Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,476
- 16,182
ninao uhakika kwamba TIBAIJUKA ndiye waziri mbovu kuliko wote waliopo .
Mkuu inawekana ni mzuri ila watendaji wake ni wachafu, zaidi amekuta uozo ambao imekuwa ni ngimu kuupatia ufumbuzi kwa asilimia 100.