Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

ninao uhakika kwamba TIBAIJUKA ndiye waziri mbovu kuliko wote waliopo .

Mkuu inawekana ni mzuri ila watendaji wake ni wachafu, zaidi amekuta uozo ambao imekuwa ni ngimu kuupatia ufumbuzi kwa asilimia 100.
 
Tibaijuka anapointi nzuri lakini amepotoka kumjibu mdee as a person. Economist Tibaijuka Mdee ni mwanasheria - wanatabia ya kumtibua mtu ili APOTEZE LENGO AU MWELEKEO
 
Mdee amebwabwaja tu na kelele nyingi zisizo na mantiki .

UDA ni mali ya nani? Kwani mashirika mengi ya umma yalibinafsishwa, kwa hiyo kasi ya UDA kununua magari mapya kwa mkupuo nguvu hiyo imetoka wapi?
 
Mhhhh!!!!!!!!!! Sijawahi fungua huku nikakukosa. Kila post iwe udaku wewe upo tu. CCM wamekupa tenda nn mamaa ili na mm nijiunge angalau naweza badilisha upepo wa maisha.

Hahahahaha, umetisha
 
jamani kiswahili anaongea kwa shida kweli, mumruhusu atumie kiingereza simnajua muda mwingi alikuwa UN.
 
Wanaenda kutishiana wakirudi ni ndioooooooo! Tanzania kwa siasa hizi za kukibeba chama badala ya kusimamia mambo ya msingi hatutakaa tuendelee kamwe hata miaka laki. Ni mungu tu siku akiamua kufanya mabadiliko.
 
Mnahangaika na hao ma firstlady wa lumumba?mwanamke sijui anampikia mumewe saa ngapi? haswa lizaboni.na kuna changu wa kichaga anajiita nyari..
 
La nne la zamani
matokeo yake ni kama ifuatavyo;
Hisabati 0%,
Sayansi 0%
Mwandiko. 10%
Siasa 88%
Sayansi kimu & Mapishi 67%

Duuuuh! ndio maana comments zake zinaendana na matokeo yake, majanga majanga matupu
 
Jamani wapinzani kuweni na huruma sometimes, makombora mliyoyapiga leo kwa huyu mama yalikuwa ni makali sana nadhani professa atalala leo akiwa hoi na huenda mmemsababishia matatizo ya kiafya, ila haya nimatokeo yakupeana vyeo ngoja yawapate. Aibu kwa chama tawala.

Naishauri serikali ya ccm ijiuzulu kabla mambo hayajaharibika.
 
Hakuna mwenye akili upinzani wote wa kusimama na kujenga hoja dhidi a prof w ukweli wa kwanza mwanamke e.Africa
 
maprofesa wa siku hamna kitu kabisa badala ya kuwa msaada kwa nchi yetu wana geuka kuwa vikwazo vya nchi yetu kuendelea hovyoo kabisa...
 
Jamani wapinzani kuweni na huruma sometimes, makombora mliyoyapiga leo kwa huyu mama yalikuwa ni makali sana nadhani professa atalala yleo akiwa hoi na huenda mmemsababishia matatizo ya kiafya, ila haya nimatokeo yakupeana vyeo ngoja yawapate. Aibu kwa chama tawala.

Naishauri serikali ya ccm ijiuzulu kabla mambo hayajaharibika.

Damu ni nzito kuliko maji: Honestly sijafurahia namna Tibaijuka alivyoshambuliwa na nina uhakika kwamba anaonewa tu,Bado sijasahau jinsi Dr Kamara na baadaye Dr Kagasheki walivyofanyiwa.Sitaki kuhusisha ukabila hapa but they way things are going make me feel ukabila unahusika hapa.Just thinking!!!
 
Mkuu inawekana ni mzuri ila watendaji wake ni wachafu, zaidi amekuta uozo ambao imekuwa ni ngimu kuupatia ufumbuzi kwa asilimia 100.

hana uzuri wowote yule ni bure kabisa na uprofesa wake,migogoro ya ardhi ndio kwanza inazidi kuongezeka wizara haichukui hatua zozote.
 
Wakazi wa Kigamboni tumekatiwa Umeme kisa Mbunge wetu anataka kujua hatma ya makazi yetu( Tanesco)
 
Tumekatiwa Umeme kisa Mbunge wetu na Ester Bulaya wanataka kujua hatima ya Wakazi wa Kigamboni, mida hii saa 20:15 Usiku
 
Back
Top Bottom