Mtoa mada labda nikwambie hivi..kuna utaalamu wa aina moja tu ambao ufanisi wake unakuwaga ni dhahiri mahala pote ambao ni SAYANSi. Hapa namaanisha sayansi ngumu sio ile laini so called social sciences..Ukisikia daktari professor ujue huyo amefanya tafiti dhahiri kwenye mwili wa viumbe akagundua kitu na ameponya watu katika shida au mphamasia kagundua dawa kaelezea madhara yake na inatumika kutibu hao ni kweli maprofessor na wengine katika sayansi ya aina hii kama wale waliomfundisha panya kugundua mambukizo ya TB na kufukua mabomu ya ardhini nk.
Lakini Professor wa uchumi ama sheria sijui wakati uchumi wetu haukui mikataba mibovu yapitishwa na ufisadi unakuwa na kuenea mbaka kwa watoto wadogo alafu mnawaita wataalamu wamesoma Sweden, Norway, USA nk..hao ni wataalamu wa maandishi na maandiko. Wanaandika kupata hadhi ya kitaalam lakini buree kabisa hawawezi kugeuza elimu yao kuwa faida. Wengine huko huko Bungeni wanayakana machapisho yao kisa siasa za mlengo fulani. Wasomi wetu PhD holders etal..wamekuwa watumwa wa mfumo huu wa hovyo wa nchi yetu. Si watu wa kuwakimbilia kabisaa hawana msaaada.
Hivyo basi mtoa mada..hakuna usomi ninaouona katika wasomi wetu kwani wanashindwa kutumia machapisho yao ya kisomi kuibadili nchi yetu katika maeneo ya usomi wao. Pathetic...........
Hao ndio maprofesa na madaktari walio ndani ya sisiemu.Wezi watupu msomi wa kweli,aliyeelimika katu hawezi kuwa shabiki au mwanachama wa sisiemu kwani huko suala la kufikiri haliko kabisa bali ni mazingaombwe tu yaliyojaa.
mmmmh ni wewe unayeongea haya?sasa wewe na mdee nani mnywa viroba?kazi ya kichwa sio kufugia nywele na kufikiria piaReport yenyewe ame copy barua ya professor kwenda kwa waziri mkuu halafu mnamsifia, halafu sauti inazidi kukauka tu mwambieni aache kunywa gongo na kutembea na viroba kwenye hand bag yake.
Msisahau wana jamvi tulimpeleka daktari huko huko UN,amerudisha nini Tanzania isipokuwa aibu?
Prof. amejibu mapigo ya Mdee; akimtuhumu kuwa amesema uongo na kuwashauri wananchi wa jimbo la kawe wasimchague tena Mdee akidai "itakula kwao".
Amedai Mdee amefikia hatua ya kuiba barua ya kiofisi ambayo alimwandikia waziri mkuu na kuiweka katika hotuba yake.
Wahaaya siunawajua!
Ngeleja, Makamba nk. wana ekari 200 kila moja pale karibu na Sophia panaitwa Kijaka
mmmmh ni wewe unayeongea haya?sasa wewe na mdee nani mnywa viroba?kazi ya kichwa sio kufugia nywele na kufikiria pia
mmmmh ni wewe unayeongea haya?sasa wewe na mdee nani mnywa viroba?kazi ya kichwa sio kufugia nywele na kufikiria pia
.pole pole mkuu tutafika.hivi mama makinda kaolewa na nani vile?Sinywi pombe chafu anazotaka luhalalisha slaa mimi, Nina sauti ya ki- gentleman, humuoni Mdee ameharibika sauti kwa gongo???!. Babu amemharibu bint mdogo hata kuolewa bado.
Sikumuelewa jana.Ofisi ya waziri ina secretary wake,au katibu muhktasi,sasa Halima Mdee barua hiyo aliwezaje kuiiba ikiwa iko kwenye file za waziri?Swali la msingi hivi barua hiyo Halima Mdee ameiba au ameiomba akapewa?Swali la nyongeza nani mwenye makosa aliyeomba akapewa au aliyeombwa akaitoa?
Na la mwisho kabisa kwanini Waziri akawa mkali kama Mbogo kwenye hiyo barua?
Kuna kitu zaidi kimejificha kwenye hilo.Namsupport Halima Mdee kwenye hilo lazima kuna katatizo hapo.
Majibu na ushauri aliotoa haufanani na tuhuma zilizotolewa. Wanasiasa hawa ni wepesi sana kusukuma lawama kwa watendaji lakini pale lawama zinapowaelekea wao hushindwa kuzijibu. Tuhuma zilizotolewa Bungeni zote ziko katika maeneo yake ya utendaji, alipaswa tu kuzikanusha na kutoa uthibitisho (ikihitajika) wa uongo huo. Lakini kusema tu katunga uongo msemaji haiondoi tuhuma hizo.Prof. amejibu mapigo ya Mdee; akimtuhumu kuwa amesema uongo na kuwashauri wananchi wa jimbo la kawe wasimchague tena Mdee akidai "itakula kwao".
Amedai Mdee amefikia hatua ya kuiba barua ya kiofisi ambayo alimwandikia waziri mkuu na kuiweka katika hotuba yake.