Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

Ungesoma vizuri kilichoandikwa, usingetuandikia huu uharo wako hapa!


Msamehe kwani hajatumia akili kujibu, yeye anafikiri huu ni ugomvi wa kikabila wakati yanayosemwa ni ukweli mtupu. Nani asiyejuwa sakata la Kigamboni?
 
Ukawa mnaangaika nyie kisauti Jana kamwaga ushuzi wake bungeni pale ila prof. Alimpatia fresh yake

Unakosea sana Mtanzania mwenzangu.Tusijali CHAMA gani tunachotoka tuangalie ukweli wa hoja husika.Tujiulize Je,tuhuma alizotoa Halima Mdee ni za kweli?Je,kama ni za kweli tufanyeje.Na kama hatuna uhakika kama za ukweli au la,basi nini kifanyike.Tujiulize je,kuna ukweli upendeleo upo wizara ya ardhi?Ni vitu vya kuvichambua na kuvitafutia majibu sahihi.

Tusikimbilie kutukana watu kwa sababu ya maumbile yao.Kwani alipenda kupewa sauti ile?Kumbuka 90% ya information aliyoitoa yawezekana kabisa imetoka wizara husika kwa watendaji ambao kwa namna moja au nyingine wamechoshwa na tabia za ubaguzi.
 
Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Aliulizwa uliomba pesa kulipa fidia kwa tsh 15000/-kwa sqmeter 1 mbona unalipa tsh 5000 hiyo 10000 inaenda wapi hakujibu kabaki kujisifu ujinga kafanyia nini taifa hili zaidi ya kuwa sababu ya kuwafanya wananchi kukosa haki zao hapo kurasini kingamboni etc
 
Mpango wa Mji wa kigamboni ni hovyo kabisa, wizi mtupu!! - Hongera Halima Kumpasha huyu mama ukweli!! sisi watu wa kigamboni tumeshamchoka, tuondoleeni huyu mtu haraka. Wametusumbua sumbua kwa makadirio yao miezi sita imepita hatujawaona tena, tangu 2008 tunaishi kwa matumaini - tumechoka.


Hongera Kambi ya Upinzani tukusemea sisi wakazi wa kigamboni.
 
Ufisadi ni mbaya sana ImageUploadedByJamiiForums1401343866.164383.jpg ImageUploadedByJamiiForums1401343884.423136.jpg
Hizo ni baadhi ya picha za mauaji yaliyotokea wilaya ya kiteto; chanzo kikiwa mgogoro wa ardhi.
 
Akiongea leo asubuhii kupitia tbc mbunge wa misenyi asunta mshama amesema watu walikuwa wanatumaini makubwa kwa tibaijuka lakini mpaka leo bado ameshindwa kutimiza matumaini na imani ya watu kwake
 
Nashangaa sijasikia akiongelea migogoro ya ardhi Tanga,Moro,Iringa na kwingineko zaidi ya kujikita hapo Kigamboni wanakotaka kujenga mji usiojulikana na wakaazi wake hawajulikani watakuwa akina nani.

Huu ni ujinga uliozidi viwango vya ujinga.Hivi kweli tunaweza kujisifu sasa wizara imepata waziri ambaye ni profesa?

Kama tamisemi ndio unashugulikia mambo yote ya ardhi mikoani kuna haja gani ya kuwa na wizara ya ardhi?Je ni fungu kiasi gani wametenga kwa ajili ya kutatua migogoro ya ardhi nchini na kuweka mazingira ya kutokuwepo kwa kipindi kijacho? Je kila kata ina land use plan inayoeleweka kwa wananchi wote?

Huyu waziri nashangaa sana sijui ni mtu wa namna gani.Kwa viongozi wa namna hii afrika tutakuwa masikini sana.
 
Watanzania tuache umbulula alichokiwakilisha mweshimiwa mdee ndio ukweli wenyewe: mwananchi ndie mwajiri wa viongozi, tunatakiwa tujue wanachofanya viongozi wetu
 
Mdee ni mmoja kati ya wabunge makini sana tulionao hapa nchini,tungekuwa na wabunge wanawake kama yeye nadhani Bunge lingekuwa ni sehemu nzuri sana ya kufikia malengo ya nchi yetu.
 
Hivi alimkingia kifua Rwakatare nyumba yake isivunjwe? Kama alifanya hivyo, basi ujue serikali ilitoa kibali cha ujenzi.

Tiba

Kwa hiyo yeye akawa mahakama sasa!!!!!!!?????? Tiba, where is your sharp and critical commenting style in this!!!!!??????
 
Last edited by a moderator:
​ Tibaijuka: Hoja ya upinzani ni kelele​
Waziri wa ardhi na makazi Prof. Tibaijuka kasema alicheka wakati Mbowe anachangia kwa sababu eti sio hoja ni kelele.


Kauli hii ilimfanya spika Makinda amkatishe waziri aende kwenye hoja.


Na pia aliendelea kukatishwa baada ya kuonekana kutojibu hoja kwa kuendelea na kushambulia wapinzani.


LazyDog, BENNY MAO and FOR 2015 like this.
 
Huyu mama amekuwa mwizi kuliko mapanya aliyoyakuta kwenye huo ukoo wa panya. Kwa kifupi amekuwa panya buku...

Mi nilitegemea ataongelea Luchelele na Mhonze huku Mwanza lakini kimya. Huyu mama ni janga la kidunia, sijui UN walimuokota wapi.
 
le profesee maskini alizidiwa....kwa sababu mwanamke alijua watamwonea huruma hakuna hiyo
 
Back
Top Bottom