Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,844
- 90,300
- Thread starter
- #101
Ushahidi upi, tuhuma za wizi na ufisadi zilizowapa ccm ushindi wa 58% mwaka 2010 zilikuwa na ushahidi..?
Yeye Polepole hakuwa sehemu ya wizi?
Ushahidi upi, tuhuma za wizi na ufisadi zilizowapa ccm ushindi wa 58% mwaka 2010 zilikuwa na ushahidi..?
Mpaka kujiingiza kwenye hii vita sio mjinga anajua anachofanyaRostam alianza kupigwa tokea enzi za mengi
Swali je polepole ana backup humo ndani?
Ova
Muda huo bado, pahara hatujafika bado, ngoja bi mkubwa aingie uwanjani. Atashinda? sijui ila akiwa amechakaa sana, Avae bukta mana si kwa mieleka tegemewaPower yoyote inamuda sahihi ili ilete ufanisi. Muda na sehemu/mahali sahihi ni muhimu katika kurusha vyuma
..2010 Polepole alikuwemo ccm?Yeye Polepole hakuwa sehemu ya wizi?
Yes; bado tuna muda wa kupima matokeo.Wenye akili huzingatia zaidi matokeo
Zinatija sana ila kama unaona hazina tija pita pembeni ukale ugali wako na mandondo ulale!!!Hamjambo!
Katika vita ya mtandaoni, hasa vita maneno. Kuna kanuni zake.
Unapotupiana maneno na mtu kama unakombora kubwa kuliko haupaswi kulichelewesha sana kama vile katika vita vya silaha mfano Nyukilia ambazo hutolewa kidogo kidogo na kutokea yenye uwezo mdogo kufuatia yenye uwezo Mkubwa
Vita ya maneno ili ushinde lazima uangalie tension, shauku, hamu kubwa ya watazamaji, vita ya maneno watazamaji hutaka kusikia kombora kubwa kuliko hasa likitolewa dakika za mapema kabisa ili kumaliza kazi.
Vita ya maneno hasimu huwa na hofu ya kusemwa zile tabia zake mbaya za siri, usipomsema katika dakika za mwanzo, ukasema mambo ya kawaida. Tayari unampa mazingira ya kuzoea hofu na kisaikolojia ukishazoea hofu ya kile unachotarajia inapunguza uzito wa kombora lenyewe hata likitupwa.
Ikiwa unamchelewesha mtu katika vita ya Maneno jitahidi uwe na taarifa kubwa ya kutisha ambayo yeye(hasimu wako) anajua taarifa hiyo hauna. So inakuwa suprise sio tuu kwa Mashabiki bali hata kwa adui. Na hilo linakuwa pigo moja takatifu ambalo lazima liitwe Knock out.
Sasa Polepole press ya kwanza watu walijua atatuma vyuma vya uhakika, kisha awamu ya pili kutuma ushahidi, yeye watu wanamsubiri wakijua atakuwa na jambo zito. Akaboronga.
Watu wakasema huenda anavuta kasi, kapanga shambulizi la Pili, akaboronga.
Mpaka hasimu zake wamemdharau.
Alafu mbaya zaidi mlengwa Mkuu ambaye ni Rais yupo Kimya.
Na hili nilishaeleza kuhusu mpambano unavyokuwa.
Rais hawezi kujibu shambulizi lililopoa. Na nilimwambia kuwa ukimya wa Rais kwake auhesabu kama ishara ya hatari.
Kikawaida mtu ambaye unajua siri zake ukianzisha vita naye. Kama atakupiga shambulizi lililopoa huwezi mjibu kwani unajua hajamaliza risasi zake. Kwamba kuna risasi anayoitegemea.
Ni tofauti na Gwajima Vs Makonda. Gwajima alipokuwa katika vita vya Maneno na Makonda, Gwajima alianzia moja kwa moja kwenye kiini. Kisha akaacha ngoma imehang huku ushahidi ukiwa unafuata kwa shambulizi alilofanya.
Gwajima Vs Serikali ambao ni kivuli cha watekaji kwa Mujibu wake.
Shambulizi lake alianzia juu na hakuwa na risasi nyingine. Vita ilianza kwa tensioni kubwa.
Rais alimjibu kwa sababu alijua Gwajima amemaliza risasi zake na hana tegemeo jingine tena. Hana kipya atakachoongea.
Polepole yeye katoa shambulio lililopoa Sana. Madhara yake sio makubwa.
Hata kuzima mitandao ni hofu tuu.
