kujistukia kuwa unaenda kuwa kichaa.pls jenga hoja kuelimisha jamii na sio kuja kujichekeshachekesha kama msimbe wa jori.natumaini hata familia yako huwa unabishana nayo.funguka sister lol
 
"ukiona unakipenda kitu mpaka unashindwa kukikosoa pale kinapofanya vibaya hukipendi bali unakiabudu" huipendi ccm wewe bali unaiabudu, hata kwenye mambo ya wazi bado huoni? kwanza ukiwa na fikra huru ukasema kitu kuirekebisha serikali ni dhambi? wanasiasa tz wametuweza yaani wametufanya tuwe vipofu hata wakiiba kuna wananchi wapo nyuma yao wanawatetea..

Acha kujibizana na huyo,huwezijua ana maslahi gani na magamba,manake huwa anabwabwaja kama ana maruhani ya CCM..
 
Back
Top Bottom