Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

Prof. Tibaijuka Kikaangoni, CCM Waitana

Maprofesa wa CCM wapo tofauti sana.
Kwa mfano profesa huyu hapa pichani alishakabidhiwa wizara nyeti zikiwemo ya elimu na ulinzi.
Unatarajia nini?
Nilimwamini sana Tibaijuka lakini na yeye namweka katika kundi lile lile tuu la mafisadi.
 
Mkuu:-

1. Barua ndiyo imeshamfikia Mdee akaitumia ipasavyo. Haijalishi imemfikiaje - kuna wazalendo wanaipenda nchi yao.

2. Prof. kawa mbogo kwa kuwa imemuumbua na kuonesha mapungufu yake hususan ya kifisadi; ikitiliwa maanani kuwa yeye ni kati ya wachache sana katika BLM la JK aliyebaki na sifa ya uadilifu.

3. Hakuna kilichojificha zaidi ya ufisadi mbele kwa mbele.....

Wajua nimeuliza kwasababu jana alisoma sheria number blahblah akionyesha Halima Mdee amefanya dhambi,maana kuiba ni dhambi sasa sielewi kama alivunja ofisi ya mheshimiwa huyu msomi mwenye uprofessor wa uchumi ambaye ameshindwa kutumia elimu yake vyema.Ni hapo tu.
 
Nashangaa sijasikia akiongelea migogoro ya ardhi Tanga,Moro,Iringa na kwingineko zaidi ya kujikita hapo Kigamboni wanakotaka kujenga mji usiojulikana na wakaazi wake hawajulikani watakuwa akina nani.

Huu ni ujinga uliozidi viwango vya ujinga.Hivi kweli tunaweza kujisifu sasa wizara imepata waziri ambaye ni profesa?

Kama tamisemi ndio unashugulikia mambo yote ya ardhi mikoani kuna haja gani ya kuwa na wizara ya ardhi?Je ni fungu kiasi gani wametenga kwa ajili ya kutatua migogoro ya ardhi nchini na kuweka mazingira ya kutokuwepo kwa kipindi kijacho? Je kila kata ina land use plan inayoeleweka kwa wananchi wote?

Huyu waziri nashangaa sana sijui ni mtu wa namna gani.Kwa viongozi wa namna hii afrika tutakuwa masikini sana.
Eti ndo wanaopigiwa chapuo kupeperusha bendera ya magamba mwakani
 
huyu bibi anaweza kujinyonga wakati wowote...
Ni ngumu kwa mwizi sugu kujinyonga, hata hivo haya yatapita tuu kwa serikali hii ya dhaifu inapigwa kelele kesho kelele zinahamia wizara nyingine mambo kwisha,,,,,
 
Nimeshtuka sana kusikia hata mama zetu wanashiriki kula mlungura!! sasa nchi hii tunaipeleka wapi? nani aaminiwe na apewe madaraka ya nchi kama hata mama zetu tunaotulea matumboni mwao miezi 9 wanageuka kuwa waporaji, watu wa dili dili, hii ni hatari sana.

Hili jambo alilolianzisha Mdee tunaomba lichunguzwe kwa makini na ikiwezekana hii wizara isafishwe haraka kabla ya kuleta mauaji makubwa mengine hasa kwa makundi ya wakulima na wafugaji.
 
Comments za kijinga kama hizi zinatuharibia sana wana CCM. Mh. Halima Mdee anastahili kujibiwa kwa hoja madhubuti,otherwise 2015 CCM itaelekea Kibla..

Atleast kuna wanachama wa CCM wanaofikiria nje ya boksi yaani CCM ni baada ya Taifa,hongera sana.
Kinachotakiwa kufanyika niku-prove hoja au tuhuma alizotoa Halima Mdee,vinginevyo Madame Waziri hajajisafisha sana amezidi kujipaka matope.

Kwa kuwa kwake makali hakuondoi shutuma.Angekuwa msafi angeomba BUNGE lifanya uchunguzi kwa kina,ingeleta maana na hata wenye doubts naye tungesimama kwanza.Lakini alivyoreact,imetufanya tuhoji zaidi,ili tujue zaidi,kama Madame huyu na dada Halima nani mkweli?
 
Watanzania watanzania watanzania,, tubinafsishe tu hii nchi kwa wazungu wawe wanatupa mgao tu kila mtu,,,, sasa kama professa ndio vile basi hata mimi kuanzia leo ni professa, professa huna hoja, PROF unakuwa msanii, mjanjamjanja.. ndio maana mateja walikuwa wakisema bora nchi iuzwe... Sijiu kifanyike nini ili watu waelewe inatia mpaka hasira...dah sijui ni lini usingizi utaisha isije ikafika hatua tukachapana wenyewe.....
 
Ndani ya ccm ukiwa msomi elimu unaiweka pembeni! Ndani ya ccm kuna majungu, fitina, chuki na ufisadi zaidi!
 
Yaani exactly same to me.Yaani alipaniki wenzie wanamdharau,nilikuwa namrespect sana ila jana nimemshusa sana,yani anatushow off mambo ambayo kwetu wala hatuyaitaji,hawa maprofesa wanamdissapoint sana rais maana aliwaamini.MAMA TIBAUJIKA JANA UMESANDA,KWELI KUISHI KARIBU NA NYUMBA YA IBADA SIO KWENDA PEPONI.
Mama Le profesee.
Elimu sidhani kama itatukomboa, nimemsikiliza jana nikawa naona aibu mimi.
 
Mdee amebwabwaja tu na kelele nyingi zisizo na mantiki .

una haja ya kufikiri kidogo kabla ya kusema utumbo wako apa.....huwezi kusema eti anabwabwaja tuu mtu kalipwa na amefanya kazi ya kukusanya maoni yake wewe m.pu.mbavu uliyefupika katika kufikiri unaleta ST.UPID conclusion hapa....jifunze kufikiri wewe sio kila kitu unapinga pinga tuu...au ni ugeni unakusumbua
 
una haja ya kufikiri kidogo kabla ya kusema utumbo wako apa.....huwezi kusema eti anabwabwaja tuu mtu kalipwa na amefanya kazi ya kukusanya maoni yake wewe m.pu.mbavu uliyefupika katika kufikiri unaleta ST.UPID conclusion hapa....jifunze kufikiri wewe sio kila kitu unapinga pinga tuu...au ni ugeni unakusumbua

Mwakaila onesha point acha kunishambulia. Wew mwenyewe una matatizo kwenye kufikiri.sipingi kila kitu. Na Wew uache kubwabwaja. Sio unarukiarukia tu mchango Wa wenzio. Nyambafuuuuuuu.
 
Sinywi pombe chafu anazotaka luhalalisha slaa mimi, Nina sauti ya ki- gentleman, humuoni Mdee ameharibika sauti kwa gongo???!. Babu amemharibu bint mdogo hata kuolewa bado.

tupo serious.....nenda jukwaa la udaku
 
ccm hakuna hakuna aliye na afadhali wote na mafisadi
 
Mwakaila onesha point acha kunishambulia. Wew mwenyewe una matatizo kwenye kufikiri.sipingi kila kitu. Na Wew uache kubwabwaja. Sio unarukiarukia tu mchango Wa wenzio. Nyambafuuuuuuu.

uchambuzi gani wewe umefanya zaidi ya kutoa conclusion ya kipumb.avu.......eti anabwabwaja....yani na wewe unajiita GT
 
Back
Top Bottom