Lakini ni kiashiria kuwa Polepole anataarifa nyingi na nyeti sana.
Polepole angerusha mawe mazito hata vipande nusu ambavyo vitamfanya awaabishe adui zake na awapagawishe. Kisha hatua inayofuata aseme anakuja na ushahidi ambao utawashangaza, na aseme atauweke hadharani na kila mtu atauona.
Huku akisema amebakisha vyuma vingine ambavyo vitaitetemesha nchi.
Ukishatoa madai ya kumdhalilisha hasimu wako utakuwa upo nusu ya ushindi. Kuthibitisha utakuwa umemaliza kazi.
Kadiri Polepole anavyochelewa ndivyo mashambulizi yake yanakosa nguvu.
Yaani leo hata aje aseme kitu gani hakitakuwa na nguvu ya maana kama angeshambulia mwanzoni.
Tayari watu wameshazoea, watu wameshapredict, hasimu kashazoea tension jambo ambalo kwenye vita ya maneno sio zuri.
Soma >> GE2025 - Polepole: Kuongea na watanzania Agost 6, saa 2:00 kuhusu mustakabali wa taifa
Polepole hata zile trick za majigambo na mikwala ya kusema yeye yupo tayari kufa lakini lazima hasimu wake alale nao mbele hatilii mikazo katika laini hizo.
Yupo katika vita kubwa lakini anapambana kwa namna laini sana. Jambo ambalo unagundua kuna kitu hakipo sawasawa.
Anyway! Sisi tupo!
Na tutakuwepo!
TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Ndugu Robert Heriel Mtibeli UCHAGUZI MKUU 2025 HAUPO unless uwe huna macho makali ya ndani kuona hili..Mkuu uchaguzi upo
Inahitajika Utangulize kwanza Akili kumuelewa Polepole na Sio HisiaHamjambo!
Katika vita ya mtandaoni, hasa vita maneno. Kuna kanuni zake.
Unapotupiana maneno na mtu kama unakombora kubwa kuliko haupaswi kulichelewesha sana kama vile katika vita vya silaha mfano Nyukilia ambazo hutolewa kidogo kidogo na kutokea yenye uwezo mdogo kufuatia yenye uwezo Mkubwa
Vita ya maneno ili ushinde lazima uangalie tension, shauku, hamu kubwa ya watazamaji, vita ya maneno watazamaji hutaka kusikia kombora kubwa kuliko hasa likitolewa dakika za mapema kabisa ili kumaliza kazi.
Vita ya maneno hasimu huwa na hofu ya kusemwa zile tabia zake mbaya za siri, usipomsema katika dakika za mwanzo, ukasema mambo ya kawaida. Tayari unampa mazingira ya kuzoea hofu na kisaikolojia ukishazoea hofu ya kile unachotarajia inapunguza uzito wa kombora lenyewe hata likitupwa.
Ikiwa unamchelewesha mtu katika vita ya Maneno jitahidi uwe na taarifa kubwa ya kutisha ambayo yeye(hasimu wako) anajua taarifa hiyo hauna. So inakuwa suprise sio tuu kwa Mashabiki bali hata kwa adui. Na hilo linakuwa pigo moja takatifu ambalo lazima liitwe Knock out.
Sasa Polepole press ya kwanza watu walijua atatuma vyuma vya uhakika, kisha awamu ya pili kutuma ushahidi, yeye watu wanamsubiri wakijua atakuwa na jambo zito. Akaboronga.
Watu wakasema huenda anavuta kasi, kapanga shambulizi la Pili, akaboronga.
Mpaka hasimu zake wamemdharau.
Alafu mbaya zaidi mlengwa Mkuu ambaye ni Rais yupo Kimya.
Na hili nilishaeleza kuhusu mpambano unavyokuwa.
Rais hawezi kujibu shambulizi lililopoa. Na nilimwambia kuwa ukimya wa Rais kwake auhesabu kama ishara ya hatari.
Kikawaida mtu ambaye unajua siri zake ukianzisha vita naye. Kama atakupiga shambulizi lililopoa huwezi mjibu kwani unajua hajamaliza risasi zake. Kwamba kuna risasi anayoitegemea.
Ni tofauti na Gwajima Vs Makonda. Gwajima alipokuwa katika vita vya Maneno na Makonda, Gwajima alianzia moja kwa moja kwenye kiini. Kisha akaacha ngoma imehang huku ushahidi ukiwa unafuata kwa shambulizi alilofanya.
Gwajima Vs Serikali ambao ni kivuli cha watekaji kwa Mujibu wake.
Shambulizi lake alianzia juu na hakuwa na risasi nyingine. Vita ilianza kwa tensioni kubwa.
Rais alimjibu kwa sababu alijua Gwajima amemaliza risasi zake na hana tegemeo jingine tena. Hana kipya atakachoongea.
Polepole yeye katoa shambulio lililopoa Sana. Madhara yake sio makubwa.
Hata kuzima mitandao ni hofu tuu.
Lakini ni kiashiria kuwa Polepole anataarifa nyingi na nyeti sana.
Polepole angerusha mawe mazito hata vipande nusu ambavyo vitamfanya awaabishe adui zake na awapagawishe. Kisha hatua inayofuata aseme anakuja na ushahidi ambao utawashangaza, na aseme atauweke hadharani na kila mtu atauona.
Huku akisema amebakisha vyuma vingine ambavyo vitaitetemesha nchi.
Ukishatoa madai ya kumdhalilisha hasimu wako utakuwa upo nusu ya ushindi. Kuthibitisha utakuwa umemaliza kazi.
Kadiri Polepole anavyochelewa ndivyo mashambulizi yake yanakosa nguvu.
Yaani leo hata aje aseme kitu gani hakitakuwa na nguvu ya maana kama angeshambulia mwanzoni.
Tayari watu wameshazoea, watu wameshapredict, hasimu kashazoea tension jambo ambalo kwenye vita ya maneno sio zuri.
Soma >> GE2025 - Polepole: Kuongea na watanzania Agost 6, saa 2:00 kuhusu mustakabali wa taifa
Polepole hata zile trick za majigambo na mikwala ya kusema yeye yupo tayari kufa lakini lazima hasimu wake alale nao mbele hatilii mikazo katika laini hizo.
Yupo katika vita kubwa lakini anapambana kwa namna laini sana. Jambo ambalo unagundua kuna kitu hakipo sawasawa.
Anyway! Sisi tupo!
Na tutakuwepo!
TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Polepole anachosema pale ni No Reforms No Election. Au unataka hadi atamke?Huyo katumwa na sisiemu ili kuua ajenda ya NRNE na amefanikiwa kwa 70% mpaka sasa .
Na Lissu soon watu watamsahau Tanzania ni nchi ya watu wajinga
Hivi kama asingejitokeza Polepole ni nini kingetokea kwenye hiyo ajenda? CHADEMA imefungiwa kufanya chochote, Lissu yuko gerezani. Nadhani unajisemea tu. Polepole yeye anazungumzia suala la ndani ya CCM na yuko serious halafu eti mnasema katumwa!!Huyo katumwa na sisiemu ili kuua ajenda ya NRNE na amefanikiwa kwa 70% mpaka sasa .
Na Lissu soon watu watamsahau Tanzania ni nchi ya watu wajinga
Inahitajika Utangulize kwanza Akili kumuelewa Polepole na Sio Hisia
Kumbuka huyu MTU anajua Taarifa nyingi nyeti ambazo amezijua Kwa kutumia Nafasi alizokua nazo.
Afanye mambo mengine sasa!
Saikolojia anayoitumia PP ni wachache wenye uwezo wa kumuelewa kiundani. Kama jina lake ililivyo hiyo inaitwa slow burn psychology...yaani walengwa wanaungua pole poleInategemea na uwezo wa msikilizaji. Siyo Kila mtu atamuelewa Polepole
Saikolojia anayoitumia PP ni wachache wenye uwezo wa kumuelewa kiundani. Kama jina lake ililivyo hiyo inaitwa slow burn psychology...yaani walengwa wanaungua pole pole
Kalaghabaho!Shambulizi lilipoteza target linakosa maana.
Lakini ni kiashiria kuwa Polepole anataarifa nyingi na nyeti sana.
Kumbuka ana viapo vya kutunza siri za mambo aliyoyajua akiwa ndani ya serikali, hivyo usitarajie kuwa atapiga kombora mchana kweupe. ( anasema kufanya hivyo kunaweza kupelekea kifungo cha atmost 25 years). Kama ni mtu wa code naona anaeleweka tu vizuri hizo hints zinatosha.aseme anakuja na ushahidi ambao utawashangaza, na aseme atauweke hadharani na kila mtu atauona.
Kalaghabaho!
Grand finale in essence, signifies the climactic ending that leaves a lasting impression.
Grand finale...the last and most exciting, spectacular and impressive part of a series.
Grand finale...what everybody in the crowd waits for.